- Thread starter
- #241
Basi itakuwa ndio mwisho kutumia huduma zao maana usalama hakunaPesa watakwambia ulizitoa wewe😂 utawafanyaje?!
Kwani hizi huduma zingine sijui hadithi, miito si wanatuveshaga tu. Ukianza kuona wanakukata kata hela bila sababu unawapigia kuuliza wanakwambia tunaona ulijiunga na huduma ya voice ringtone 😂