Nimehangaika sana bila mafanikio

Hao wataalamu ulioenda ni wataalamu kwa kusomea afya ya binadamu au wataalamu wa kuloga na kuchawia.
Tuanzie hspo kwanza kisha tumalizie kwa kumrudia kwa mungu
 
Hao wataalamu ulioenda ni wataalamu kwa kusomea afya ya binadamu au wataalamu wa kuloga na kuchawia.
Tuanzie hspo kwanza kisha tumalizie kwa kumrudia kwa mungu
Wataalam wa maswala ya kuwekeana password maana tatizo nimelipata kimtego mtego mkuu
 
Ulichepuka na mke wa mtu ?
 
Nyuma nishawahi kusikia kuwa kuna wanawake ukilala naye mzigo unalala mpaka umtafute tena umpe pesa ndio unaweza ukasimama.

Jaribu kutafuta contacts za huyo bibie uliyepiga yawezekana ndio funguo kwenye tatizo lako.
 
Wengine wananiambia labda alikuwa mke wa mtu ko kawekewa password ndo nikanasa ila cha ajabu nmehangaika sana kwa wataalam imeshindikana

Wewe unahitaji suluhisho la kiroho zaidi, nguvu za giza zilikufunga baada ya kuzini na huyu mwanamke.

Nguvu za Mungu tu ndio suluhisho hapo.
 
Kibaya zaidi mkuu uyo mchepuko nilipita nae kimasihara tu yaani nilipita nae tukaachana na hatukuonana tena na sina mawasiliano nae
Da hapa inabidi tujifunze kuzoazoa pole sana mkuu, kuna watu watatu huwa wanadili sna na vitu vya kulogwalogwa kama tatizo lako limetokea upande huo.

1:huyu wa kwanza yupo Mikese ni mtu hatari sana, alitusaidia kwenye upande wa kesi zetu japo sikuendelea nae na mambo mengine baada ya lile jambo kumalizika

2:Huyu hatar sana anapatikana kolero morogoro milimani huko, kwa upande wa kulogwalogwa atakusaidia.

3:Huyu hatari sana ila changamoto yake utamlipa ukifanikiwa na tatizo lake anataka akufate kwako hataki uende kwakwe yeye atakufanyia shughuli atakuja kwa nauli yake na kurudin kwa naulibyake ila ukifanikiwa jambo la kusema 2mill au 1mil jambo l kawaida

NB:KAMA TATIZO LA KULOGWA WATAKUSAIDIA ILA KAMA NI BIOLOGY PROBLEM SIJUINITAKUWAJE.
 
Kuna watalamu yeye unaona live kabisa tatizo lako wapo malawi uko .ukiona ndo utajua chanzo tatizo amini ivyoo
 
Kuna jamaa alikuwa anaishi pale kigogo, alioa mwaamke toka mkoa wa Iringa, yule mwanamke akisafiri huwezi amini hata akae miezi3 mume akitafuta demu wa kujipoza haisimami kabisa.
 
Bila kujua chanzo cha tatizo utapeliwa sana.Utaendelea kuweweseka bila majibu
 
Mikese iko wapi mkuu na uyo wa moro anaitwa nani ili nipate kuulizia uzoefu wake
 
Bila kujua chanzo cha tatizo utapeliwa sana.Utaendelea kuweweseka bila majibu
Wengi wanasema ni uyo dem alikuwa na miiba na ukizingatia ckuchepuka na mwngne na tatizo ndo lilianzia kwake kuna asilimia kubwa akawa yeye ndo chanzo inshu nafanyaje sasa na sina mawasiliano nae au kuna utaratibu wa kidaktari naweza fuata
 
Kuna jamaa alikuwa anaishi pale kigogo, alioa mwaamke toka mkoa wa Iringa, yule mwanamke akisafiri huwezi amini hata akae miezi3 mume akitafuta demu wa kujipoza haisimami kabisa.
Alifanyaje mkuu alipofanyiwa ivo
 
Huo using mkuu..itakua lazima ulikula mke was Mtu...na wanategaga kuwa ili utegue lazima ulale na mzazi wa kike..
 
Kibaya zaidi mkuu uyo mchepuko nilipita nae kimasihara tu yaani nilipita nae tukaachana na hatukuonana tena na sina mawasiliano nae
Mtafute,huyo Kuna jamaa amemtengeneza au amemwekea vitu kwenye uchi wake


Jitajidi muwe mnatumia kondom kwenye mechi za kigeni.


Pia jitahidi usafiri uwende mikoa ya kigoma ,rukwa huko Kuna waganga wa ukweli.
 
Kumsaidia mtu JF ni ngumu sana maana anaamini anaenda kupigwa, ndio maana hapa nashindwa kujua namna ya kukusaidia maana hata jambo lenyewe ni gharama kidogo. ila kama upo kigoma nakushauri utakaa hapo hadi upone ni tiba ya asili kiroho katika ule ulimwngu wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…