Nimehangaika sana bila mafanikio

Ahsante mkuu ushauri wako nimeuelewa sana samahan kwa nilotanguliza kusema
 
nitafute
 
Kazanazo nakupa hii test japo ngumu kabla sijakupa namba za huyo mtu ila uwe makini .nenda kwa mchepuko ukiweza kuperfom huu uzi ni tag
Mkuu cjakuelewa nianze kwenda kwa mchepuko mwngne kabla ya iyo no au unaanza kunipa ndo niende? Ila pia kama ni michepuko mingne nilijaribu ila haikusimama kuna alienambiaga nijaribu lkn wapii
 
hapo ipo hivi, kuna wanawake wana maroho nyemelezi ndani yao, na ikumbukwe unapozini na mwanamke unafanya maagano ya damu na roho au mizimu yake.
inakuwa hivi, kama yule mwanamke ulomla ana roho za magonjwa au umasikini nk utashangaa maisha yako yanakumbwa na magonjwa nk na umasikini nk.
Kwa suala lako, hapo naona kabisa kuna jambo la giza limefanyika. Haiwezekani ghafla tu ulikua unasimamisha halafu ishindikane kabisaa ghafla. Hapo uchawi mweusi umefanyika.
Funga kwa maombi siku tatu -saba, sali mara tatu kwa siku ukiombea suala lako hilo laana iliyowekwa ing'oke, na unywe maji tu au matunda pekee hasa tikitiki maji.
Pata muda kupumzika na tumia mda mwingi kutokuwaza tatizo.
Baada ya mfungo huo, siku hiyo yakufungua uwe nyumbani, kula vizuri, usiwe na mawazo yeyote hasi kuwa haisimami, mchukue mkeo, zama chumbani, mwambie leo nakushikisha adabu mke wangu, fanya romancing chukua dudu lako chomeka, uje useme hapa kama haitakuwa imesimama mpini
Kibaya zaidi mkuu uyo mchepuko nilipita nae kimasihara tu yaani nilipita nae tukaachana na hatukuonana tena na sina mawasilian
 
Umelogwa ww pole yako
 
Kuna wanaume wameweka password kwa wake zao kwa Siri....una bahati hukufa baada ya kuchepuka. Tafuta mtu mwanamke uliyechepuka nae akuoneshe mume wake akufungue urudi normal vinginevyo utachakaa Sana.
 
Ahsante mkuu kwa ushauri
 
Tafuta 10m, nenda Benjamin Mkapa hospital, wanaizimua fasta tu.
Ni kweli ni mill 10 mkuu au niende ntajulia hukohuko maana nilikuwa na wazo la kwenda hospital
 
Kama una nauli fika kigoma nitafute kuna wamba wanalimudu hilo.
 
Ongea na huo mchepuko mwambie hio ishu, pia huyo mkeo ongea nae, na Je hata ukirudi kwa mchepuko pia dude haisimami? Ukishindwa nashauri Anza kufanya mazoezi ili uwe fundi wa kunyonya papuchi hadi upewe endorsement za papuchi show
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…