Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Kila la heri MkuuSawa mkuu, mimi ndio nimeshamove on ivoo. Na nimefollow page yao Instagram. Natarajia mambo makubwa kwa hii timu ambayo hayakuweza kufikiwa huko nilipokuwa, nawaona wanaenda kuteka soka la vilabu barani Afrika, labda itokee ajali za kimpira maana mpira unakuwaga na suprize zake
Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake Mkuu, nakutahadharisha tu