Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

Yote sawa tu hakuna asiejua yote na pia hakuna pia anaejua yawezekana ukawa unajua mengi na pia yawezekana pia mm nikawa najua kidogo
OK. Vizuri.

Tuanze na definitions. Uchawi ni nini? Unajuaje huu ni uchawi na huu si uchawi?

Mababu zetu walivyoona teknolojia ambazo hawakuzijua, kama vile radio, au watu wengine kuweza kutabiri kupatwa kwa jua, waliona huo ni uchawi.

Leo tumeelewa sayansi vizuri, tunajua huo si uchawi ni sayansi tu.

Sasa, utajua vipi kwamba kitu unachofikiri ni uchawi wewe leo ni uchawi tu, na hujaghafilika kwa vitu usivyovijua kama hao mababu zetu?
 
Haiwezekan mkuu Kama hujamshika Mungu au huna nguvu zozote Basi utateswa Sana
Hakika mkuu ila mbali na mambo ya Mungu kuna spiritual world ambayo inahama kidogo na haya mambo ya dini ila iko na nguvu zaidi ya uchawi na ndio maana nikasema ni roho ya kijasiri kukabiliana nao mkuu
 
Kwa nini hawajenda church kumsalia?

Huko makanisani panahitaji imani sana kupokea muujiza otherwise utapoteza muda wako bure kule. By the way, Makanisani nako siku hizi hakuaminiki sana. Kuna wanaoponya kiukweli yaani Yesu kaponya au Uchawi unafanyika huko makanisani.
 
Mtu anaweza kuwa jasiri na shupavu kama Amina Chifupa, lakini bado akalogwa tu. Dawa ya kupambana na ushirikina ni kuwa na ulinzi wa Mola. Mengine yote ni misamiati myeusi.
Hakika kubwa boss.....ila swala hili la ujasiri sio ujasiri wa Kua na nguvu ya kupambana na kitu kimwili mkuu ni ujasiri katika mambo ya kiroho
 
Mkuu kuna nyumba huku inapangishwa, huwa watu hawamalizi week wanakimbia.. njoo na roho ya kijasiri mkuu me unipe hela ya udalali tu
Mkuu maji hayapimwi na kidole [emoji28][emoji28]

Mambo mengine ya kujitakia hata Mungu anashindwa kukusaidia ukihitaji msaada wake
 
Muwe mnasikia tu fulani karogwa, anasumbuliwa na wachawi usiku, n.k haya mambo yakiwakuta ndo mtaijua anaeisimulia mvua basi iliwahi kumnyeshea

Nguvu za giza haziwezi kuonekana kwa macho yetu ya kawaida wala kupimwa na vifaa vya kisayansi, Ni sawa na kurekodi ndoto ya mtu uione kwenye video, haiwezekani, hata mtu akirogwa bado ipo gizani ndio mana hata ukienda hospitalini utaambiwa mashine haziwezi kugundua chanzo cha ugonjwa wako

Binafsi nilikaa nyumba moja, ikifika saa saba kuna vishindo mithiri ya mtu anakwangua ukuta kwa nondo, na hii ilikuwa kwa wapangaji wote ila ukitoka nje kucheku huko nyuma hakuna kitu.

Ni mpaka siku moja mida hio saa saba kikalia kishindo kikubwa sana paaaa! juu ya bati kila mpangaji alitoka nje ila hakukuonekana kitu, baada ya kufatilia kumbe kuna mlangaji moja alikuwa anateswa na hawa watu usiku, babu yake alikuja siku hio hapo na kuweka mtego wake.

Tukio lengine kuna mtoto moja alikuwa na miaka mitano alikuwa mzima wa afya, ghafla akawa kipofu, kiziwi na hata kushindwa kuongea, Wazazi wake wakagundua hii hali si kawaida, walimpeleka hospitali nyingi muhimbili, kcmc, n.k ilibidi apelekwe kijijini kwa mzee wake, siku hio hio walirudi na mtoto akawa hali ya kawaida kabisa

Hapo zamani sijui kama sikuhizi bado vipo, Mashuleni ya porini huko boarding visa vya wanafunzi kukutana na vibwengo ilikuwa ni kawaida sana

Mwengine nakumbuka alivimba sana miguu, walimsihi sana waende kwao kuchekiwa ila alikua haamini hvi vitu, hata miezi miwili haikufika tukamzika.
Hamna uchawi, ni imani yako!
 
OK. Vizuri.

Tuanze na definitions. Uchawi ni nini? Unajuaje huu ni uchawi na huu si uchawi?

Mababu zetu walivyoona teknolojia ambazo hawakuzijua, kama vile radio, au watu wengine kuweza kutabiri kupatwa kwa jua, waliona huo ni uchawi.

Leo tumeelewa sayansi vizuri, tunajua huo si uchawi ni sayansi tu.

Sasa, utajua vipi kwamba kitu unachofikiri ni uchawi wewe leo ni uchawi tu, na hujaghafilika kwa vitu usivyovijua kama hao mababu zetu?
Kwa mujibu wa maelezo yako natoa aina mbili za defn
Ya kwanza uchawi ni elimu ambayo mtu hana uelewa juu ya jambo fulani yaan akili yake inashindwa kutambua nini kimefanyika hapa namaanisha misukule mapepo
Ya pili ni uchawi ni sayansi ambayo huwezi prove kuwepo kwake
 
Kwa mujibu wa maelezo yako natoa aina mbili za defn
Ya kwanza uchawi ni elimu ambayo mtu hana uelewa juu ya jambo fulani yaan akili yake inashindwa kutambua nini kimefanyika hapa namaanisha misukule mapepo
Ya pili ni uchawi ni sayansi ambayo huwezi prove kuwepo kwake
Kwa hiyo mtu anayejua mienendo ya jua na mwezi, akaweza kutabiri jua litapatwa tarehe fulani, huyo ni mchawi?

