Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Tayari ilishakatwa katwa na kupelekwa gerezani k/koo na Mwabepande Tandale kama skrepaNi gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246
View attachment 1999715View attachment 2000213
I've got a message hiyo connection matataaHapana dereva sikuwa na hofu naye kabisa. Ule wizi ulikuwa hivi wakifika mahali wanaamuru dereva yeyote wanayemkuta njiani atoe gari wabadili na kuweka mzigo na kutelekeza waliyo nayo hapo. Hivyo magari kadhaa ya raia yalimika na mengine yalipigwa risasi maana walikuwa wanafukuziwa kwa magari ya police mpaka Helicopter. Bahati nzuri gari yangu ndiyo ilitumika kufikisha mzigo huko wajuao wao na haikupigwa risasi yeyote. Nilichosema ni kwamba ushahidi wa dereva wangu ulikuwa wa maana Sana maana aliwatambua karibu wote siku ya parade mpaka aliyemwekea mtutu wa Bunduki. Na maelezo aliandika kituo cha polisi fulani yaliyonyooka mno. Nisiseme Sana kuhusu Yale maelezo kilichofanyika huko kwenye mafaili.
Kifupi majambazi nao huwa na ring leaders ambao pengine hawako front. Pia wanao marafiki majambazi wenzao. Wote hao hucheza michexo wenzao wakiwa ndani. Sisemi Sana kuhusu michexo Ila unatakiwa uelewe lugha yangu.
Maji ya beteri yanapenyaje mdomoni kufika tumboni?Maji ya betri ndio kiboko. Anakunywa kisha mnamuacha . Hatotoboa hatua kumi.
Jiamini we mwenyewe nasisitiza tena [emoji848]Mama yangu mzazi je?
kwa kosa lipi?...la kuwa tofauti na alichoandika mleta mda?Duh hujala ban tu?
Wewe ndo mjinga.unajiona una akili kumbe jinga tu.Una mali gani yakuibiwa wewe kama sio roho yakijinga tu.Unajiona una jua kuliko walioweka mahakama na sheria.pole sana.Toa ujinga wako hapa.
Hujawahi kuibiwa
Umeolewa Mara ngapi? Nataka kusifu miuno yako.hakuna mtu anazuia hilo, ila haiwezekani mwenzio ana maumivu unakuja andika upuuuzi huo..
we hata ka unapenda sifia umashuhuri wa bwanako kitandani hebu jaribu siku kamsifie kwa babako mzazi au kiongozi wako wa dini...
kila jambo na wakati wake
Kwa kosa la kunitukana jana.kwa kosa lipi?...la kuwa tofauti na alichoandika mleta mda?
nilikutana baada ya wewe kunitukana. kimjinimjini inaitwa ngoma dro.Kwa kosa la kunitukana jana.
Kwahiyo tuseme mods wanaupendeleo sio? Ilitakiwa ule ban.nilikutana baada ya wewe kunitukana. kimjinimjini inaitwa ngoma dro.
imeisha hiyo[emoji1787][emoji1787].
Usiwe unaquote kitu au kujibu kama hujaelewa we mbususu mamalia kima weNa unathubutu kueleza ujinga kama huu hapa? (kama siyo chai). Unakuta wezi wanaiba kwa mtu unayemfahamu, tena wanasombea walivyoiba kwenye mkokoteni, wewe unaona solution ni kwenda kumjulisha mwenyewe kwanza. Huna tofauti na yule jamaa aliyejitetea alijiriwa kulinda mlango wa mbele tu ndiyo maana wezi walipokuja kuvunja mlango wa nyuma hakufanya chochote.
.Kwahiyo tuseme mods wanaupendeleo sio? Ilitakiwa ule ban.
Pole sana mkuu.Usijaribu kwenda kwa waganga, utaliwa hela mpaka . Polisi wanaweza wakaipata ila duh, full rushwa na wanawajua vizuri wezi ila ndo hivo.Ni gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246
View attachment 1999715View attachment 2000213
Kwani wezi hawajui kukagua na wakazing'oa hizo trucking system?OMG !! Hukufunga GPS ? Trucking system?
Pole sana....
We jamaa utakua mwizi. Kwanini umewahi asiende kwa waganga?Pole sana mkuu.Usijaribu kwenda kwa waganga, utaliwa hela mpaka . Polisi wanaweza wakaipata ila duh, full rushwa na wanawajua vizuri wezi ila ndo hivo.
Kuwa tayari kama utaikosa kuruhusu maisha yako yaendelee kwani kila jambo katika maisha ni somo kwetu.
Polisi wa bongo hakuna kitu, show off nyingi, waulize vyombo vya moto wanavyokamata kwanini hawaweki katika mtandao ikiwezekana namba zake halisi baada ya kufuatilia.Kwani kama ni wizi wa magari, pikipiki au bajaji vinaibiwa mikoa tofauti na vinapokamatiwa lakini utakuta wanaonyesha katika habari picha tu.
Viongozi wa juu wa jeshi la polisi jiongezeni ili waliopo chini wafanye kazi kwa moyo, full mastress walio chini.
Kule ni kuliwa mara mbili, Mimi ni mhangaWe jamaa utakua mwizi. Kwanini umewahi asiende kwa waganga?
sawa mzee wa TECNO KA7, tumekusikia. halafu mbona kama umepaniki sana kuhusu swala la wewe kumiliki tecno wereva?.[emoji1787]Wewe ni punguani aisee[emoji23]... Hili li tecno lipo tu ndani.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Au kama unaweza ku-install kill switch. Gari haiwaki hata afanyajePole sana ndo maana mm nikipak lazma nizime swichi ya waya ya pump ya mafuta ili hata ukiwasha utawasha adi ufe haliwaki