Nimeingia bank, Kuna watu pesa wanayo

Kuna mchina Moja mjanja sana akiwa anapeleka mzigo bank anamweka mbele dada wa dukani anayeandika order, katikati anakua aliebeba Hela(kijana wa store) na yy anakua nyuma hapo huchekechi hata mia
Yap
Wachina benki naona wanakuja na wafanyakazi wao wakimaliza hao kwenye Alphard mfanyakazi kiti cha mbele kama boss mchina kafunikwa na tint viti vya nyuma
 
Hilo na kubali, wahindi wana tabia hiyo hata mm Kuna mwarabu alitaka kunizoea nikamwambia tuma wengine staki pressure
 
Duuuh ko mkuu ukifikisha mzigo hawakupozi ata laki
 
Yap
Wachina benki naona wanakuja na wafanyakazi wao wakimaliza hao kwenye Alphard mfanyakazi kiti cha mbele kama boss mchina kafunikwa na tint viti vya nyuma
Wachina ndo zao, hata wanaokimbia na hizo hela wengi unakuta ni kama hawana akili hv wiki hii kuna Moja alisepa na 80M za mchina.....hata 48hrs hazijaisha wakamdaka
 
Ungekua wa kike ungechapika sana kwa tamaa ya hela,


Mind ur own business,au una muda wa kuchezea? Unamshangaa mtu kupeleka hela bank wakati hujui hata source ya income yake!
Kweli jamaa ana tamaa sana, mimi mwenyewe ningeshamtusua mapema na angekuwa hakatai mwenye nazo.
 
Maeneo ya wachimbaji raha sana. Unatakiwa kuwa mpole na tumilioni twako.
 
Tahila kweli ww 🤣🤣🤣.. Sio Kila kitu mpaka uingie bulk. Pale kahama mda wote watu wanaingia na viroba Kuna sehem ya haraka ukitaka nenda ukacomfirm. Mpumbav akijua kidogo anadhani Kila kitu ni wrong proof
So walikukula boga ba kulipwa 10k.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…