Nimehangaika sana bila mafanikio

Kama ungalikuwa unasimamisha ila haina nguvu, ningekushauri kitu. Lakini kama haisimami, hapo sielewi. Maana mtu ninayemfahamu anakupa dawa ya kienyeji na kama husimamishi sawasawa inasimama kama mwanzo. Gharama yake huwezi amini ni shs 65,000 tu
Tangazo lako lipo creative sana
 
Jaribu kuongea na wazee
 
Miaka mitatu mingi na mda wote huo hujatoa mbegu hata usingizini, hii kitaalamu imekaaje......kiufupi hilo pigo ni kubwa wanawake hawa basi tu, wenye ujuzi msaidieni kijana mwenzetu asije kuachwa.
 


aende kwa mwamposa.
 
Ushauli wangu huwezi kutibu tatizo bila kujua chanzo cha utamaliza pesa bure kuna mchezo mchafu ila lazima ujue njoo pm kama hotojali usiweze muda wote kutapeliwa mwisho nikupe pole lenye mwanzo halikosi mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…