Jaji Mfawidhi kareport na hiiMpaka umchungulie mkweo ndio utapona
huyo mchepuko kawekewa passwordTanga
Nakweli ndo password zao hizoMambo ya wazigua hayo😁
Kama sehemu ni mbali na unapoishi utakuwa tayari kwenda???Sorry mkuu kama una ushauri nambie hapa ili wengne wanipe ushauri zaidi kupitia ushauri wako au kama kuna sehem ya uhakika nielekeze, ahsante
Tangazo lako lipo creative sanaKama ungalikuwa unasimamisha ila haina nguvu, ningekushauri kitu. Lakini kama haisimami, hapo sielewi. Maana mtu ninayemfahamu anakupa dawa ya kienyeji na kama husimamishi sawasawa inasimama kama mwanzo. Gharama yake huwezi amini ni shs 65,000 tu
Jaribu kuongea na wazeeNaomba msaada uume wangu hausimami.
Iko hivi; nilikuwa vizuri napiga show kawaida na nilibahatika kuoa na kupata mtoto mmoja, shida ilikuja siku nilipiga mechi ya ugenini(nilichepuka) toka siku hiyo hadi sasa yapata miaka 3 uume hausimami nimejaribu kwenda kwa wataalam mbalimbali nimeishia kupoteza pesa kuna watu walinielekeza kwa baadhi ya watu wa tiba asilia nmeishia kupigwa na kitu kizito kichwan (wamenitapeli).
Ndugu zanguni naombeni msaada nifanyeje au niende wapi kwenye uhakika wa kutatua tatizo langu.
Natanguliza ahsante
Ahsante kwa ushauri mkuu lkn vp siwezi kupata tiba ya kidactari ya kutatua tatizo
Utoto raha sana cc Saint Anno IIDaaaah, tatizo nyuma ya keyboard kila mmoja ana uwezo wa kumdharau asiyemjua,laiti angejua!....
Kazanazo usipuuzie....
Dah mkuu bahati mbaya Mimi siwajui wataalamu maana sijawai kwenda huko namuomba Mungu Lakini sio kwamba naweza fanya miujiza ikatokea, ushauri wangu ni 1. Uende kwa watumishi wa Mungu eg mwamposa Ukiwa umedhamiria kweli (japo Sina uhakika kama watu wanaponywa au wanaigiza) 2. Tafuta mganga konki sio wa kuambiwa funga safari nenda kigoma au sehemu yoyote huko labda unaweza kupata jawabu la shida yako
Hana homa huyuNaomba ufanye yafuatayo
1)Funga siku tatu na kutubu
2)Utaombewa na kupona
3)Ukipona itakubidi uokoke mazima katika kanisa lako
4)Ukirudia kuchepuka homa itakurudia
Ukiwa tayari nicheki Pm.Na useme upo wapi?
Ushauli wangu huwezi kutibu tatizo bila kujua chanzo cha utamaliza pesa bure kuna mchezo mchafu ila lazima ujue njoo pm kama hotojali usiweze muda wote kutapeliwa mwisho nikupe pole lenye mwanzo halikosi mwishoNaomba msaada uume wangu hausimami.
Iko hivi; nilikuwa vizuri napiga show kawaida na nilibahatika kuoa na kupata mtoto mmoja, shida ilikuja siku nilipiga mechi ya ugenini(nilichepuka) toka siku hiyo hadi sasa yapata miaka 3 uume hausimami nimejaribu kwenda kwa wataalam mbalimbali nimeishia kupoteza pesa kuna watu walinielekeza kwa baadhi ya watu wa tiba asilia nmeishia kupigwa na kitu kizito kichwan (wamenitapeli).
Ndugu zanguni naombeni msaada nifanyeje au niende wapi kwenye uhakika wa kutatua tatizo langu.
Natanguliza ahsante