T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Huna kazi ya kufanya lisaa na nusu umesubiri hela za mtu mwingine zihesabiwe?Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine
Mtumwa wa wahindi!! Nyinyi ndio wale manaume place posta msiokuwa na kazi kutwa nzima chawa kwa wahindiWa Hindi wanao miliki viwanda na biashara kubwa hutumia vijana wadogo kupeleka pesa yao benki wenyewe wakiwa pembeni wana ogopa kupigwa risasi na kuporwa pesa.........lakini ticha kwa akili zako wewe unaona kijana wa 21yrs atakua anafanya biashara gani ya kumigizia 500m au 1bn mambo mengine ni kutumia common sense ata kama ameokota dhahabu angelipwa benki moja kwa moja bila kushika cash.
Ukiona Mhindi anakukubali sana ujue ameshakuona wewe kwake ni kama msukule tu na zaidi ujue ameshakupitisha kama msukule mtarajiwa.Hivi wale jamaa wanakuwa misukule hawawezi kukimbia nazo 😄
Hata sijakuelewa, unacho manisha hapo mkuu.Mtumwa wa wahindi!! Nyinyi ndio wale manaume place posta msiokuwa na kazi kutwa nzima chawa kwa wahindi
Jamaa wanakuaga kama vichwa haviko sawa hivi 😄Ukiona Mhindi anakukubali sana ujue ameshakuona wewe kwake ni kama msukule tu na zaidi ujue ameshakupitisha kama msukule mtarajiwa.
😅😅😅 wanajipakaga oil chafu....Hivi wale jamaa wanakuwa misukule hawawezi kukimbia nazo 😄
Mbona unaleta picha ya Martin Luther, na kuweka majina ya ajabu, au umujui mchango wake duniani
Hao madogo wanasimamia family business. Wakati sisi tuko bize kusisitizwa na wazazi tukasome tupate ajira.Ilikuwa majira ya saa Tatu asubuhi ndani ya NMB KAHAMA BUSINESS CENTER. Nilienda kudepost pesa zangu za mazao ghafra nikaona dogo mwenye umri usiozidi miaka 21 anaingia nabegi la roller anasukuma
Nikajua katoka likizo na furusi la nguo anataka kuweka pesa ya Ada, kumbe ni pesa. Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine
Nilichanganyikiwa nikaona million kumi zangu hazina maana ilinibidi nikaweke kwa njia ya wakala tu
Huyu dogo anaweza akawa katumwa Ila ni risk kwake japo mwonekano wake ulikuwa choka mbaya kabwela tu amevaa makobazi
Walimu mpo? Mnakopa million tano Deni la miaka tisa wenzenu wanaingiza million tano kwa siku moja 🤣🤣🤣🤣
Huwezi kuelewa na hutokuja kuelewa kamweHata sijakuelewa, unacho manisha hapo mkuu.
Mkuuu hiyo sio ajabuIlikuwa majira ya saa Tatu asubuhi ndani ya NMB KAHAMA BUSINESS CENTER. Nilienda kudepost pesa zangu za mazao ghafra nikaona dogo mwenye umri usiozidi miaka 21 anaingia nabegi la roller anasukuma
Nikajua katoka likizo na furusi la nguo anataka kuweka pesa ya Ada, kumbe ni pesa. Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine
Nilichanganyikiwa nikaona million kumi zangu hazina maana ilinibidi nikaweke kwa njia ya wakala tu
Huyu dogo anaweza akawa katumwa Ila ni risk kwake japo mwonekano wake ulikuwa choka mbaya kabwela tu amevaa makobazi
Walimu mpo? Mnakopa million tano Deni la miaka tisa wenzenu wanaingiza million tano kwa siku moja 🤣🤣🤣🤣
Huyu wanamfira anaushogaUngekua wa kike ungechapika sana kwa tamaa ya hela,
Mind ur own business,au una muda wa kuchezea? Unamshangaa mtu kupeleka hela bank wakati hujui hata source ya income yake!
Hao madogo wanatumwa tuu na ma tajiri wa madiniIlikuwa majira ya saa Tatu asubuhi ndani ya NMB KAHAMA BUSINESS CENTER. Nilienda kudepost pesa zangu za mazao ghafra nikaona dogo mwenye umri usiozidi miaka 21 anaingia nabegi la roller anasukuma
Nikajua katoka likizo na furusi la nguo anataka kuweka pesa ya Ada, kumbe ni pesa. Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine
Nilichanganyikiwa nikaona million kumi zangu hazina maana ilinibidi nikaweke kwa njia ya wakala tu
Huyu dogo anaweza akawa katumwa Ila ni risk kwake japo mwonekano wake ulikuwa choka mbaya kabwela tu amevaa makobazi
Walimu mpo? Mnakopa million tano Deni la miaka tisa wenzenu wanaingiza million tano kwa siku moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe ndo maana unasigana na Ualimu. Neno ni ghaflaIlikuwa majira ya saa Tatu asubuhi ndani ya NMB KAHAMA BUSINESS CENTER. Nilienda kudepost pesa zangu za mazao ghafra nikaona dogo mwenye umri usiozidi miaka 21 anaingia nabegi la roller anasukuma
Nikajua katoka likizo na furusi la nguo anataka kuweka pesa ya Ada, kumbe ni pesa. Alienda dirisha la huduma za haraka akaanza kutoa furusi moja mpaka jingine, ilichukua saa moja na nusu teller kuhesab zile pesa kwenye mashine
Nilichanganyikiwa nikaona million kumi zangu hazina maana ilinibidi nikaweke kwa njia ya wakala tu
Huyu dogo anaweza akawa katumwa Ila ni risk kwake japo mwonekano wake ulikuwa choka mbaya kabwela tu amevaa makobazi
Walimu mpo? Mnakopa million tano Deni la miaka tisa wenzenu wanaingiza million tano kwa siku moja 🤣🤣🤣🤣
Zile hukimbii nazo, mfano wachina unakuta anakuweka mbele umebeba begi la hela yy na wenzake wawili au watatu wanakua nyuma yakoHivi wale jamaa wanakuwa misukule hawawezi kukimbia nazo 😄