Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
NAFTA ilishasainiwa siku nyingi sana sana Trump analalamika kuwa nchi yake inapoteza kuliko kupata. By the way sisi tunataka nini kwenye EPA? Maana nisijekuwa nabishana na kopo tupu na mfuniko wake!?
Hilo swali kawaulize wahusika, na isitoshe Mama Mghwira amesema atakuja hapa na kuandika kirefu zaidi hivyo utapata muda muafaka wa kusoma kama ukiweza na kuuliza maswali!!