Nimerudi kuangalia na mimi..Yani ukimkumbuka MO11 ndo unanikumbuka na mm?.. Makalio yakoππππ
Halafu sijui hata imekuwaje nikakuweka kwa listπππ
Sure..Malcom atakuwa chimbo anaandaa madini..Yeah daaaah!! Halafu wameadimika sana ausee.
Hahahhhah vibaya hivyoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawe umo humo humo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asante dada ila kiukweli hata mimi huwa nachoka kuwashushia magazeti vichwa ngumu wanaoujua ukweli ila wanajitoa ufahamu sema basi tu sijui ni vile napenda sana kuandika ndo maana huwa nakomaaga nao daah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata ya sasa inanoga inategemea ni siku ipi na jukwaa lipi msomaji anapendelea,
Kila mtu yuko na interest zake hatufanani, na vile vile kuna ID zinatema mapumba tu hivyo kuepuka msongamano sichangiagi mada akikera zaidi unaclick kablock makini maisha yanaenda
Weekend kunanoga sana humu mmu,
Mimi nashukuru kukufanya nikuvutie Edelyn vile vile mi napenda tu ulivyo na moyo wa kushushia watu wabishi magazeti ni moyo wa kipekee sana yaani hongera maana mi mtu akibisha huwa nampa ushindi tu sijihangaishi na kushushia mbishi gazeti lakini kwako ni tofauti na nikiyakutaga nakupaga like km kifuta jasho loh
Nawapenda wote tu mimi kutaja humu hata siwamalizi wengine nawasahau majina
Hadi imebidi nikahakikishe ni nani.Unajuaga kubadili gia angani jamani, kwangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Bora hata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo mkwara hapo mwisho umesababisha nisahau kabisa nilivyotaka kukushushua.
Ooooooow!!! Asante sana Ziroseventytwo.@rockcitynative kapotea sana. Maveterani wapo wanapita kimya kimya. Husninyo sijui kaishia wapi. Pia walikuwepo maveterani Balantanda, BAK, MTK, Mourinho na mshaji wake juve2012.
Ila aliyenishawishi na kuijua zaidi jf ni Mzee Mwanakijiji. Kupitia makala zake kwenye gazeti la Tanzania daima. Baada ya kuwa member nikamkuta mama FaizaFoxy. Jf ni sehemu yangu ya kupumzikia. Source yangu ya habari na pia habari za michezo.
Kule jukwaa la sports, wapo watu nawakubali sana. Namba 1 kabisa ni MosDef shabiki nguli wa liverpool. Gang Chomba na milan yake na lugha za shombo namzimia sana. BlackPanther mjuvi wa soka la juu, sio la bongo. Masports laddy cute b, @everlank, Numbisa mamaa wa gif.
Kwenye jukwaa la picha Mama Sabrina yupo vizuri. Kule kwenye celeb kiranja wao ni warumi japo nasikia kampokea bwana yesu kuwa mwokozi wa maisha yake.
Wakonge.
Asprini
Bujibuji
Ashaa d
Invisible
BAK
Balantanda
Arusha one
Mbu
Inzi
Game theory
Rejao
FF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asante dada ila kiukweli hata mimi huwa nachoka kuwashushia magazeti vichwa ngumu wanaoujua ukweli ila wanajitoa ufahamu sema basi tu sijui ni vile napenda sana kuandika ndo maana huwa nakomaaga nao daah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu hukooooSio najisahaulisha jamani lindo na ww wapi na wapi dada
Unataka kuninyima nini etiHuho huo mvurugo wako ndio nakupendea.
Kwani we unajua kujamiiana vipi?Hivi ebu niambie kwanza ni kujamiiana vipi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]asanteKwakweli unastahili pongezi kwa kuwarekebisha hawa vichwa ngumu
Namna tunavyojamiiana tu ndio nimependezwa nayo.[emoji23][emoji23][emoji23]Kila zama na zama zake well hata mie walonivutia kujiunga na jf walikuwa lara 1 , DEMBA heven on earth Kaizer Dark City Mentor
Nilikuwa nafurahia namna tu wanavyojamiiana humu ndani, sijawahi kujutia kujiunga.
Well naipenda jf the way ilivyo hata sasa na navutiwa na watu wengi tu kwa michango yao na namna tunavyojamiiana. Jf huifanya siku yangu kuwa murua kabisa
cute b Mentor Heaven Sent manengelo Extrovert Khantwe Evelyn Salt Mother Confessor Madame B MO11 Kaboom Eli79 Hawachi Shadeeya Ulweso Edelyn manengelo @meeya RRONDO Shunie Sakayo Thad The Monk
na wengine weeeeeengi ambao sijawataja.
Wewe ni mgeni ila mwandiko wako umezeeka[emoji23]. Huwa unanikumbusha enzi hizo Heaven Sent akiwa active, alikuwa akiandika newspapers zenye kilo mia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana mimi ni mgeni sema tu nimekuja kwa kasi ya 5G zamani nilikuwaga mpenzi mtazamaji ila mwaka huu na mimi nikaanza kuwa mpenzi mtangazaji[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]