Nimeibiwa gari na majambazi nyumbani, msaada tafadhali

I've got a message hiyo connection matataa
 
Maji ya betri ndio kiboko. Anakunywa kisha mnamuacha . Hatotoboa hatua kumi.
Maji ya beteri yanapenyaje mdomoni kufika tumboni?

Navyojua, menyewe hutindua chochote kinachokutana nayo.

Kitendo cha kuyaweka mdomoni hata kabla hajayameza, ulimi na muscle zingine muhimu za kinywa zinakuwa zimeangamia kabla ya kumeza!

Sasa tumboni yatafikaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa ujinga wako hapa.


Hujawahi kuibiwa
Wewe ndo mjinga.unajiona una akili kumbe jinga tu.Una mali gani yakuibiwa wewe kama sio roho yakijinga tu.Unajiona una jua kuliko walioweka mahakama na sheria.pole sana.
 
hakuna mtu anazuia hilo, ila haiwezekani mwenzio ana maumivu unakuja andika upuuuzi huo..

we hata ka unapenda sifia umashuhuri wa bwanako kitandani hebu jaribu siku kamsifie kwa babako mzazi au kiongozi wako wa dini...

kila jambo na wakati wake
Umeolewa Mara ngapi? Nataka kusifu miuno yako.
 
Usiwe unaquote kitu au kujibu kama hujaelewa we mbususu mamalia kima we
 
Hivi na mikoani kuna hii kadhia ya watu kuibiwa magari.
 
Pole sana mkuu.Usijaribu kwenda kwa waganga, utaliwa hela mpaka . Polisi wanaweza wakaipata ila duh, full rushwa na wanawajua vizuri wezi ila ndo hivo.
Kuwa tayari kama utaikosa kuruhusu maisha yako yaendelee kwani kila jambo katika maisha ni somo kwetu.
Polisi wa bongo hakuna kitu, show off nyingi, waulize vyombo vya moto wanavyokamata kwanini hawaweki katika mtandao ikiwezekana namba zake halisi baada ya kufuatilia.Kwani kama ni wizi wa magari, pikipiki au bajaji vinaibiwa mikoa tofauti na vinapokamatiwa lakini utakuta wanaonyesha katika habari picha tu.
Viongozi wa juu wa jeshi la polisi jiongezeni ili waliopo chini wafanye kazi kwa moyo, full mastress walio chini.
 
We jamaa utakua mwizi. Kwanini umewahi asiende kwa waganga?
 
Pole sana ndo maana mm nikipak lazma nizime swichi ya waya ya pump ya mafuta ili hata ukiwasha utawasha adi ufe haliwaki
Au kama unaweza ku-install kill switch. Gari haiwaki hata afanyaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…