chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
- Thread starter
-
- #41
Haina kitu cha ajabu ambacho kinafanya nisiielewe, kuielewa nimeelewa ila ni ya kitoto mnoWew ile serious inaitaji extra ordinary kuiyelewa binafsi nimeiyangalia mwez wa pili but I think it's my best scientific movies,
About professor he is mastermind ni kama Koch wa mpira anavyo waongoza wachezaji.
Believe the one is among of the best mm nilikuwa nachelewa kazini bcoz of that ,
Any one outthere go and check you will be back ,
Ina mission ambazo mtu wa kawaida uwez elewa .inahusu upolaji wa pes
Wakuu mnaendesha biashara kwenye uzi wa wenyewe 😊Nitakucheki pm
Gabriel bado yupo isidingo?Gabriel anajua sana mfano halisi wa real Gentleman.
Gabriel bado yupo isidingo?
Dah,we unaingalia kupitia ITV?Hio episode ya nyuma sana,Ukiifuatilia SABC au kupitia youtube channel yao iko mbali sana...Yupo,tapeli tapeli sana huyu mtu,ana ka spy kake amekatuma kum photo Sechaba ili am blackmail,kadem kana takle la ukweli aisee.
Money Heist ni nzuri sana Mkuu iangalie hadi mwisho mipango yao ilifeli, Ila Prison Break dah! kiboko asee hapana serie niliipenda kama hii, Niambie series ingine kali unaijua niitafute tafadhali.Nimeona kwenye matangazo mengi hii serires ikipewa promo kubwa sana, hadi watu wengi wanaweka zile mask za wale robbers kwenye dp zao.
Nikaona niitafute bana. Dah Money Heist ni series ya hovyo, haipo level moja kabisa ya kuitwa series kali na inaboa kuitazama.
Nimejaribu kuitazama kwa kujilazimisha hadi nikafikia episode ya 9 naona imenishinda kabisa.
Japo story yao imetungwa kwa kufanana kidogo na Prison Break, hii imekosa msisimko kwani imebase upande mmoja, yaani mtungaji wa story kamfanya yule kiongozi wa robbers (Professor) kuwa ana akili sana na polisi akawafanya ni wajinga sana, mpango wa Profesa unafanikiwa na kila mpango wa polisi unafeli kiasi kwamba haijabalance hata kidogo.
Eti Profesa anatabiri polisi watafanya hivi kisha wanafanya, watafanya vile kisha wanafanya, watafanya vile tena wanafanya pia, yaani ndio mtiririko ulivyo.
99% ya mipango anayopanga Profesosor inafanikiwa huku mipango karibia yote ya polisi dhidi yao inafeli, yaani haina msisimko kama mechi ya Taifa Stars na Ujerumani.
Prison Break ilikuwa na msisimko sana sababu Michael mipango yake ilikuwa haiendi kama alivyokuwa amepanga na hivyo kuleta msisimko kwa mtazamaji kuwa jamaa atafanyaje au atakamatwa ama vipi.
Money Heist kwanza imegawanyika sehem 3 kama una jicho na utambuzi wa kuelewa series vzr hili haliwez kukupa shida...
prison break imegawanyika sehem mbili kuu pia hili kuona kwa jicho kawaida unaweza usione. Ukawa umejikita tu Michael atafanya nn au mbinu zote zitafanikiwa au lah..
Kila series ina uzuri wake na udhaifu wake japo zina maudhui yanayoendana kias ila lengo tofauti..
Money Heist.
