Nimeiba ama ndo zali la mentali

Nimeiba ama ndo zali la mentali

Hamumu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2021
Posts
1,439
Reaction score
3,587
Siku iko aje....

Kama kawaida jana jumapili nlitoka katika moja ya bar ya akina sisi wa hali ya kati nikiwa niko tungi kiasi. Kwa vile muda uliyoyoma nikaona nisepe mapema nikapumzike ile niupe mwili nafasi ya kujiandaa na majukumu ya kesho (ambayo ni leo).

Kwa vile nliishiwa cash nikaona nipitie kwa moja ya wakala wa huduma za miamala ya kifedha ili nitoe ela ya kunifikisha ninapoishi + akiba ya kulinda wallet.

Nliuliza kwanza kama naweza kutoa laki 1 na 60 elfu, akaitikia karibu.

Bila kupoteza muda nikapga *150*88# nikafata maelekezo hadi meseji ikarudi kuthibitisha. Akanipa 160k nikateleza hadi ninapoishi. Kwa vile mke wangu nilishamfukuza, nilikumbuka kurudi na nyama choma coz hakuna wa kunipikia.

Nililala fresh, asubuh nmeamka nikanunua umeme wa luku. Cha ajabu nlipoisoma mesej ya halopesa nligundua bado nina salio kubwa lililobaki. Ikabidi niirudie ile mesej ya 160k ya jana usiku.

Kumbe sikutoa 160,000 badala yake nilitoa 16,000. Sasa hapa najiuliza huyu wakala hakuisoma vzr agundue kuwa sikuongeza 0 au na yy ndo alikuwa tungi pia.

Najarib kuwaza kuwa nmeiba au ndo zali.

Pia najiuliza itakuaj kama atagundua na meseji ya muamala inakuwaga na namba ya alietoa ela. Sielew
 
Ataku
Siku iko aje....

Kama kawaida jana jumapili nlitoka katika moja ya bar ya akina sisi wa hali ya kati nikiwa niko tungi kiasi. Kwa vile muda uliyoyoma nikaona nisepe mapema nikapumzike ile niupe mwili nafasi ya kujiandaa na majukumu ya kesho (ambayo ni leo).

Kwa vile nliishiwa cash nikaona nipitie kwa moja ya wakala wa huduma za miamala ya kifedha ili nitoe ela ya kunifikisha ninapoishi + akiba ya kulinda wallet.
Nliuliza kwanza kama naweza kutoa laki 1 na 60 elfu, akaitikia karibu.
Bila kupoteza muda nikapga *150*88# nikafata maelekezo hadi meseji ikarudi kuthibitisha. Akanipa 160k nikateleza hadi ninapoishi. Kwa vile mke wangu nilishamfukuza, nilikumbuka kurudi na nyama choma coz hakuna wa kunipikia.

Nililala fresh, asubuh nmeamka nikanunua umeme wa luku. Cha ajabu nlipoisoma mesej ya halopesa nligundua bado nina salio kubwa lililobaki. Ikabidi niirudie ile mesej ya 160k ya jana usiku. Kumbe sikutoa 160,000 badala yake nilitoa 16,000. Sasa hapa najiuliza huyu wakala hakuisoma vzr agundue kuwa sikuongeza 0 au na yy ndo alikuwa tungi pia.

Najarib kuwaza kuwa nmeiba au ndo zali.
Pia najiuliza itakuaj kama atagundua na mesej ya muamala inakuwaga na namba ya alietoa ela. Sielew
Atakudaka kampe hela ya juu
 
Siku iko aje....

Kama kawaida jana jumapili nlitoka katika moja ya bar ya akina sisi wa hali ya kati nikiwa niko tungi kiasi. Kwa vile muda uliyoyoma nikaona nisepe mapema nikapumzike ile niupe mwili nafasi ya kujiandaa na majukumu ya kesho (ambayo ni leo).

Kwa vile nliishiwa cash nikaona nipitie kwa moja ya wakala wa huduma za miamala ya kifedha ili nitoe ela ya kunifikisha ninapoishi + akiba ya kulinda wallet.
Nliuliza kwanza kama naweza kutoa laki 1 na 60 elfu, akaitikia karibu.
Bila kupoteza muda nikapga *150*88# nikafata maelekezo hadi meseji ikarudi kuthibitisha. Akanipa 160k nikateleza hadi ninapoishi. Kwa vile mke wangu nilishamfukuza, nilikumbuka kurudi na nyama choma coz hakuna wa kunipikia.

