Nimeichukia sana Dar

Nzurii hii
 
Hata Dodoma walikataa kuhamia, ila walipohamia kwa kulazimishwa na Magufuli, hawataki tena kurudi Dar
 
Dsm ipi rahisi kutoboa? Em acha kudanganya umma hapa. Lol

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Bora wa msamala mwenzangu umemjibu vizuri. Mwambie sisi tumishi huko lakini bado tunaamini kuishi msamala na kufurahia maisha kunyumba tunaona bora zaidi kuliko hekaheka hizo za Dar.

Kwa ruhusa yako darling mwambie atutembelee nyumbani ajioneee
 
TANGA upo sehemu gani? Au hapo katikati ya Jiji Mabanda ya Papa?
 
Kisa usingizi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Ila watu wa mikoan wakienda huko wanaona kama wamefika Paris πŸ˜‚
 
Ule mji ni mgumu sana mkuu hasa kwa mtu anaejitafuta....ili uifaidi daressalam uwe na Ajira au biashara inayoeleweka, uwe na makazi au malazi ambayo kidogo ni standard, nikisema malazi na makazi standard namaanisha maeneo yasiokuwa na kelele,hewa safi, na nyumba nzuri mfano kidogo goba huwa naona ni sehemu kidogo iliyotulia hakuna makelele kama buguruni na tandale...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…