Imeegemea zaid kupora hela benk,na kutimiza ndoto za baba yake Profesa,pamoja na akili ya profesa lakin alikua anajua ugum wa kaz yenyewe,waporaj wanatumia nicknames hata wao wenyewe hawajuan majina,kwanza hyo ni akili pili imeonyesha nguvu ya Love,jinsi mapenz yanaweza badili kila kitu na ukafanya jambo ambalo lipo kinyume na matarajio. Kwa nn unaona profesa alichokua anahis kinatokea,ni sbu alijifunza saikolojia ya polis na kulifanyia kaz,na ndio maaana aliwafundsha cha kufanya kila kinapoenda tofauti na walichopanga. Ndo maana marehem Tokyo alipokwama nje akili ilimjia ni kule ndan pekee kwenye usalama wake tofaut na hapo ni bure.. Na bahat mbaya usidhhan huu mpango Profesa alikua mwenyewe lah hasha..aliupanga na watu ndo maana uliwaona baadae.
Labda uniambia udhaifu wa kutokula japo hawakwenda kupora na kula,itakua haina maana. kutetemeka yaan alishindwa kutulia kimwili anapoona jambo ambalo linaenda tofauti..
Alifanikiwa mipango yte kwa asilimia 95+ sbu aliwazid polis hatua moja mbele na hiki kinawezekana tu..ila alifanikiwa sana.
Prison break.
Imebeba ujumbe wa upendo... Michael alikua tayr kufanya lolote ili ndugu yake awe huru,,aliamua kufanya kosa ili apelekwe gerezan kumwokoa ndugu yake.. Kama unadhan madhaifu yake hukuyaona lakin yapo kama mawil au matatu,unaweza usiyaone kama unaangalia kwa upendeleo,yaan unaangalia unachokipenda,huwez ona kbsa. Na aliwashinda mara nying sbu alikua one step ahed,alichokua anapanga polis waligundua baadae sana. Moja ya kichwa kikubwa alikua Mohone,,huyu naamin alikua na sense 6..
Kila mpango mwshon ulikua..
Hzi series umeziangalia kwa akil ya kupenda tu lakin nakuambia rudia tena mpk walipotoboa
Ni wenye akili timamu anaeweza kuiona Money Heist uzuri wake,kama ni kilaza sio rahis kuitambua
ukajua atakutajia 24 [emoji23]Una jina linalo akisi muvi kali ya kingsman halafu umependezwa na series za aina hiyo?
Hebu nitajie moja wapo inayorandana na kingsman the secret service tukiacha hizo za mapangamapanga
mkuu kwan mbona hata ushoga unakubalikana watu wa duniani? kwahyo tuukibali na sisi kisa tupo mbagala?Mbwa mmoja hivi yupo Mbagala anapondea series inayokubalika na watu wa duniani
Hahaa, Kilaza sio rahisi kuitambua? naona vilaza ndio wanaoamini series ambayo ipo simplistic kama hii, huyu creator wa series aliwafanya polisi kuwa wajinga sana kuliko uhalisia, huku akimfanya yule profesa kuwa mtu mwenye akili na bahati kuliko uhalisia, kiasi kwamba walikuwa hawapati challenge ambayo ingeleta msisimko, sijui huko mbele ilikuwaje ila season one nilishindwa kuimaliza, baada ya kuitazama kwa kujisukuma sanaMoney Heist kwanza imegawanyika sehem 3 kama una jicho na utambuzi wa kuelewa series vzr hili haliwez kukupa shida...
prison break imegawanyika sehem mbili kuu pia hili kuona kwa jicho kawaida unaweza usione. Ukawa umejikita tu Michael atafanya nn au mbinu zote zitafanikiwa au lah..
Kila series ina uzuri wake na udhaifu wake japo zina maudhui yanayoendana kias ila lengo tofauti..
Money Heist.
Imeegemea zaid kupora hela benk,na kutimiza ndoto za baba yake Profesa,pamoja na akili ya profesa lakin alikua anajua ugum wa kaz yenyewe,waporaj wanatumia nicknames hata wao wenyewe hawajuan majina,kwanza hyo ni akili pili imeonyesha nguvu ya Love,jinsi mapenz yanaweza badili kila kitu na ukafanya jambo ambalo lipo kinyume na matarajio. Kwa nn unaona profesa alichokua anahis kinatokea,ni sbu alijifunza saikolojia ya polis na kulifanyia kaz,na ndio maaana aliwafundsha cha kufanya kila kinapoenda tofauti na walichopanga. Ndo maana marehem Tokyo alipokwama nje akili ilimjia ni kule ndan pekee kwenye usalama wake tofaut na hapo ni bure.. Na bahat mbaya usidhhan huu mpango Profesa alikua mwenyewe lah hasha..aliupanga na watu ndo maana uliwaona baadae.
