Nimeingia bank, Kuna watu pesa wanayo

Nimeingia bank, Kuna watu pesa wanayo

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Ilikuwa majira ya saa Tatu asubuhi ndani ya NMB KAHAMA BUSINESS CENTER. Nilienda kudepost pesa zangu za mazao ghafra nikaona dogo mwenye umri usiozidi miaka 21 anaingia nabegi la roller anasukuma

Nikajua katoka likizo na furusi la nguo anataka kuweka pesa ya Ada, kumbe ni pesa. Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine

Nilichanganyikiwa nikaona million kumi zangu hazina maana ilinibidi nikaweke kwa njia ya wakala tu

Huyu dogo anaweza akawa katumwa Ila ni risk kwake japo mwonekano wake ulikuwa choka mbaya kabwela tu amevaa makobazi

Walimu mpo? Mnakopa million tano Deni la miaka tisa wenzenu wanaingiza million tano kwa siku moja 🤣🤣🤣🤣
 
Ilikuwa majira ya saa Tatu asubuhi ndani ya NMB KAHAMA BUSINESS CENTER. Nilienda kudepost pesa zangu za mazao ghafra nikaona dogo mwenye umri usiozidi miaka 21 anaingia nabegi la roller anasukuma

Nikajua katoka likizo na furusi la nguo anataka kuweka pesa ya Ada, kumbe ni pesa. Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine

Nilichanganyikiwa nikaona million kumi zangu hazina maana ilinibidi nikaweke kwa njia ya wakala tu

Huyu dogo anaweza akawa katumwa Ila ni risk kwake japo mwonekano wake ulikuwa choka mbaya kabwela tu amevaa makobazi

Walimu mpo? Mnakopa million tano Deni la miaka tisa wenzenu wanaingiza million tano kwa siku moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wa Hindi wanao miliki viwanda na biashara kubwa hutumia vijana wadogo kupeleka pesa yao benki wenyewe wakiwa pembeni wana ogopa kupigwa risasi na kuporwa pesa.........lakini ticha kwa akili zako wewe unaona kijana wa 21yrs atakua anafanya biashara gani ya kumigizia 500m au 1bn mambo mengine ni kutumia common sense ata kama ameokota dhahabu angelipwa benki moja kwa moja bila kushika cash.
 
Ilikuwa majira ya saa Tatu asubuhi ndani ya NMB KAHAMA BUSINESS CENTER. Nilienda kudepost pesa zangu za mazao ghafra nikaona dogo mwenye umri usiozidi miaka 21 anaingia nabegi la roller anasukuma

Nikajua katoka likizo na furusi la nguo anataka kuweka pesa ya Ada, kumbe ni pesa. Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine

Nilichanganyikiwa nikaona million kumi zangu hazina maana ilinibidi nikaweke kwa njia ya wakala tu

Huyu dogo anaweza akawa katumwa Ila ni risk kwake japo mwonekano wake ulikuwa choka mbaya kabwela tu amevaa makobazi

Walimu mpo? Mnakopa million tano Deni la miaka tisa wenzenu wanaingiza million tano kwa siku moja 🤣🤣🤣🤣
Mwanaume unabaki kusifia wanaume wenzio? Ndio mnaoingiziwa mananihii nyuma nyie! Eti unawananga walimu wamekosa nini kwa mfano?
 
Ilikuwa majira ya saa Tatu asubuhi ndani ya NMB KAHAMA BUSINESS CENTER. Nilienda kudepost pesa zangu za mazao ghafra nikaona dogo mwenye umri usiozidi miaka 21 anaingia nabegi la roller anasukuma

Nikajua katoka likizo na furusi la nguo anataka kuweka pesa ya Ada, kumbe ni pesa. Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine

Nilichanganyikiwa nikaona million kumi zangu hazina maana ilinibidi nikaweke kwa njia ya wakala tu

Huyu dogo anaweza akawa katumwa Ila ni risk kwake japo mwonekano wake ulikuwa choka mbaya kabwela tu amevaa makobazi

Walimu mpo? Mnakopa million tano Deni la miaka tisa wenzenu wanaingiza million tano kwa siku moja 🤣🤣🤣🤣
HUWA MNAOLEWA NYIE KIRAHISI SANA
 
Back
Top Bottom