Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 688
- 1,126
Wataalam wa maswala ya kuwekeana password maana tatizo nimelipata kimtego mtego mkuuHao wataalamu ulioenda ni wataalamu kwa kusomea afya ya binadamu au wataalamu wa kuloga na kuchawia.
Tuanzie hspo kwanza kisha tumalizie kwa kumrudia kwa mungu
Njoo pm wewe acha maneno mengi au huna tatizoWataalam wa maswala ya kuwekeana password maana tatizo nimelipata kimtego mtego mkuu
Ulichepuka na mke wa mtu ?Naomba msaada uume wangu hausimami.
Iko hivi; nilikuwa vizuri napiga show kawaida na nilibahatika kuoa na kupata mtoto mmoja, shida ilikuja siku nilipiga mechi ya ugenini(nilichepuka) toka siku hiyo hadi sasa yapata miaka 3 uume hausimami nimejaribu kwenda kwa wataalam mbalimbali nimeishia kupoteza pesa kuna watu walinielekeza kwa baadhi ya watu wa tiba asilia nmeishia kupigwa na kitu kizito kichwan (wamenitapeli).
Ndugu zanguni naombeni msaada nifanyeje au niende wapi kwenye uhakika wa kutatua tatizo langu.
Natanguliza ahsante
Hilo ni tatizo la kisakolojia man,siyo la kichawi kama unavyo jiaminisha.Wataalam wa maswala ya kuwekeana password maana tatizo nimelipata kimtego mtego mkuu
Nyuma nishawahi kusikia kuwa kuna wanawake ukilala naye mzigo unalala mpaka umtafute tena umpe pesa ndio unaweza ukasimama.Ahsante mkuu ila mke wangu kwa asilimia kubwa hana kinyongo na mm kwani kiuhalisia anafaham kuwa nilichepuka japo sikumwambia na pia ananisaidia sana kutafuta wataalam huko kwao ila hatufanikiwi na kuhusu mtu niliechepuka nae sina mawasiliano nae kwa sasa nilipita nae tu kimasihara akasepa tukapoteana hadi leo.
Wengine wananiambia labda alikuwa mke wa mtu ko kawekewa password ndo nikanasa ila cha ajabu nmehangaika sana kwa wataalam imeshindikana
Da hapa inabidi tujifunze kuzoazoa pole sana mkuu, kuna watu watatu huwa wanadili sna na vitu vya kulogwalogwa kama tatizo lako limetokea upande huo.Kibaya zaidi mkuu uyo mchepuko nilipita nae kimasihara tu yaani nilipita nae tukaachana na hatukuonana tena na sina mawasiliano nae
Mikese iko wapi mkuu na uyo wa moro anaitwa nani ili nipate kuulizia uzoefu wakeDa hapa inabidi tujifunze kuzoazoa pole sana mkuu, kuna watu watatu huwa wanadili sna na vitu vya kulogwalogwa kama tatizo lako limetokea upande huo.
1:huyu wa kwanza yupo Mikese ni mtu hatari sana, alitusaidia kwenye upande wa kesi zetu japo sikuendelea nae na mambo mengine baada ya lile jambo kumalizika
2:Huyu hatar sana anapatikana kolero morogoro milimani huko, kwa upande wa kulogwalogwa atakusaidia.
3:Huyu hatari sana ila changamoto yake utamlipa ukifanikiwa na tatizo lake anataka akufate kwako hataki uende kwakwe yeye atakufanyia shughuli atakuja kwa nauli yake na kurudin kwa naulibyake ila ukifanikiwa jambo la kusema 2mill au 1mil jambo l kawaida
NB:KAMA TATIZO LA KULOGWA WATAKUSAIDIA ILA KAMA NI BIOLOGY PROBLEM SIJUINITAKUWAJE.
Wengi wanasema ni uyo dem alikuwa na miiba na ukizingatia ckuchepuka na mwngne na tatizo ndo lilianzia kwake kuna asilimia kubwa akawa yeye ndo chanzo inshu nafanyaje sasa na sina mawasiliano nae au kuna utaratibu wa kidaktari naweza fuataBila kujua chanzo cha tatizo utapeliwa sana.Utaendelea kuweweseka bila majibu
Mtafute,huyo Kuna jamaa amemtengeneza au amemwekea vitu kwenye uchi wakeKibaya zaidi mkuu uyo mchepuko nilipita nae kimasihara tu yaani nilipita nae tukaachana na hatukuonana tena na sina mawasiliano nae