comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
Kwa kweli nimemkubali Mh Rais katika misimamo yake safii sana maana Tanzania ingekua ndio dampo la bidhaa za nje bila kulipiwa ushuru tungechakaa sana, Hawa wazungu walitaka kutuingiza mkenge, lakini Mh Rais na washauri wake waliliona muda tuu, BIG up Your excellency president Dr JPM