Da hapa inabidi tujifunze kuzoazoa pole sana mkuu, kuna watu watatu huwa wanadili sna na vitu vya kulogwalogwa kama tatizo lako limetokea upande huo.
1:huyu wa kwanza yupo Mikese ni mtu hatari sana, alitusaidia kwenye upande wa kesi zetu japo sikuendelea nae na mambo mengine baada ya lile jambo kumalizika
2:Huyu hatar sana anapatikana kolero morogoro milimani huko, kwa upande wa kulogwalogwa atakusaidia.
3:Huyu hatari sana ila changamoto yake utamlipa ukifanikiwa na tatizo lake anataka akufate kwako hataki uende kwakwe yeye atakufanyia shughuli atakuja kwa nauli yake na kurudin kwa naulibyake ila ukifanikiwa jambo la kusema 2mill au 1mil jambo l kawaida
NB:KAMA TATIZO LA KULOGWA WATAKUSAIDIA ILA KAMA NI BIOLOGY PROBLEM SIJUINITAKUWAJE.