Nimeikumbuka JamiiForums ya zamani

Nimeikumbuka JamiiForums ya zamani

Labda tusubiri awamu ya viwanda iishe JF ya great thinkers inaweza kurudi
 
Mwisho hakika umemaliza vizuri sana..
Humu kuna member anaitwa lifecoded anatema madini sio ya kawaida,jamaa hana majivuno wala hajitapi kabisa! kuna FaizaFoxy huyu anakujibu kwa fact with an evidence,huyu hua anadeal na mtu kama atakavyokuja,ukumuheshimu anakuheshimu,ukimletea lugha mbovu anakupokea kama ulivyokuja,

Kuna huyu Mentor shabiki wa Chelsea,anamwaga madini utatamani apewe Taifa stars awe kocha! pia kuna Pascal Mayalla huyu yupo vizuri ila asijiingize kwenye chuki za udini,mkuu barafu yupo vizuri hasa mambo ya aviation industry,


Kifupi nawakubali member wote wa JF coz kila mtu ana style yake,hatuwezi kufanana,utofauti wetu ndio unaouikamilisha jamii,jamii haiwezi kuendelea kama itakua na watu wanaofanana na wanaowaza sawa!

Long live JF.
 
Wengi ni wakongwe lakini hawajulikani kutokana kutokua na mabandiko mengi au kutokuchangia majukwaa yanayopendwa na wengi. Wanachama wengi wa intelegence hawatajwi humu kabisa.
 
JF ya zamani niliifurahia sana jamanii..
Kuna member walinivutia mnoo miaka ya 2011
Masai dada
Badieby na yule mwarabu wake memsahau..
Eiyer
Asprin
Lara 1 huyu dada alijua kuwakomesha wanaume wa jf jamani
Mentor
Miss Chagga
Wengine wamenitoka kidogoo!
You have nailed it
 
6- Mshana jr, huyu avatar yake kulikuwa na mbaba hivi kibonge. Kati ya watu wote jamiiforumz, avatar yake ni kati ya chache nilizowahi kuhisi ni avatar za kweli. Kama sijamchanganya na mtu mwingine basi yeye alipenda mambo ya uganga uganga sana
Sijutii kukuweka kama mhenga mojawapo ambae nikiona kacomment sehem au kaanzisha thread jamiiforums kwangu it feels like home.
 
Hii sio ile JF niliyokuwa sijui hata ni nini cha kucomment kwa nondo zilizokuwa zikimwagwa. Dah JF ya kweli ilishazikwa na sasa tunatoka katika Era ya JF iliyosifika kwa uchambuzi wa mambo makubwa hadi JF ya kufundishana NGONO. Zamani hata mada za mapenzi zilijadiliwa kwa maturity ila sio sasa. Nitaishukuru Daima kwa kunikuza na siondoki hata kama ikigeuka branch ya ZEutamu maana JF bado ni mtandao wa kijamii mzuri kuliko yote Tanzania
Umegongea msumarii haswaaaaa 🙏🙏🙏
 
Kuna Dada alikuwa anaitwa Smile sikuwai kumuona wala kumjua ila nilimzimikiaga mazima aligoma kunipa namba pm, angefanya hivyo tongozo lingemuhusu.
Kuna Mwita25 huyu alikuwa anaongea ngeli, Masanilo @Dr slaa, nape nauye, mwigulu nchemba, Ben Saanane,Lizzy, Kongosho, @maleria sugu, Ritz, Rejao, Pdidy, Kiranga mpagani mjanja, Mzizi mkavu, The Boss. Nyani Ngabu lugha zake za jeuri zilimjengea maadui wengi wa kwenye keyboard bila yeye kujua na siku alipoingia kwenye 18 za wala vumbi walimtimulia vumbi la kutosha. Ulikuwa ukikutana na Habari ni Habari za moto kweli sio sasa hivi uwongo mwingi.
[/QUOTE
@ nyani ngapi hapatikani kabisa sikuhizi, kulitokea nn?
 
@rockcitynative kapotea sana. Maveterani wapo wanapita kimya kimya. Husninyo sijui kaishia wapi. Pia walikuwepo maveterani Balantanda, BAK, MTK, Mourinho na mshaji wake juve2012.

