Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Pole Sana wezi siyo watu wazuri hata Mimi naskia kinaweza kuwa tracked nahisi ukienda kwa provider. Jitahidi upange sehemu yenye kueleweks mkuuHabari wana jamvi
Naandika nikiwa na jazba na hawa watu wanaoitwa wezi. Nimepanga geto langu nikajibana nikaeka vitu vyote vya ndani sasa hawa jamaa wamenilia time nimetoka wamenisafisha hadi kijiko ila kwenye vitu walivoiba wamebeba hadi king'amuzi
Ila kuna mdau aliyeniambia king'amuzi kinatafutika kama ilivyo kwa simu.
Msaada jamani kwa mwenye ujuzi maana nikimpata mwenye king'amuzi ndio nitamtolea uvivu.
Nawasilisha