Kwa sie tulioanza kufuatilia suala la EPA zaidi ya miaka 5 iliyopita inakera sana tena sana kusikia eti "...hadi itakapojiridhisha kuhusu faida na hasara za mkataba huu!" Mtu mwingine anaweza kudhani suala la EPA ni jambo jipya kumbe lina miaka na miaka sasa!! Ina maana hadi leo Waheshimiwa wetu walikuwa hawafanya tathminini kufahamu faida na hasara za EPA?! Nilitarajia kwa ile jana iwe ni YES au NO, PERIOD... kumbe bado tunatafakari kufahamu pros and cons!!!!Tayari Tanzania imeonesha mfano kwa kusita kuingia makubaliano hadi itakapojiridhisha kuhusu faida na hasara za mkataba huu.
Mkataba wa EPA ni mzuri lakini unaonekana ni mbaya na YES, kwetu ni mbaya au hauna manufaa si kwa sababu EPA as EPA ni mbaya bali ni sisi wenyewe ndio tuna akili mbaya! Tusingekuwa na akili mbaya EPA ingekuwa ni opportunity! We have a lot to sell to EU but we don't know which among them! A country like Tanzania with abundant and virgin land ni kufuru kwa Mwenyezi Mungu hadi leo tunalilia kwamba sisi hatuna cha kuuza EU... community iliyojaa junk and inorganic produces everywhere wakati sisi tukiwa na uwezo na kuzalisha organic produces at minimal cost ambazo ni valuable anywhere na kuweza kulisha the whole of EU!!! Hapa napo Watendaji wa Serikali watalia lia kwamba ni ngumu ku-compete na European Farmers kwa sababu wanapewa subsidize... so why don't you offer the same kwa wakulima wenu?!
