Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

Labda hao wazungu nao wachawi kuliko mababu zetu!? Who knows!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe wachawi wanaenda majuzi eeh!! Me nilidhani kwa situation Kama hiyo akikukuta anakuua kabsa,Kama ndo hivyo back uchawi ni upuuzi
Ni kweli uchawi ni upuuzi; lakini pia ni nguvu za giza zenye madhara na uharibifu mkubwa na mauti.
 
Basi tumeelewana, hakuna ubishi tena. Unakubali uchawi ni halisi; ndivyo ninavyoamini pia. Ninachoamini kingine ni kuwa kuna nguvu nyingine kubwa ambayo inatufanya tuwe salama na tuendelee kuwa hai. Ndiyo maana nikasema, mshukuru sana Mungu kwa ulinzi mkubwa alokupatia ili aendelee kukulinda maisha yako na shughuli zako.
 
Tatizo kuamini Katika Mungu hakuondoi wewe kupata majaribio to the fullest extent ya uchawi au ushetani na nguvu zake.

Ref. Ayubu!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Jana usiku nimeota inapiga radi ya kwanza,ya pili...ya tatu nikashtuka usingizi ukakata sikulala mpaka mida ya waislamu
 
Hiyo sentensi ya mwisho ondoa, aisee!
 
Aisee! Una mawazo finyu sana juu ya nguvu za giza, ndiyo maana unabisha sana. Usidhani uchawi lengo lake ufe tu basi. No! Never! Ni pamoja na kifo, inapobidi, lakini ni pale inapokuwa kwenye mpango wa yule mkuu wa giza mwenyewe. Hawa wachawi, wasihiri, walozi, waganga, waaguzi, washirikina na watu wa ndumba ni watumwa na vibaraka tu ambao kazi yao ni kutekeleza maelekezo na masharti ya mkuu wa mapepo. Ukijua hili, basi utakuwa na mwanzo mzuri wa kuelewa. Sasa lengo kuu ni kuzidi kuujenga ufalme wa huyu Iblisi mwasi. Kumbuka kuna nguvu mbili zinapambana duniani -- nguvu ya Mungu na nguvu ya Shetani. Mashetani yatatafuta kila namna ili kukuangamiza pale tu unapokinzana na ufalme wao, unapokuwa tishio kwa maslahi yao, unapokiuka masharti yao kama tayari wewe ni mfuasi, au wanapoona huna tena faida kwao, basi unadhalilishwa kwa fedheha, mwisho wake mauti. Habari imeishia hapo! Wao wana taimu na wale wenye kuwaletea manufaa, na hao ndio wanalindwa na kuhudumiwa na kupewa heshima na uwezo na ushawishi na kadhalika.
 


Ukisoma vizuri hii article yako paragraph ya pili unakili uchawi upo hapo unapo sema" ili ufanye kazi lazima wewe uane rogwa ukubali" ajabu bado una bishi uchawi haupo
 
Jana usiku nimeota inapiga radi ya kwanza,ya pili...ya tatu nikashtuka usingizi ukakata sikulala mpaka mida ya waislamu
Labda hiyo ni ndoto tu ya kawaida. Hakuna haja ya kuhofu lolote kama ukiwa na Mungu. Ndoto zipo tu. Najua pia wakati mwingine ndoto ni ishara ya mambo mbalimbalimbali maishani mwa mtu au watu wengine. But all in all, take it easy!
 
Ukisoma vizuri hii article yako paragraph ya pili unakili uchawi upo hapo unapo sema" ili ufanye kazi lazima wewe uane rogwa ukubali" ajabu bado una bishi uchawi haupo
Amekiri, anakubali kabisa. Ameeleza hapo juu.
 
Mtu unaitwa Iblis Bin Shetan halafu bado unatuambia uchawi haupo. Wewe ni mmoja ya hao wenye kufanya shirki/uchawi.

Na wachawi wote huwa mna tabia ya kukana uwepo wa uchawi kwenye mijadala mbalimbali.
Soma posti zake taratibu, utanielewa, aisee! Hapo mwisho anakiri wazi hii kitu ipo. Tatizo tu anadai yeye hawezi kurogwa. Ameambiwa amshukuru Mungu kwa sababu ndiye amempatia huo ulinzi wa kutowangiwa na washirikina. Hilo jina inabidi sasa afanye mchakato wa kubadili, itakuwa poa. I hope umeelewa!?
 
Twende kwa facts.

Fact 1.

Huja define uchawi ni nini.

Hutakiwi kumshutumu mtu kwamba ni mgumu wa kuelewa, ikiwa hujafanya kitu cha kwanza kabisa cha kumuelewesha.

Hujatoa hata definition ya uchawi, unanishutumu mgumu wa kuelewa.

Wewe si tu hujaelewa, wewe hujui kufikiri.
 
Nimekuelewa Mkuu.Na kwakweli hilo jina alibadili maana lina walakini.
 
Hizo ni imani tu na wenge lenu usiku

Hakuna kitu kama hicho (uchawi) uyo mtoto aliyekuwa kipofu, kiziwi nk apelekwe hospitali utapewa chanzo na nini kifanyike
Hawa wanao pinga vikali hua ndio wahusika wakuu,sa'bu maranyingi watu wanao jihusisha na mambo haya huwezi kawa zania kbs hua ni wacha Mungu sana na ktk ibada never miss,iweje ww ubishe wkt mtu ame simulia yalio mkuta...na hum pia mpoo tuu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mpaka umeselect Nigeria manake kua unasadiki wao ni magwiji wa hizo kazi
Hapana inaaminika kuwa wao ni wachawi zaidi barani Africa, kama inavyosadikiwa ni kweli wangekuwa mbali sana katika dunia hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…