Nimehangaika sana bila mafanikio

Njoo pm nikuelekeze namna ya kutengeneza chai Fulani alafu utanitafuta mwenyewe Puna Yaleyale.
 
Na Huo Mchezo kaufanya Huo mchepuko.
 
Siamini katika kupgwa mkuu ila umakini na uungwana unahitajika kama una cha kunishauri nishauri tu mkuu
 
Mtafute,huyo Kuna jamaa amemtengeneza au amemwekea vitu kwenye uchi wake


Jitajidi muwe mnatumia kondom kwenye mechi za kigeni.


Pia jitahidi usafiri uwende mikoa ya kigoma ,rukwa huko Kuna waganga wa ukweli.
Ahsante kwa ushauri mkuu ila ningempata mtu maalum wa huko kigoma ingekuwa vizuri maana sina ndgu wala rafk uko
 
Huo using mkuu..itakua lazima ulikula mke was Mtu...na wanategaga kuwa ili utegue lazima ulale na mzazi wa kike..
Mzazi wa kike wa aina gani mkuu yeyote au mama angu maana kashafariki samahn kwa kuuliza lengo ni kupata suluhu
 
Mkuu jaribu kutumia dawa zinaitwa seldenafil zipo madukan Kuna vidonge vya 1500,5000n na 7000

Meza mara moja utakuja kunishukur

Kwa yeyote anayetaka maelezo ya Bure anicheki Pm

Narudia Tena sitaki pesa Yako Wala chochote kutoka kwako nakusaidia for free
 
Ahsante mkuu ntaziulizia
 
Hakuna kilichobadilika katika hiyo miaka 3. Ladha ya papa ni ile ile kwahiyo wala usihangaike hakuna jipya.

Ila nawaza nje ya mada, wife kavumilia miaka 3 yote bila dudu??
Kwamba ladha bado ni ile ile [emoji3]
 
Huyo ni ngaliba wa miti shamba sio mganga ndiomana nimekwambia mwambie tatizo Kwa ufupi baada ya yeye kupokea! Ni kijana mdogo sana lkn anatibu magonjwa mengi na makubwa ambayo siwezi kuweka hadharani!
Anatibu Ukimwi?
 
Sorry mkuu kama una ushauri nambie hapa ili wengne wanipe ushauri zaidi kupitia ushauri wako au kama kuna sehem ya uhakika nielekeze, ahsante
Kama ulikuwa unasimamisha vizuri na unapiga show vizuri na ujapata ugonjwa tatizo lako dogo sana hapo kuna hiyo ni michezo ya kiswahili imefanyika

mchezo umechezwa na mkeo au yule mchepuko wako
Mchepuko alicheza kuwwa ukirudi kwa mkeo unhindered kupiga show ukiwa naye upige show sasa huwa dawa zinagoma matokeo yake unashindwa Kate Kate kwa mchepuko na kwa mkeo

Na mke akitengeneza kuwa ukienda nje ignore na kweli inanimate tu ukigusa uke inalala sasa huwa nazo zinagoma kwa mke na mchepuko kutotua kero hii

Nikishauri Kama kwenye familia yako kuna watu wazima hapa naongelea umri kuanzia miaka hamsini au dada , shangazi nani mshirikishe hii michezo wanandoa walikokaa mda mrefu imefanyika sana so wanajua itatua

Pia hata watu baki wa pembeni hasa ndugu wakitaka farakisha ndoa yako huwa wanaicheza hii wanajua usipopiga show mtachana tu ssasa dawa huwa nini


Samaki aina ya kambale mbichi yule mzima kabisa unamvua mzima kabisa yule huwa anachajwa kidogo tu akitoa damu inachukuliwa ile damu kisha yule kambale anarudi shwari majini ile damu inachqnganywa na mizizi furani hivi sawa inatwagwa inakuwa unga unga kisha mzee unachanjwa kidogo tu kwenye uume unatoa damu kisha unapakwa

Kisha unapewa miziz mingine tena unatafuna na chumvi mzee ukifanya asubuhi hakikisha usiku mama watoto yupo karibu mzigo unamka

Nilitaka uje Dm ukasema niandike hapa haya nimeandika usije DM ukija sitokujibu miye siyo mganga
 
But mm sio mzigua na wala sipo uziguani au demu ndo anaweza kuwa ndo mzigua
Kuna mwamba kule juu alikupa ushauru mzuri Sana, ongea na huyo mchepuko pamoja na mkeo waambie ukweli wakusaidie. Wanawake wa kizigua ndo Wana hizo tabia. Akikuekea hizo dawa ukifanya na mwanamke mwingine mashine haisimami ila kwake yeye tu. Mtafute huyo mchepuko.
 
Mleta mada nikuulize swali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…