Nililala fresh, asubuh nmeamka nikanunua umeme wa luku. Cha ajabu nlipoisoma mesej ya halopesa nligundua bado nina salio kubwa lililobaki. Ikabidi niirudie ile mesej ya 160k ya jana usiku. Kumbe sikutoa 160,000 badala yake nilitoa 16,000. Sasa hapa najiuliza huyu wakala hakuisoma vzr agundue kuwa sikuongeza 0 au na yy ndo alikuwa tungi pia.

Najarib kuwaza kuwa nmeiba au ndo zali.
Pia najiuliza itakuaj kama atagundua na mesej ya muamala inakuwaga na namba ya alietoa ela. Sielew
Lakini si umejisari na NIDA Yako
 
Siku iko aje....

Kama kawaida jana jumapili nlitoka katika moja ya bar ya akina sisi wa hali ya kati nikiwa niko tungi kiasi. Kwa vile muda uliyoyoma nikaona nisepe mapema nikapumzike ile niupe mwili nafasi ya kujiandaa na majukumu ya kesho (ambayo ni leo).

Kwa vile nliishiwa cash nikaona nipitie kwa moja ya wakala wa huduma za miamala ya kifedha ili nitoe ela ya kunifikisha ninapoishi + akiba ya kulinda wallet.
Nliuliza kwanza kama naweza kutoa laki 1 na 60 elfu, akaitikia karibu.
Bila kupoteza muda nikapga *150*88# nikafata maelekezo hadi meseji ikarudi kuthibitisha. Akanipa 160k nikateleza hadi ninapoishi. Kwa vile mke wangu nilishamfukuza, nilikumbuka kurudi na nyama choma coz hakuna wa kunipikia.

Nililala fresh, asubuh nmeamka nikanunua umeme wa luku. Cha ajabu nlipoisoma mesej ya halopesa nligundua bado nina salio kubwa lililobaki. Ikabidi niirudie ile mesej ya 160k ya jana usiku. Kumbe sikutoa 160,000 badala yake nilitoa 16,000. Sasa hapa najiuliza huyu wakala hakuisoma vzr agundue kuwa sikuongeza 0 au na yy ndo alikuwa tungi pia.

Najarib kuwaza kuwa nmeiba au ndo zali.
Pia najiuliza itakuaj kama atagundua na mesej ya muamala inakuwaga na namba ya alietoa ela. Sielew
Rudi ukampe iliyo haki yake yasije yakakukuta makubwa.. Kumbuka kusononeka kwake ni laana kwako.. Jaribu kuvaa vitu vyake
 
Siku iko aje....

Kama kawaida jana jumapili nlitoka katika moja ya bar ya akina sisi wa hali ya kati nikiwa niko tungi kiasi. Kwa vile muda uliyoyoma nikaona nisepe mapema nikapumzike ile niupe mwili nafasi ya kujiandaa na majukumu ya kesho (ambayo ni leo).

Kwa vile nliishiwa cash nikaona nipitie kwa moja ya wakala wa huduma za miamala ya kifedha ili nitoe ela ya kunifikisha ninapoishi + akiba ya kulinda wallet.
Nliuliza kwanza kama naweza kutoa laki 1 na 60 elfu, akaitikia karibu.
Bila kupoteza muda nikapga *150*88# nikafata maelekezo hadi meseji ikarudi kuthibitisha. Akanipa 160k nikateleza hadi ninapoishi. Kwa vile mke wangu nilishamfukuza, nilikumbuka kurudi na nyama choma coz hakuna wa kunipikia.

Nililala fresh, asubuh nmeamka nikanunua umeme wa luku. Cha ajabu nlipoisoma mesej ya halopesa nligundua bado nina salio kubwa lililobaki. Ikabidi niirudie ile mesej ya 160k ya jana usiku. Kumbe sikutoa 160,000 badala yake nilitoa 16,000. Sasa hapa najiuliza huyu wakala hakuisoma vzr agundue kuwa sikuongeza 0 au na yy ndo alikuwa tungi pia.

