Nimeingia bank, Kuna watu pesa wanayo

Nimeingia bank, Kuna watu pesa wanayo

Wa Hindi wanao miliki viwanda na biashara kubwa hutumia vijana wadogo kupeleka pesa yao benki wenyewe wakiwa pembeni wana ogopa kupigwa risasi na kuporwa pesa.........lakini ticha kwa akili zako wewe unaona kijana wa 21yrs atakua anafanya biashara gani ya kumigizia 500m au 1bn mambo mengine ni kutumia common sense ata kama ameokota dhahabu angelipwa benki moja kwa moja bila kushika cash.
Mtumwa wa wahindi!! Nyinyi ndio wale manaume place posta msiokuwa na kazi kutwa nzima chawa kwa wahindi
 
tuxpi.com.1722960591.jpg
 
Ilikuwa majira ya saa Tatu asubuhi ndani ya NMB KAHAMA BUSINESS CENTER. Nilienda kudepost pesa zangu za mazao ghafra nikaona dogo mwenye umri usiozidi miaka 21 anaingia nabegi la roller anasukuma

Nikajua katoka likizo na furusi la nguo anataka kuweka pesa ya Ada, kumbe ni pesa. Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine

Nilichanganyikiwa nikaona million kumi zangu hazina maana ilinibidi nikaweke kwa njia ya wakala tu

Huyu dogo anaweza akawa katumwa Ila ni risk kwake japo mwonekano wake ulikuwa choka mbaya kabwela tu amevaa makobazi

Walimu mpo? Mnakopa million tano Deni la miaka tisa wenzenu wanaingiza million tano kwa siku moja 🤣🤣🤣🤣
Hao madogo wanasimamia family business. Wakati sisi tuko bize kusisitizwa na wazazi tukasome tupate ajira.
 
 
Ilikuwa majira ya saa Tatu asubuhi ndani ya NMB KAHAMA BUSINESS CENTER. Nilienda kudepost pesa zangu za mazao ghafra nikaona dogo mwenye umri usiozidi miaka 21 anaingia nabegi la roller anasukuma

Nikajua katoka likizo na furusi la nguo anataka kuweka pesa ya Ada, kumbe ni pesa. Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine

Nilichanganyikiwa nikaona million kumi zangu hazina maana ilinibidi nikaweke kwa njia ya wakala tu

Huyu dogo anaweza akawa katumwa Ila ni risk kwake japo mwonekano wake ulikuwa choka mbaya kabwela tu amevaa makobazi

Walimu mpo? Mnakopa million tano Deni la miaka tisa wenzenu wanaingiza million tano kwa siku moja 🤣🤣🤣🤣
Mkuuu hiyo sio ajabu

Wafanya biashara wengi wa kigeni wanatabia hiyoo

Nakumbuka mwaka 2014 namaliza Chuo
Nilipata kibarua change mitaa ya Nkrumah road kwenye makampuni ya clearing and Forwarding
Tulikuwa tunaclear mizigo ya Wachina enzi hizo

Sasaa kwenye kulipa kodi

Million 200 au 500 unapewa wewe upelekee upitishe mitaa ya kariakoo hadi Bank M enzi hizo.
And wao wanakaa mbali

Unawekewa mfuko mkubwa na Maua unapeleka kama kiroba flani hivi mgongoni.

Mimi mwenyewe nishafanya hiyo.kazi kwa wachina

So usishangae Mkuuu
Utakuta hana hata Mia
Cha ajabu bank tela anakuona kama doni anakupapatikia kumbe Huna hata Mia mkuuu

So learn this but ever ever give up
Push and push kwa kiasi chako mkuuu
 
Ilikuwa majira ya saa Tatu asubuhi ndani ya NMB KAHAMA BUSINESS CENTER. Nilienda kudepost pesa zangu za mazao ghafra nikaona dogo mwenye umri usiozidi miaka 21 anaingia nabegi la roller anasukuma

Nikajua katoka likizo na furusi la nguo anataka kuweka pesa ya Ada, kumbe ni pesa. Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine

Nilichanganyikiwa nikaona million kumi zangu hazina maana ilinibidi nikaweke kwa njia ya wakala tu

Huyu dogo anaweza akawa katumwa Ila ni risk kwake japo mwonekano wake ulikuwa choka mbaya kabwela tu amevaa makobazi

Walimu mpo? Mnakopa million tano Deni la miaka tisa wenzenu wanaingiza million tano kwa siku moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao madogo wanatumwa tuu na ma tajiri wa madini
 
Ilikuwa majira ya saa Tatu asubuhi ndani ya NMB KAHAMA BUSINESS CENTER. Nilienda kudepost pesa zangu za mazao ghafra nikaona dogo mwenye umri usiozidi miaka 21 anaingia nabegi la roller anasukuma

Nikajua katoka likizo na furusi la nguo anataka kuweka pesa ya Ada, kumbe ni pesa. Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine

Nilichanganyikiwa nikaona million kumi zangu hazina maana ilinibidi nikaweke kwa njia ya wakala tu

Huyu dogo anaweza akawa katumwa Ila ni risk kwake japo mwonekano wake ulikuwa choka mbaya kabwela tu amevaa makobazi

Walimu mpo? Mnakopa million tano Deni la miaka tisa wenzenu wanaingiza million tano kwa siku moja 🤣🤣🤣🤣
Kumbe ndo maana unasigana na Ualimu. Neno ni ghafla
 
Back
Top Bottom