Nimeibiwa takribani laki 5 na Binti wa duka langu jipya ndani ya miezi miwili. Nichukue uamuzi gani?

Yaani unamkabodhi fisi bicha, na bado unamuachia bucha baada ya kuona mali imeliwa...
 
Mtoee weka mwingine tafuta mchaga hutojutia unaibiwa ila faida unaiona make sure unamtoa kijijini fresh awe anajieleewa. Ummri. Miiaka 18__23
 
Nimepata wazo kwamba afanye kazi miezi minne hapa kila siku awe anachukua elf 2 tu hakuna mshahara.
1. Hapa sasa unataka kujipalia mkaa ndugu yangu. Kama kweli ni binti mzuri anayejua biashara na huna namna ya kupata mbadala wake, ni afadhali uwe unamkata Tsh 50,000 kila mwezi kwa muda wa miezi 10 urudishe pesa zako. Naye atakuwa amejifunza kutolaghaiwa na huyo mpenzi wake mandazi anayemfuata hadi kazini.

2. Mpige marufuku huyo mhuni wake anayekuja kumghasi hapo kazini. Kama hatasikia, siku ukimkuta hapo dukani mpe mboko za kutosha hadi liwe fundisho kwake na kwa mpenzi wake.

3. Hata usipomuambia mama mdogo siri itafichuka tu baada ya mapato yake kupungua. Unless amuombe huyo mhuni wake amsaidie kumlipia maana ndiye aliyekuja kumharibu kwa kumpa mbinu za wizi.

Ni hayo tu.
 
Sema mishahara midogo ndo inafanya mtu uwe mwizi
 
kumbee ameleta mrejesho wa UPUUZI TULIOMKATAZAA KWA NGUVU ZOTE πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ binti kafanya jambo jemaa sanaa abarikiwee tena kaiba pafupi mnooo ilibdi apige MILION PLUS
huyo yupo kwenye kioski nilichomfunguliaga dogo wa form 4, sio duka langu nalozungumzia
 

WEWE HUJUI BIASHARA YOYOTE.

NANI ALIYEKUAMBIA KUWA MWIZI ANAPEWA NAFASI YA 2 NA UMKATE HELA?

UTAPIGWA DOUBLE DOUBLE KUSHOTO NA KULIA


KWA USHAURI HUU INAONYESHA KUWA WEWE HUNA BIASHARA UNAYOMILIKI


UKISHAIIBIWA HAKUNA MBADALA ZAIDI YA KUFUKUZA ILI ULETE MGENI KABLA HAJAZOEA UNAKUWA USHAMAKI MADHAIFU
 
Sisi huwa tuna utaratibu mmoja ukileta hasara tena ya makusudi kama hiyo nakukata mshahara mpaka umalize deni,unaweza pia kusamehe na kufukuza
Tunakubalina na barua ya onyo
 
Ushauri mzuri sana,
 
Ukimwacha afanye kazi bila mshahara ataendelea kukuibia kufidia gepu kwenye mapato yake. Jingine la kufikirisha ni biashara gani unafanya ya bidhaa za kwenye box ambayo mauzo yake yanakusanywa kwenye droo ndani kusubiri kupelekwa bank? Hapo si kitoa pesa kwenye mzunguko? Au ndo kuendesha biashara ki-TRA TRA?
 
Yaani ngozi nyeusi sijui tuna shida gani mtu unamlipa vizuri,kula juu yako ila afikilii biashara anawaza jinsi gani akupige.Mimi kuna mmoja nilimuweka police kwa week maana alinipa hasara kubwa 😬
 
Hata mke anaweza kuwa mwizi
 
Alete mpya ili aanze kuibiwaa upyaaa... yani huyu akomae na huyu wa zamani ila amfatiilie kwa ukaribu sanaa
 
Yaani ngozi nyeusi sijui tuna shida gani mtu unamlipa vizuri,kula juu yako ila afikilii biashara anawaza jinsi gani akupige.Mimi kuna mmoja nilimuweka police kwa week maana alinipa hasara kubwa 😬
Ni asili yetu mama .... Kuanzia ngazi za juu hadi ngazi za kifamilia
 
Alete mpya ili aanze kuibiwaa upyaaa... yani huyu akomae na huyu wa zamani ila amfatiilie kwa ukaribu sanaa

mzee hivi unafanya biashara au umeajiriwa? na kama una biashara nahisi ni ndogo tu, ww uinvest zaidi ya 20 million ya kusotea na mkopo mtu anakuiibia almost half a million unasema umoe second chance????

Tabia haichi Asili.

Mtu akiiba hapaswi kupewa nafasi nyingine,

Huwa tunaweka mpya anakaa miezi 6 anakuja mwingine,kabla hajazoea mazingira anaondolewa.

Huo ushauri wako ni batili.Na usithubutu kuufata siku ukifungua biashara ya mamillioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…