Inafikirisha mkuu. Ila pesa itarudi kwa mhusikaMrudishie pesa yake mkuu Kumbuka wengi ni waajiriwa mwisho wa siku boss wake akipiga hesabu akakuta hiyo hasara atamkata kwenye mshahara wake hapo ukute kijana/binti wa watu ndo anategemea mshahara wake wa laki mbili awatumie wazazi wake kijijini
Safi sana Mkuu,mrudishie jamaa asijekukatwa kwenye mshahara wake,Nitafanya hvo mkuu.
Hautakuwa wizi mpka pale utakapoamua kuto mrudishia wakala kiasi ambacho si cha kwako.Siku iko aje....
Kama kawaida jana jumapili nlitoka katika moja ya bar ya akina sisi wa hali ya kati nikiwa niko tungi kiasi. Kwa vile muda uliyoyoma nikaona nisepe mapema nikapumzike ile niupe mwili nafasi ya kujiandaa na majukumu ya kesho (ambayo ni leo).
Kwa vile nliishiwa cash nikaona nipitie kwa moja ya wakala wa huduma za miamala ya kifedha ili nitoe ela ya kunifikisha ninapoishi + akiba ya kulinda wallet.
Nliuliza kwanza kama naweza kutoa laki 1 na 60 elfu, akaitikia karibu.
Bila kupoteza muda nikapga *150*88# nikafata maelekezo hadi meseji ikarudi kuthibitisha. Akanipa 160k nikateleza hadi ninapoishi. Kwa vile mke wangu nilishamfukuza, nilikumbuka kurudi na nyama choma coz hakuna wa kunipikia.
Nililala fresh, asubuh nmeamka nikanunua umeme wa luku. Cha ajabu nlipoisoma mesej ya halopesa nligundua bado nina salio kubwa lililobaki. Ikabidi niirudie ile mesej ya 160k ya jana usiku. Kumbe sikutoa 160,000 badala yake nilitoa 16,000. Sasa hapa najiuliza huyu wakala hakuisoma vzr agundue kuwa sikuongeza 0 au na yy ndo alikuwa tungi pia.
Najarib kuwaza kuwa nmeiba au ndo zali.
Pia najiuliza itakuaj kama atagundua na mesej ya muamala inakuwaga na namba ya alietoa ela. Sielew
Umeeleweka vzr ndugu.Hao mawakala mishahara yao haizidi laki 2, nadra kukuta analipwa zaidi ya hiyo na boss wake.
Jikaze kiume umrudishie tu ili kunusuru mshahara wake wa lak na nusu. Mimi niliwahi kurejesha laki ya wakala, binti alizidisha na alikuwa mgeni hapo ofisin.
Safi mkuu wangu.Hivyo ndivyo inavyotakiwa.kwa sababu inabdi uvae viatu vyake huyo wakala.labda ukute ni mfanyakazi akipigisha loss anakatwa mshahara wakeNimekupata mkuu. Pesa yake itarudi
Mrudishie mkuuMoyo umekosa amani gafla nikijaribu kumfikiria yule jamaa
Huu sio wizi,bali ni makosa ya mhudumu wa miamala.Huu ni wizi, rudisha fedha za watu.
Hapa nasubiri mrejesho ili niige sifa nzuri za utu na uungwanaNimekupata mkuu. Pesa yake itarudi
Hongera mammy. Ulionesha uungwana. Me pia nlipompatia ela ake hakuamini. Alinipa 10k, nikamwambia hana haja ya kunipa hio yote. Alitulia kwa dk kama 10 akatoka na kurudi na nyama choma kama kilo hv. Akaomba nisiisusie. Tukakaa tukala hadi ikaisha. Tukabadlshana namba na akawa rafk angupWakala aliwahi kunizidishia 512,000/=, Mimi nilipofika ofisini baada ya kumaliza hesabu zangu nikajikuta Nina zidi ya 512,000 nikajua tu ni wakala kajichanganya nikaiweka kwenye bahasha.alivyokua anafunga hesabu zake usiku Akakuta ana short ya 512,000/= akanipigia simu saa nne usiku anaongea sauti haitoki vizuri πππ" dada samahani eti Kuna hela ilizidi kwenye hela niliyokupa"?.Nikamuambia tu nitakuletea asubuhi, nilitamkiwa baraka siku hiyoππ nilivyompelekea hakuamini.
Pesa ilirudi mkuu. Nlimwendea mida ya saa tatu usiku nikamwambia nahtaj kufanya muamala wa laki 1. Akaniruhusu. Nikaona huyu hana kumbukumbu. Ikabidi nimwombe atoke nje tuongee. Nikaomba anioneshe mesej za miamala ya jana, akagoma akiwa na wasiwasi mwingi. Ikabid nifunguke tu. Alitoa chozi akaniita BRO.Huu sio wizi,bali ni makosa ya mhudumu wa miamala.
Sasa cha msingi ni kuwa na utu tu,hiyo pesa arudishe,kuna amani ya moto itapatikana baada ya kurudisha.
Yaani hata asiwaze eti hatajua,sawa yawezekana asijue kama ni mzembe ila uaminifu ni kitu kizuri hata kama hakuna anayekuona ukifanya uaminifu.
Hongera mammy. Ulionesha uungwana. Me pia nlipompatia ela ake hakuamini. Alinipa 10k, nikamwambia hana haja ya kunipa hio yote. Alitulia kwa dk kama 10 akatoka na kurudi na nyama choma kama kilo hv. Akaomba nisiisusie. Tukakaa tukala hadi ikaisha. Tukabadlshana namba na akawa rafk angup
Safi sanaa!Pesa ilirudi mkuu. Nlimwendea mida ya saa tatu usiku nikamwambia nahtaj kufanya muamala wa laki 1. Akaniruhusu. Nikaona huyu hana kumbukumbu. Ikabidi nimwombe atoke nje tuongee. Nikaomba anioneshe mesej za miamala ya jana, akagoma akiwa na wasiwasi mwingi. Ikabid nifunguke tu. Alitoa chozi akaniita BRO.
Nlikula nyama wazee... sahv tunawasiliana as brothers.