Ila aliyenishawishi na kuijua zaidi jf ni Mzee Mwanakijiji. Kupitia makala zake kwenye gazeti la Tanzania daima. Baada ya kuwa member nikamkuta mama FaizaFoxy. Jf ni sehemu yangu ya kupumzikia. Source yangu ya habari na pia habari za michezo.

Kule jukwaa la sports, wapo watu nawakubali sana. Namba 1 kabisa ni MosDef shabiki nguli wa liverpool. Gang Chomba na milan yake na lugha za shombo namzimia sana. BlackPanther mjuvi wa soka la juu, sio la bongo. Masports laddy cute b, @everlank, Numbisa mamaa wa gif.

Kwenye jukwaa la picha Mama Sabrina yupo vizuri. Kule kwenye celeb kiranja wao ni warumi japo nasikia kampokea bwana yesu kuwa mwokozi wa maisha yake.

Wakonge.

Asprini
Bujibuji
Ashaa d
Invisible
BAK
Balantanda
Arusha one
Mbu
Inzi
Game theory
Rejao
FF
Umenikumbusha invinsible jmn loh... Asprin Pia
 
Watu wa facebook wameivamia Jamiiforums kwa kasi! Kila uki-scroll ni hadithi za uzinzi tu! Wengine hawajui hata Kiswahili nao wamo tu wanang'ang'ana!
Nashkuru umesema na wewe... Kitu hiki huwa kinanipa kahasira flani hivi nikiona nyuzi sizielewi yani kila mtu ni mjuzi siku hizi huku jf akati zaman watu walikuwa wasikilizaji zaidi kuliko kuongea.
 
Wewe unashangaza sana..!!!!

Yaani pascal ndio unasema asijiingize kwenye udini badala umseme hiyo Dada yako FaizaFoxy

Hebu acha Unafiki, au kwakuwa ni Muislam mwenzio?

Huyu FaizaFoxy tunamjua kwa miaka mingi usione tuna ID's za miaka ya karibuni.

Hao wengine ni sawa kabisa wape heshima zao.
Huyo Pascal inahitaji akili ya ziada kumjua anachokiandika,mtu kama wewe huwezi kuelewa kirahis,halafu acha kunipangia niwe na mtazamo upi.
 
baba swalehe nmekuvutia kaasiii weeee nkaona nkuache kwanza... Naona umerudi tena ila kwa nidhamu baada ya kuona wahenga wamesifiwa za kutosha sasa unataka id yako ya zamani utafkiri unayo
[emoji28][emoji28][emoji28]

Hahaha we jamaa

Mi sitakagi sifa et za nini mimi sasa

Ndiyo nina id yangu ya mwaka 2009
 
Huyo Pascal inahitaji akili ya ziada kumjua anachokiandika,mtu kama wewe huwezi kuelewa kirahis,halafu acha kunipangia niwe na mtazamo upi.
Nimekuambia acha unafiq wewe wa Mudy, unaacha kumtaja yule Ajuza unamtaja Pascal pekee....!

Pascal ninamfahamu vizuri na najua huwa anachomaanisha kwenye comments
 
Nimekuambia acha unafiq wewe wa Mudy, unaacha kumtaja yule Ajuza unamtaja Pascal pekee....!

Pascal ninamfahamu vizuri na najua huwa anachomaanisha kwenye comments
We binti hebu kaa pembeni acha kubwabwaja hovyo,unataka wote tumjue Pascal kama unavyomjua wewe? usinipangie cha kuandika,peleka upuuzi wako kwa wapuuzi wenzako.
 
We binti hebu kaa pembeni acha kubwabwaja hovyo,unataka wote tumjue Pascal kama unavyomjua wewe? usinipangie cha kuandika,peleka upuuzi wako kwa wapuuzi wenzako.
Wewe unawashwa na janaba...kavue baibui mama uoge kwanza kisha urudi hapa...!
 
Nilianza kusoma kupitia operamini nilimjua
Mshana jr, mzizi mkavu ila nilikua nikisoma post za zero iq nilikua najihisi mchafu.
 
Back
Top Bottom