Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Moshi nako kuna hio michezo?moshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moshi nako kuna hio michezo?moshi
Au awaoteshe vijipu mwili mzima...Pole sana Mkuu.
Piga maombi Mungu atazungumza nao tuu... au kama vipi tafuta mtaalamu haswa awaguse kidogo tuu watembee barabarani yakijikojolea.
Au yakilala yakose usingizi kazi iwe ni kujikuna hadi asubuhi
Acha hizo mkuu, wezi wapo kila konaMoshi nako kuna hio michezo?
Mimi namtafuta huyo mganga niwakomeshe wez piaNenda kwa mganga, wavimbishe matumbo mpaka wavitapike.
Dah kwa huu usawa ulivyo then bado kuna wapuuzi wanakurudisha nyuma,pole sana mkuu,hawa wezi ni hatari kwa maendeleo yetu.Habari wana jamvi
Naandika nikiwa na jazba na hawa watu wanaoitwa wezi. Nimepanga geto langu nikajibana nikaeka vitu vyote vya ndani sasa hawa jamaa wamenilia time nimetoka wamenisafisha hadi kijiko ila kwenye vitu walivoiba wamebeba hadi king'amuzi
Ila kuna mdau aliyeniambia king'amuzi kinatafutika kama ilivyo kwa simu.
Msaada jamani kwa mwenye ujuzi maana nikimpata mwenye king'amuzi ndio nitamtolea uvivu.
Nawasilisha
Wezi wapo ila hii habari ya watu kubeba hadi vijiko huwa inatokea maeneo flani flani sasa kama mji wa kijanja kama Moshi una mambo hayo sijui.Au kuna demu wako kaamu kubeba vitu ahame navyo maana hali ni tete.Acha hizo mkuu, wezi wapo kila kona
Ingekua TANGA, Lindi, Mbeya au. Kigoma kweli asingepona mtu. Lkn kwa hapo Moshi! Punguza jazba ujipange Tena.inauma sana ila kwa hili hatapona mtu
Naunga mkono hoja. Wezi wanaudhi wanakera saana.Nenda kwa mganga, wavimbishe matumbo mpaka wavitapike.
kabisa!Au awaoteshe vijipu mwili mzima...
Mpaka kwenye viganja vya mkono washindwe kula..
moshi sehemu gani mi najua machimbo kibao hapo nikupe pa kuanziamoshi
Hii kitu ina ukwel , nikiwa Mwanza Mzee nilikuwa na gheto boss , siku moja nikaopoa manzi , nikamwingiza gheto mara ya Kwanza , nikarudia tena mara ya pili daah..... ma- Mae baada ya sku mbili Mzee nikachapwa deki , ....Pole sana chief, wezi wanaboa sana. Kama una tabia ya kuwaalika mademu nyumbani kwako nakushauri uache.
Aisee nadhani Moshi kunaongoza...Moshi nako kuna hio michezo?