Hamumu JF-Expert Member Joined Jul 12, 2021 Posts 1,439 Reaction score 3,587 Nov 15, 2024 Thread starter #41 The Spirit of Tanzania said: Safi sanaa! Uaminifu unalipa,Ile amani ya moyo baada ya kurudisha inakupa kujiamini nafsi yako kwenye hili. Natamani CCM wawe hivi waaminifu tungefika mbali kama nchi! Click to expand... Amani ya moyo ni kiyu muhimu sana mkuu. Imagine nimepata rafiki gafla. Then n mtu wa kuajiriwa tu, si mmiliki wa hio mishe. Kwa sasa nina amani sana
The Spirit of Tanzania said: Safi sanaa! Uaminifu unalipa,Ile amani ya moyo baada ya kurudisha inakupa kujiamini nafsi yako kwenye hili. Natamani CCM wawe hivi waaminifu tungefika mbali kama nchi! Click to expand... Amani ya moyo ni kiyu muhimu sana mkuu. Imagine nimepata rafiki gafla. Then n mtu wa kuajiriwa tu, si mmiliki wa hio mishe. Kwa sasa nina amani sana
Hamumu JF-Expert Member Joined Jul 12, 2021 Posts 1,439 Reaction score 3,587 Nov 15, 2024 Thread starter #42 MamaSamia2025 said: Hongera kwa uungwana wako. Click to expand... Asante ndugu. Napata amani zaidi ninapoona zaidi ya 99% ya members wanakubaliana na nilichokifanya.
MamaSamia2025 said: Hongera kwa uungwana wako. Click to expand... Asante ndugu. Napata amani zaidi ninapoona zaidi ya 99% ya members wanakubaliana na nilichokifanya.