Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Halafu anakuja kushtuka anapelekewa moto kweliTafuta mke kijana hizo ndoto nyevu sio nzuri
Kuna siku utaota unapelekewa moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu anakuja kushtuka anapelekewa moto kweliTafuta mke kijana hizo ndoto nyevu sio nzuri
Kuna siku utaota unapelekewa moto
Nzurii hiiDar es salaam ni kuzuri na kubaya
Mkoani napo ni kuzuri na kubaya! Ila nikiwa mkoani nafurahia sana tofaut na dar,
Dar es salaam Ina heka heka so poa, ukiwaza usafiri, mvua km sasa Kuna dalili zote, jua Kali, kipindi kama Cha funga hivi tunaotegemea mama ntilie hawapiki, wizi, harufu za mitaro
Ila dar ukiwa na akili na ujanja ujanja unatoboa
Noma Sana.As long as anafurahia kuwa mkoani ni vizuri japokua mkoani hamna kitambaa cheupe😀
Hata Dodoma walikataa kuhamia, ila walipohamia kwa kulazimishwa na Magufuli, hawataki tena kurudi DarWaTanzania wengi ambao hawajaishi nje ya Dar hua wana beza mikoani, lakini once wanapo pata wasaha wa kuishi kidogo mikoani hua wanaichukia Dar
Na mtu yeyote ambae atathubutu kuishi out of the comfort zone, lazima ataona mabadiliko na kufurahia maisha
Nipo mbona sema tunapishana ndugu🤣🤣
Kaka long time no c jmn!
Upoo
Bora wa msamala mwenzangu umemjibu vizuri. Mwambie sisi tumishi huko lakini bado tunaamini kuishi msamala na kufurahia maisha kunyumba tunaona bora zaidi kuliko hekaheka hizo za Dar.Dsm ipi rahisi kutoboa? Em acha kudanganya umma hapa. Lol
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
TANGA upo sehemu gani? Au hapo katikati ya Jiji Mabanda ya Papa?Tangu niondoke huko 2023 nimekuwa na amani sana ,mwaka mzima nilikuwa napambania uhamisho...Kulinishinda kabisa ; kwanza foleni hata uwe na gari ,wezi kila kona, ratiba kwa kazi zetu huko lazima uamke 11 alfajiri ...Huku Tanga ni raha kwenda mbele hakuna vurugu .
Woyoo!
Niko masiwani huku ...Ila mishe zangu town hapo.TANGA upo sehemu gani? Au hapo katikati ya Jiji Mabanda ya Papa?
Mkuu na push kwa mwendo wa pole, nakusudia kuishi kama makaburu,Amen..!
Hiyo ni sala, ndoto zako zikawe kweli.
Kwakweli nimefurahi kukuonaNi
Nipo mbona sema tunapishana ndugu
Nashukuru sana kiongoziKwakweli nimefurahi kukuona