Labda uniambia udhaifu wa kutokula japo hawakwenda kupora na kula,itakua haina maana. kutetemeka yaan alishindwa kutulia kimwili anapoona jambo ambalo linaenda tofauti..
Alifanikiwa mipango yte kwa asilimia 95+ sbu aliwazid polis hatua moja mbele na hiki kinawezekana tu..ila alifanikiwa sana.
Prison break.
Imebeba ujumbe wa upendo... Michael alikua tayr kufanya lolote ili ndugu yake awe huru,,aliamua kufanya kosa ili apelekwe gerezan kumwokoa ndugu yake.. Kama unadhan madhaifu yake hukuyaona lakin yapo kama mawil au matatu,unaweza usiyaone kama unaangalia kwa upendeleo,yaan unaangalia unachokipenda,huwez ona kbsa. Na aliwashinda mara nying sbu alikua one step ahed,alichokua anapanga polis waligundua baadae sana. Moja ya kichwa kikubwa alikua Mohone,,huyu naamin alikua na sense 6..
Kila mpango mwshon ulikua..
Hzi series umeziangalia kwa akil ya kupenda tu lakin nakuambia rudia tena mpk walipotoboa
Ni wenye akili timamu anaeweza kuiona Money Heist uzuri wake,kama ni kilaza sio rahis kuitambua
Angalia breaking Bad, Game of Thrones(kama ni ladha yako) , The Wire, Narcos, Narcos Mexico, The Boardwalk Empire, jaribu hizo chache ukizipenda njoo nikuongezee nyingineMoney Heist ni nzuri sana Mkuu iangalie hadi mwisho mipango yao ilifeli, Ila Prison Break dah! kiboko asee hapana serie niliipenda kama hii, Niambie series ingine kali unaijua niitafute tafadhali.
Hapa kwa Sechaba na penyewe ndio niliona pana ujinga kama wa kwenye Money Heist, yule Sechaba eti hajamshtukia hata kidogo huyo tapeli kuwa ndio anamuundia zengwe lote lile, wakati alishaonyesha dalili zote kuwa hamtakii mema, mfano ile kukatiza press ya yule dada kumsafisha, ila jamaa anamuamini tu, sijui mwanasiasa aliyefikia kiwango cha kuchaguliwa kuwa Meya anakuaje kilaza kiasi cha kushindwa kuona kitu obvious kama kile.Yupo,tapeli tapeli sana huyu mtu,ana ka spy kake amekatuma kum photo Sechaba ili am blackmail,kadem kana takle la ukweli aisee.
poa takupa mrejeshoAngalia breaking Bad, Game of Thrones(kama ni ladha yako) , The Wire, Narcos, Narcos Mexico, The Boardwalk Empire, jaribu hizo chache ukizipenda njoo nikuongezee nyingine
Angalia breaking Bad, Game of Thrones(kama ni ladha yako) , The Wire, Narcos, Narcos Mexico, The Boardwalk Empire, jaribu hizo chache ukizipenda njoo nikuongezee nyingine
Nalitambua ndio maana nimemuambia niliyemjibu kuwa kama ni ladha yakeLadha yako ndo utamu wako,,kwel kbsa eti niangalie GOT khaaa,hata mwanangu wa miaka minne anaweza nidharau japo mm siwadharau mlio iangalia,,na kuipenda,kwan watu weng ndo kuifanya series ionekane bora au tamu? Ha ha ha ha nacheka tu,,GoT mara mia niangalie See kidgo gata story yake inavutia