Pole Sana wezi siyo watu wazuri hata Mimi naskia kinaweza kuwa tracked nahisi ukienda kwa provider. Jitahidi upange sehemu yenye kueleweks mkuuHabari wana jamvi
Naandika nikiwa na jazba na hawa watu wanaoitwa wezi. Nimepanga geto langu nikajibana nikaeka vitu vyote vya ndani sasa hawa jamaa wamenilia time nimetoka wamenisafisha hadi kijiko ila kwenye vitu walivoiba wamebeba hadi king'amuzi
Ila kuna mdau aliyeniambia king'amuzi kinatafutika kama ilivyo kwa simu.
Msaada jamani kwa mwenye ujuzi maana nikimpata mwenye king'amuzi ndio nitamtolea uvivu.
Nawasilisha
Wapemba wao hua hawaibiwi?Wala usihangaike tafuta mpemba mwambie afanye Mambo...na hapo waliokuibia ni watu wanaokujua
Labda waibiwe busha tu.Wapemba wao hua hawaibiwi?
wanaibiwaWapemba wao hua hawaibiwi?
Moshi nako kuna hio michezo?
Moshi sio tukio la ajabu wanaiba sana. Iwe biashara iwe nyumbani kuna mwingine pia aliibiwa kwenye biashara yake. Yaani hawa jamaa bana.Moshi nako kuna hio michezo?
Ulikua unalipiajetatizo no ya kingamuzi siijui
Wapi ambako hakuna wizi sana?Moshi sio tukio la ajabu wanaiba sana. Iwe biashara iwe nyumbani kuna mwingine pia aliibiwa kwenye biashara yake. Yaani hawa jamaa bana.
Habari wana jamvi,
Naandika nikiwa na jazba na hawa watu wanaoitwa wezi. Nimepanga geto langu nikajibana nikaeka vitu vyote vya ndani sasa hawa jamaa wamenilia time nimetoka wamenisafisha hadi kijiko ila kwenye vitu walivoiba wamebeba hadi king'amuzi.
Ila kuna mdau aliyeniambia king'amuzi kinatafutika kama ilivyo kwa simu.
Msaada jamani kwa mwenye ujuzi maana nikimpata mwenye king'amuzi ndio nitamtolea uvivu.
Nawasilisha
Mkuu uko wapi nikupe direction mahali.Unaamua tu wewe tu kupiga wezi Mpaka wanunuaji au wezi tupu.Pili wanakurudishia kila kitu.Habari wana jamvi,
Naandika nikiwa na jazba na hawa watu wanaoitwa wezi. Nimepanga geto langu nikajibana nikaeka vitu vyote vya ndani sasa hawa jamaa wamenilia time nimetoka wamenisafisha hadi kijiko ila kwenye vitu walivoiba wamebeba hadi king'amuzi.
Ila kuna mdau aliyeniambia king'amuzi kinatafutika kama ilivyo kwa simu.
Msaada jamani kwa mwenye ujuzi maana nikimpata mwenye king'amuzi ndio nitamtolea uvivu.
Nawasilisha
Moshi sasa hivi kuna wizi wa hali ya juu, kila siku watu wanalia kuibiwa. Alafu cha ajabu hamna hatua zozote zinazochukuliwa na jeshi la polisi. Nakumbuka kuna mzee aliwahi kunielezea visa na mikasa ya yaliyopo nyuma ya hili jeshi nikachoka, sasa nikiunganisha na haya matukio nazidi kupata mwanga zaidi.moshi
wapigie Azam. watakupa taarifa zako za king'amuzi maana kina namba yako ya simu na majina yakotatizo no ya kingamuzi siijui
Weka hapa hapa hicho kipigo kila mtu afaidikeMkuu uko wapi nikupe direction mahali.Unaamua tu wewe tu kupiga wezi Mpaka wanunuaji au wezi tupu.Pili wanakurudishia kila kitu.
Fake advice. Mungu alitupa akili za kutatua matatizo. Na kuhusu ''mtaaalam'' ni kupoteza fedha tu. Imani potofu.Pole sana Mkuu
Piga maombi Mungu atazungumza nao tuu... au kama vipi tafuta mtaalamu haswa awaguse kidogo tuu yatembee barabarani yakijikojolea.
Au yakilala yakose usingizi kazi iwe ni kujikuna hadi asubuhi.
Unataka kuiba fedha wewe! Huna lolote. Nyie ni mtandao wa matapeli.Mkuu uko wapi nikupe direction mahali.Unaamua tu wewe tu kupiga wezi Mpaka wanunuaji au wezi tupu.Pili wanakurudishia kila kitu.
We we ndio mwiziUnataka kuiba fedha wewe! Huna lolote. Nyie ni mtandao wa matapeli.
Kingamuz tuliuza pale mosh mjinPole sana runtown
Moshi sehemu gani?
Report hicho king'amuzi watakamatwa tuu
Weka hapa hapa hicho kipigo kila mtu afaidike
Jamani Mimi sio mganga! Nataka nimdirect sehemu,na uzuri atalipa baada ya kufanikiwa akichuna yatakayomkuta tusitafutane humu.Unataka kuiba fedha wewe! Huna lolote. Nyie ni mtandao wa matapeli.