Hii inahusianaje na mada?Huko unaenda mbali sana. Wewe unajua kwa nini umefikaje hapa duniani??? Why kati ya mbegu zote countless za kiume moja tu iliyotunga mimba yako ndiyo imefanikiwa wewe ukapatikana??? Sasa usiseme tu chochote maana hakuna mwanadamu anayeshi tu purely kwa uwezo wake mwenyewe.
Hapo ndo ujue mchawi huwa mtumwa, means hana control na ile nguvu ya giza. Yeye ni agent tu wa mmiliki wake ambaye ni Ibilisi. Sasa mipango yote anairatibu Ibilisi na mashetani wenzake ili kutimiza makusudi yao madhalimu duniani.Habari ya kuwakamata waafrika wenzao na kuwauza kwa wazungu (puppertism) ni contrary issue wala haihusiani na mada hii
Hakuna mahali nimesema uchawi upo kwa kila mtu hata Hawa wanaoamini kama upo hawajasema hivyo pia
Ila, hata kama upo kwa wachache kwanini walishindwa kuutumia kuua au kudhuru wakoloni mpaka watunyonye kwa karne nzima?
Jibu kinagaubaga tuendelee.
Ina maana kila mwanadamu anaishi kwa mamlaka na uwezo wa Muumbaji. Sasa ukitoka kwenye channel yake lazima automatically unakuwa kwenye channel ya Ibilisi. Hapo unakuwa unatumika kama apendavyo yeye mwenyewe, na wewe usitambue kabisa ukadhani uko sawa kabisa.Hii inahusianaje na mada?
Show us how are they relate pls
Aisee...hivi unajua kuwa unatoa maelezo mengine badala ya kujibu maswali yangu.Hapo ndo ujue mchawi huwa mtumwa, means hana control na ile nguvu ya giza. Yeye ni agent tu wa mmiliki wake ambaye ni Ibilisi. Sasa mipango yote anairatibu Ibilisi na mashetani wenzake ili kutimiza makusudi yao madhalimu duniani.
Kwa mfano kama nani vile aliyetoka kwenye channel akakutana na hicho kisanga cha uchawi?Ina maana kila mwanadamu anaishi kwa mamlaka na uwezo wa Muumbaji. Sasa ukitoka kwenye channel yake lazima automatically unakuwa kwenye channel ya Ibilisi. Hapo unakuwa unatumika kama apendavyo yeye mwenyewe, na wewe usitambue kabisa ukadhani uko sawa kabisa.
Kuna vijana fulani wawili walijifanya waganga wa kienyeji (family zao walikuwa waganga), wakaenda huko maeneo ya kusini kuagua watu na kutafuta pesa. Walirudishwa kwao wakiwa maiti. True story.Hakuna uchawi.
Kama upo, nitoleeni mfano mimi.
Nirogeni.
Karibu miaka 10 sasa nishatoa challenge ya wachawi kuniroga lakini bado nipo tu.
Hahahaaa.
Hakuna uchawi.
Unabadilisha magoli. Nimekwambia niroge au tafuta mchawi yeyote aniroge kama huwezi sema huwezi sitaki hizo ngonjera zako.
Ulishuhudia au na wewe ulisimuliwa tu?Kuna vijana fulani wawili walijifanya waganga wa kienyeji (family zao walikuwa waganga), wakaenda huko maeneo ya kusini kuagua watu na kutafuta pesa. Walirudishwa kwao wakiwa maiti. True story.
Mimi nina visa vingi sana nimeshuhudia aisee! Zingine ni fascinating, almost unbelievable, zingine ni frustrating. I am not lying. Sitasimulia, ntaishia kusema tu that thing is VERY, VERY real kabisa. Usidanganyike na mtu yeyote. Watu wanaweza kukataa, lakini wanakataa tu wasichokijua!Aisee...hivi unajua kuwa unatoa maelezo mengine badala ya kujibu maswali yangu.
Ok, nimekuuliza swali lingine rahisi :
Wewe ulishudia lini uchawi? Na ilikuwa wapi?
Huna utofauti na kilaza anaeimna aibiwe maarifa yake, kilaza anafurahi wezi wameshindwa kwake 😁😁Hakuna uchawi.
Kama upo, nitoleeni mfano mimi.
Nirogeni.
Karibu miaka 10 sasa nishatoa challenge ya wachawi kuniroga lakini bado nipo tu.
Hahahaaa.
Hakuna uchawi.
Kama ni Real na hupendi nidanganyike weka hicho kisa hapa tutathmini.Mimi nina visa vingi sana nimeshuhudia aisee! Zingine ni fascinating, almost unbelievable, zingine ni frustrating. I am not lying. Sitasimulia, ntaishia kusema tu that thing is VERY, VERY real kabisa. Usidanganyike mtu. Wat wanakataa, wanakataa tu wasichokijua!
Hii nimesimuliwa, but there many personal stories ambazo mimi nimeshudia, aisee!Ulishuhudia au na wewe ulisimuliwa tu?
Hakuna uchawi.
Najua bila shaka umesikia visa vya uchawi watu wakivisimulia kwamba wameshuhudia maishani mwao au whatever, suala linabaki palepale kwenye kuamini. Maana kama ni kisa kwani mtu anashindwa kutunga? Kweli vipo visa watu wanajitungia, lakini kuna visa halisi kabisa. Believe it or not.Kama ni Real na hupendi nidanganyike weka hicho kisa hapa tutathmini.
Usipoweka tutajua tu kuwa ni same Porojo za kila siku
Hakuna uchawi.Huna utofauti na kilaza anaeimna aibiwe maarifa yake, kilaza anafurahi wezi wameshindwa kwake 😁😁
Jiongeze utaelewa
Umeshuhudia nini?Hii nimesimuliwa, but there many personal stories ambazo mimi nimeshudia, aisee!
Mimi huwa nasikia na Hakika naamini zote ni za kutungwaNajua bila shaka umesikia visa vya uchawi watu wakivisimulia kwamba wameshuhudia maishani mwao au whatever, suala linabaki palepale kwenye kuamini. Maana kama ni kisa kwani mtu anashindwa kutunga? Kweli vipo visa watu wanajitungia, lakini kuna visa halisi kabisa. Believe it or not.
Nimetangulia kusema hapo awali kwamba kweli nimeshuhudia visa vingi na vya ajabu kuhusu ushirikina, ila sitavisimulia. Ninachoweza kusema hapa ni kwamba hiyo kitu ni halisi KABISA! No jokes. Ni very serious business katika ulimwengu wa giza. Najua watu wanaojua, watakubaliana na hiki ninachosema. Halafu, umesema umewahi kusikia hizi stori wakisimulia watu, mbona sasa hujaamini?Mimi huwa nasikia na Hakika naamini zote ni za kutungwa
Umesema vipo visa halisi, hivyo ndivyo nahitaji kupata kutoka kwako
Ulishuhudia uchawi lini? Wapi?
Kuna issue imenikuta juzi kati hapa,akaja Mtu akaniambia nihame au nivute masheikh.Mimi nilikuwa sinaga Habari kabisa na uchawi, lakini yalivonikuta hadi mji wangu mwenyewe nikaukimbia,
Nawaza narudi vipi kwenye boma langu