Nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba

Nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba

Hakuna utaalam wa kurudisha zaidi ya kumkamata mwizi wako umshushie kipondo endapo utamkamata. Kama dhamira ya kusema unataka mtaalam ni wa miti shamba, kwa hapa JF utaishia kuibiwa tena tu na wataalam feki.
 
Daaah, hawa wezi hawa! Unajipinda na kujinyima ili jambo lako lifanikiwe lkn wanajibebea kirahisiiii
 
Mwachie Mungu, jipange kivingine.....mambo ya waganga unajitafutia matatizo makubwa zaidi.
Ushauli mzuli lakini wezi wanakasirisha Sana ,Mimi 2016 niliibiwa godoro,TV ,redio,begi la nguo likiwa tupu vingine wakaacha .niliumia Sana tena Sana Kwa sababu walimwaga chini vyetu vyangu.mda mwingine wakomeshwe tuu
 
Wiring ukifanya ukaondoka na huna mlinzi lazima ile kwako. Na watoa connection ni mafundi hao hao

Kama ulikuwa na mlinzi kamata yeye pamoja na fundi aliyefanya wiring!!
 
Habari ndugu nahitaji kazi nipo dar kama usafi kutoka na magali konda wa magali ya shule bandalini usafi kusimamia nyumba bustani duka nk zakwenda na kulud
 
habali ndugu naitaji kazi nipo dar kama usafi kutoka na magali konda wa magali ya shule bandalini usafi kusimamia nyumba bustani duka nk zakwenda na kulud
 
Umenikumbusha kibonzo cha jamaa aliyeibiwa pikipiki ya bosi wake akaenda kwa mganga.

Mganga akamwambia wezi walioiba wapo vizuri hatutawaweza sasa unaonaje tukimloga bosi wako akasahau kuwa alikupa pikipiki?

Ikabidi iwe hivyo.
Mganga ni mfanyabiashara ula kotekote penye dau
 
Mwachie Mungu, jipange kivingine.....mambo ya waganga unajitafutia matatizo makubwa zaidi.
Mganga na mwizi ushirikina kufanya uhalifu.Mganga umpa mwizi dawa asikamatwe mwizi akishauza upeleka parcent kwa mganga.
Hakuna mwizi anaeiba bila mganga.
 
Huku kwetu hatuna huo muda.
Kuna dokta wa hospitali fulani kubwa hapa mtaani kwetu kutokana na mfumo wa ukuta wake wezi wakishaingia huwa ni ngumu kutoka so walinzi wanawakamata kama kuku..

Na hawapigwi wala nini mpaka wezi wenyewe huwa wanashangaa.
Ana kachumba kake walinzi wakishawaingiza wezi bosi anakuja na kachupa ka dawa na syringe,anawachoma wezi wote matakoni halafu anaachana nao.
Wezi wakawa wanaona sindano tu sio shida ikapelekea dokta akawachoma wezi wengi sana wa mtaani na mitaa ya jirani..
Muda si muda hali ya mshangao ikaibuka mitaani vijana wengi wakaumuka mawowo,kumbe dokta mshenzi,alikuwa anawachoma sindano za kuumulia makalio wanaume wenzake,ni pm nikupe namba zake atakaye jipendekeza muongezee maumbile..
 
Back
Top Bottom