Unahakikishaje uchawi upo kweli na si hadithi za watu tu zinazotokana na ujinga wao wa kutojua mambo kama sayansi na saikolijia?
 
Yesu mwenyewe alikuwa anafanya maajabu nyinyi mnaita miujiza lkn hakuna tofauti Kati ya uchawi na miujiza zote ni kuenfluence natural power
Tofauti ni jinsi utakavyotumia ili kuangamiza wenzako au kuuwa hapo tunasema uchawi lkn hata Yesu mwenywe alikuwa anapractise uchawi

Ngoja nimwite Astronomer
"lakini hakuna tofauti"… "tofauti ni jinsi…"!!???

Uchawi ni ushetani, nguvu za giza (superstition); miujiza ni utendaji wa Mungu (supernatural work of God). VERY BIG DIFFERENCE. Leo Shetani aliyekutuma lazima akukule nyama.
 
OK. Vizuri.

Tuanze na definitions. Uchawi ni nini? Unajuaje huu ni uchawi na huu si uchawi?

Mababu zetu walivyoona teknolojia ambazo hawakuzijua, kama vile radio, au watu wengine kuweza kutabiri kupatwa kwa jua, waliona huo ni uchawi.

Leo tumeelewa sayansi vizuri, tunajua huo si uchawi ni sayansi tu.

Sasa, utajua vipi kwamba kitu unachofikiri ni uchawi wewe leo ni uchawi tu, na hujaghafilika kwa vitu usivyovijua kama hao mababu zetu?
Poor definition. Eti kitu usichojua ndio uchawi???
 
Huko makanisani panahitaji imani sana kupokea muujiza otherwise utapoteza muda wako bure kule. By the way, Makanisani nako siku hizi hakuaminiki sana. Kuna wanaoponya kiukweli yaani Yesu kaponya au Uchawi unafanyika huko makanisani.
But haiondoi ukweli kwamba church ndipo penye solutions. Usichanganye habari wala kudanganywa na Iblis Shetani
 
Muwe mnasikia tu fulani karogwa, anasumbuliwa na wachawi usiku, n.k haya mambo yakiwakuta ndo mtaijua anaeisimulia mvua basi iliwahi kumnyeshea

Nguvu za giza haziwezi kuonekana kwa macho yetu ya kawaida wala kupimwa na vifaa vya kisayansi, Ni sawa na kurekodi ndoto ya mtu uione kwenye video, haiwezekani, hata mtu akirogwa bado ipo gizani ndio mana hata ukienda hospitalini utaambiwa mashine haziwezi kugundua chanzo cha ugonjwa wako

Binafsi nilikaa nyumba moja, ikifika saa saba kuna vishindo mithiri ya mtu anakwangua ukuta kwa nondo, na hii ilikuwa kwa wapangaji wote ila ukitoka nje kucheku huko nyuma hakuna kitu.

Ni mpaka siku moja mida hio saa saba kikalia kishindo kikubwa sana paaaa! juu ya bati kila mpangaji alitoka nje ila hakukuonekana kitu, baada ya kufatilia kumbe kuna mlangaji moja alikuwa anateswa na hawa watu usiku, babu yake alikuja siku hio hapo na kuweka mtego wake.

Tukio lengine kuna mtoto moja alikuwa na miaka mitano alikuwa mzima wa afya, ghafla akawa kipofu, kiziwi na hata kushindwa kuongea, Wazazi wake wakagundua hii hali si kawaida, walimpeleka hospitali nyingi muhimbili, kcmc, n.k ilibidi apelekwe kijijini kwa mzee wake, siku hio hio walirudi na mtoto akawa hali ya kawaida kabisa

Hapo zamani sijui kama sikuhizi bado vipo, Mashuleni ya porini huko boarding visa vya wanafunzi kukutana na vibwengo ilikuwa ni kawaida sana

Mwengine nakumbuka alivimba sana miguu, walimsihi sana waende kwao kuchekiwa ila alikua haamini hvi vitu, hata miezi miwili haikufika tukamzika.
Ndio maana ccm wakaamua kuongozwa na mshikirina
 
Kwa mujibu wa maelezo yako natoa aina mbili za defn
Ya kwanza uchawi ni elimu ambayo mtu hana uelewa juu ya jambo fulani yaan akili yake inashindwa kutambua nini kimefanyika hapa namaanisha misukule mapepo
Ya pili ni uchawi ni sayansi ambayo huwezi prove kuwepo kwake
Aisee!??? Hata ungejaribu "kugugo" basi kidogo upanue maarifa yako.
 
Kwa hiyo mtu anayejua mienendo ya jua na mwezi, akaweza kutabiri jua litapatwa tarehe fulani, huyo ni mchawi?

Unahakikishaje uchawi upo kweli na si hadithi za watu tu zinazotokana na ujinga wao wa kutojua mambo kama sayansi na saikolijia?
What is your definition of "uchawi"??? Maana siyo nadharia, hii kitu ni almost beyond reality.
 
Back
Top Bottom