Nimeibiwa vitu vyote vya ndani

Nimeibiwa vitu vyote vya ndani

Habari wana jamvi


Naandika nikiwa na jazba na hawa watu wanaoitwa wezi. Nimepanga geto langu nikajibana nikaeka vitu vyote vya ndani sasa hawa jamaa wamenilia time nimetoka wamenisafisha hadi kijiko ila kwenye vitu walivoiba wamebeba hadi king'amuzi

Ila kuna mdau aliyeniambia king'amuzi kinatafutika kama ilivyo kwa simu.

Msaada jamani kwa mwenye ujuzi maana nikimpata mwenye king'amuzi ndio nitamtolea uvivu.

Nawasilisha
Pole Sana wezi siyo watu wazuri hata Mimi naskia kinaweza kuwa tracked nahisi ukienda kwa provider. Jitahidi upange sehemu yenye kueleweks mkuu
 
Moshi nako kuna hio michezo?
Moshi sio tukio la ajabu wanaiba sana. Iwe biashara iwe nyumbani kuna mwingine pia aliibiwa kwenye biashara yake. Yaani hawa jamaa bana.
 
Habari wana jamvi,

Naandika nikiwa na jazba na hawa watu wanaoitwa wezi. Nimepanga geto langu nikajibana nikaeka vitu vyote vya ndani sasa hawa jamaa wamenilia time nimetoka wamenisafisha hadi kijiko ila kwenye vitu walivoiba wamebeba hadi king'amuzi.

Ila kuna mdau aliyeniambia king'amuzi kinatafutika kama ilivyo kwa simu.

Msaada jamani kwa mwenye ujuzi maana nikimpata mwenye king'amuzi ndio nitamtolea uvivu.

Nawasilisha

Habari wana jamvi,

Naandika nikiwa na jazba na hawa watu wanaoitwa wezi. Nimepanga geto langu nikajibana nikaeka vitu vyote vya ndani sasa hawa jamaa wamenilia time nimetoka wamenisafisha hadi kijiko ila kwenye vitu walivoiba wamebeba hadi king'amuzi.

Ila kuna mdau aliyeniambia king'amuzi kinatafutika kama ilivyo kwa simu.

Msaada jamani kwa mwenye ujuzi maana nikimpata mwenye king'amuzi ndio nitamtolea uvivu.

Nawasilisha
Mkuu uko wapi nikupe direction mahali.Unaamua tu wewe tu kupiga wezi Mpaka wanunuaji au wezi tupu.Pili wanakurudishia kila kitu.
 
Moshi sasa hivi kuna wizi wa hali ya juu, kila siku watu wanalia kuibiwa. Alafu cha ajabu hamna hatua zozote zinazochukuliwa na jeshi la polisi. Nakumbuka kuna mzee aliwahi kunielezea visa na mikasa ya yaliyopo nyuma ya hili jeshi nikachoka, sasa nikiunganisha na haya matukio nazidi kupata mwanga zaidi.
 
Mkuu uko wapi nikupe direction mahali.Unaamua tu wewe tu kupiga wezi Mpaka wanunuaji au wezi tupu.Pili wanakurudishia kila kitu.
Weka hapa hapa hicho kipigo kila mtu afaidike
 
Pole sana Mkuu

Piga maombi Mungu atazungumza nao tuu... au kama vipi tafuta mtaalamu haswa awaguse kidogo tuu yatembee barabarani yakijikojolea.

Au yakilala yakose usingizi kazi iwe ni kujikuna hadi asubuhi.
Fake advice. Mungu alitupa akili za kutatua matatizo. Na kuhusu ''mtaaalam'' ni kupoteza fedha tu. Imani potofu.
 
Moshi kuna sehemu si rafiki sana kwa kuishi hasa maeneo haya:
-Pasua
-Njoro
-Kalimani
-Chekereni
-Mabogini
-Majengo kwa mtei

Ukiishi maeneo hayo tegemea wakush kuja kufanya shopping hapo getto anytime .
 
Mkuu uko wapi nikupe direction mahali.Unaamua tu wewe tu kupiga wezi Mpaka wanunuaji au wezi tupu.Pili wanakurudishia kila kitu.
Unataka kuiba fedha wewe! Huna lolote. Nyie ni mtandao wa matapeli.
 
Back
Top Bottom