Najarib kuwaza kuwa nmeiba au ndo zali.
Pia najiuliza itakuaj kama atagundua na mesej ya muamala inakuwaga na namba ya alietoa ela. Sielew
Mrudishe mke, kwa sasa una hela.
 
Siku iko aje....

Kama kawaida jana jumapili nlitoka katika moja ya bar ya akina sisi wa hali ya kati nikiwa niko tungi kiasi. Kwa vile muda uliyoyoma nikaona nisepe mapema nikapumzike ile niupe mwili nafasi ya kujiandaa na majukumu ya kesho (ambayo ni leo).

Kwa vile nliishiwa cash nikaona nipitie kwa moja ya wakala wa huduma za miamala ya kifedha ili nitoe ela ya kunifikisha ninapoishi + akiba ya kulinda wallet.
Nliuliza kwanza kama naweza kutoa laki 1 na 60 elfu, akaitikia karibu.
Bila kupoteza muda nikapga *150*88# nikafata maelekezo hadi meseji ikarudi kuthibitisha. Akanipa 160k nikateleza hadi ninapoishi. Kwa vile mke wangu nilishamfukuza, nilikumbuka kurudi na nyama choma coz hakuna wa kunipikia.

Nililala fresh, asubuh nmeamka nikanunua umeme wa luku. Cha ajabu nlipoisoma mesej ya halopesa nligundua bado nina salio kubwa lililobaki. Ikabidi niirudie ile mesej ya 160k ya jana usiku. Kumbe sikutoa 160,000 badala yake nilitoa 16,000. Sasa hapa najiuliza huyu wakala hakuisoma vzr agundue kuwa sikuongeza 0 au na yy ndo alikuwa tungi pia.

Najarib kuwaza kuwa nmeiba au ndo zali.
Pia najiuliza itakuaj kama atagundua na mesej ya muamala inakuwaga na namba ya alietoa ela. Sielew
Huu ni wizi, rudisha fedha za watu.
 
Siku iko aje....

Kama kawaida jana jumapili nlitoka katika moja ya bar ya akina sisi wa hali ya kati nikiwa niko tungi kiasi. Kwa vile muda uliyoyoma nikaona nisepe mapema nikapumzike ile niupe mwili nafasi ya kujiandaa na majukumu ya kesho (ambayo ni leo).

Kwa vile nliishiwa cash nikaona nipitie kwa moja ya wakala wa huduma za miamala ya kifedha ili nitoe ela ya kunifikisha ninapoishi + akiba ya kulinda wallet.
Nliuliza kwanza kama naweza kutoa laki 1 na 60 elfu, akaitikia karibu.
Bila kupoteza muda nikapga *150*88# nikafata maelekezo hadi meseji ikarudi kuthibitisha. Akanipa 160k nikateleza hadi ninapoishi. Kwa vile mke wangu nilishamfukuza, nilikumbuka kurudi na nyama choma coz hakuna wa kunipikia.

Nililala fresh, asubuh nmeamka nikanunua umeme wa luku. Cha ajabu nlipoisoma mesej ya halopesa nligundua bado nina salio kubwa lililobaki. Ikabidi niirudie ile mesej ya 160k ya jana usiku. Kumbe sikutoa 160,000 badala yake nilitoa 16,000. Sasa hapa najiuliza huyu wakala hakuisoma vzr agundue kuwa sikuongeza 0 au na yy ndo alikuwa tungi pia.

Najarib kuwaza kuwa nmeiba au ndo zali.
Pia najiuliza itakuaj kama atagundua na mesej ya muamala inakuwaga na namba ya alietoa ela. Sielew
Mrudishie pesa yake mkuu Kumbuka wengi ni waajiriwa mwisho wa siku boss wake akipiga hesabu akakuta hiyo hasara atamkata kwenye mshahara wake hapo ukute kijana/binti wa watu ndo anategemea mshahara wake wa laki mbili awatumie wazazi wake kijijini
 
Huyo jamaa hapo yupo kibaruan na nyuma yake kuna wanaomtegemea, tayar ushamuweka yeye na wanaomtegemea mtatan, kama fikra zako lifikirie na hilo coz hesab ya jana ina mapungufu makubwa na ni juu yake
Hili jambo limenikaa sana kichwani. Nitajitahidi kuizuia tamaa isiniingie nimrejeshee chake.
 
Back
Top Bottom