Nimehudhuria mkutano wa ukanda kuhusu mkataba wa EPA, Tanzania tumeonesha njia

Nimehudhuria mkutano wa ukanda kuhusu mkataba wa EPA, Tanzania tumeonesha njia

Tunashukuru mama kwa taarifa. Alipo tupo naye mh.prezida
 
-TATIZO KUBWA LA MKATABA HUU LILIKUWA NI UKISHAINGIA MKATABA HUU UNAKUVUA UWEZO WA KUJIONDOA NDANI YA MIAKA 20.HATA KAMA UNAPATA LOSS YA KIASI GANI UVUMILIE TU...WAT SHIT ID IT?
 
Viongozi wa EAC wameweka kando mpango wa wazungu wa ulaya, kwa muda mrefu tumekuwa wahanga wa maamuzi ya ulaya, sasa tushikamane tushirikiane na wenye nia ya kweli ya kutuletea maendeleo.
 
Kwa msimamo alionyesha kuhusu kukataa kusaini mkataba wa EPA kama nchi ndani ya jumuia ni wa kuigwa na viongozi wengine Tanzania.

Maslahi ya Tanzania Kwanza ya mtu binafsi badae.

Huu ndio uzalendo.
 
Ahsante Mwenyekiti wa ACT.. Mama yetu mpendwa
 
Duh hapo ndio ninapochoshwa na wasomi wa nchi hii, inakuwaje mpaka leo hamjafanya utafiti kujua faida na hasara za EPA? Kichekesho cha hali ya juu. Kweli kabisa mwenyekiti wa chama unatoka kwenye mkutano unajisifu kuwa hamjui faida au hasara za EPA na kujipa muda zaidi? Kama hakuna faida kwa nini msionyeshe msimamo na kukataa na kama kuna faida kwa nini msikubali? Je hili suala la EPA limekuja Ghafla? Nyie wanasiasa a wasomi msiofanya utafiti na msiojua wajibu wenu ni mizigo na majanga ya kitaifa. Kufanya utafiti kuhusu EPA mnaitaji miezi mitatu, are you serious?
Kichwa chako kipo vizuri
 
..LOL!!

..lakini sisi tulisema HATUTASAINI na mkataba huo UTATUUMIZA KIUCHUMI.

..and it took us a long time to arrive at that decision.

..tukibadili uamuzi huu basi Tz itakuwa " imeonyeshwa njia."

..zaidi tutakuwa tumekubali KUONGOZWA NA KUSALIMU AMRI KWA NCHI MAJIRANI.
Tunaweza kubadili msimamo pale ambapo madai yetu ya msingi yatafanyiwa kazi.

Kubadili msimamo kwa msingi huo itakuwa tumebadili msimamo kwa faida ya Taifa.

Tanzania tumeonyesha njia pamoja na uwepo wa external pressure kubwa kutoka nchi za umoja wa Ulaya.
 
Kwa msimamo alionyesha kuhusu kukataa kusaini mkataba wa EPA kama nchi ndani ya jumuia ni wa kuigwa na viongozi wengine Tanzania.

Maslahi ya Tanzania Kwanza ya mtu binafsi badae.

Huu ndio uzalendo.

Your post leaves much to be desired!
 
Furaha uliyo nayo inanikumbusha ile habari ya kwenye Luka 10:

Ndipo wale sabini walipo rudi kwa furaha wakisema, 'Bwana, kwa jina lako hata pepo wanatutii?

Bwana akawaambia, 'Nalimwona Shetani akianguka kama mwanga wa radi toka Mbinguni'... Lakini basi, msifurahi kwa vile pepo wanavyo watii bali kwa kuwa majina yenu yameandikwa Mbinguni....
 
Baadhi ya nchi wanatamani Marais wao wamuige magufuli kiutendaji kazi. Sisi hapa tunampinga na kumuhujumu kwa maslahi ya wevi na maharamia wa uchumi.
 
Alaaa kumbe mama Anna Mghwira upo huku?

Naomba nikueleze tu kuwa Magufuli atake asitake huo mkataba atasaini tu!! Wenzake Kenyatta na Museven ndo wameshinikiza hilo na hicho kikao cha dharura ni kuweka mambo sawa.
 
Huu mkataba tukisaini nadhani ile dhana ya "nchi ya viwanda" inaweza kugeuka ndoto, nilimsikia leo Rais akiliongea hili jambo kwa kina...hizi Jumuiya mara nyingine inabidi tu kutofautiana nazo kama haziendani na mipango ya nchi yako.
 
Duh hapo ndio ninapochoshwa na wasomi wa nchi hii, inakuwaje mpaka leo hamjafanya utafiti kujua faida na hasara za EPA? Kichekesho cha hali ya juu. Kweli kabisa mwenyekiti wa chama unatoka kwenye mkutano unajisifu kuwa hamjui faida au hasara za EPA na kujipa muda zaidi? Kama hakuna faida kwa nini msionyeshe msimamo na kukataa na kama kuna faida kwa nini msikubali? Je hili suala la EPA limekuja Ghafla? Nyie wanasiasa a wasomi msiofanya utafiti na msiojua wajibu wenu ni mizigo na majanga ya kitaifa. Kufanya utafiti kuhusu EPA mnaitaji miezi mitatu, are you serious?
kila nchi teyar ina maamuz yake ktakachofanyika katkat hapo nadhan ni negotiations za kdiplomasia ya uchumi
 
Hili jina EPA wengine hata kama halihusiani na skandali ile bado tunapolisikia tunapata ukakasi mioyoni mwetu!!
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Katika mikataba ya kimangungo ambayo tungejutia ni sawa na hii.

Hakuna win win under the sun tunaweza kushindana na industrial products na nchi za ulaya nyerere angekuwepo hata kufikiria hii negotiation angetupiga viboko hadharani. Uuzaji wa maua wa kenya kisiwe kigezo cha ku erode future ya jumuia yetu.

Heko kwa mh Benjamin William Mkapa alianza kuipigia kelele nadhani two years ago na sikuwahi kusikia figure muhimu nchini mwangu wakinong'ona kuhusu hii issue. Hapa ndo mtakapojua maana ya jiwe kuitwa jiwe na chuma kuitwa chuma.
 
Back
Top Bottom