Nimeingia Tabora leo hii, aiseeh Wanawake wengi mnooo, aiseeh wanaume wenzangu mnapona kweli?

Nimeingia Tabora leo hii, aiseeh Wanawake wengi mnooo, aiseeh wanaume wenzangu mnapona kweli?

Taratibu kijana mji una wenyewe huo.... angalia usijepengeshwa kamasi. ...... wanaume wa huo wanakutizama tuu unavohaha.


Na ukilambishwa asali ndo utanena kwa lugha kabisaaa.....

Hata hivyo, karibu Tabora, ukitaka kula wali ulioungwa kwa karanga wee sema kinehe. .... mashika mashika mashilongo..... mpishi atakuelewa. Ukikwama urudi hapa kuomba msaada.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji23][emoji28][emoji23]
 
Taratibu kijana mji una wenyewe huo.... angalia usijepengeshwa kamasi. ...... wanaume wa huo wanakutizama tuu unavohaha.


Na ukilambishwa asali ndo utanena kwa lugha kabisaaa.....

Hata hivyo, karibu Tabora, ukitaka kula wali ulioungwa kwa karanga wee sema kinehe. .... mashika mashika mashilongo..... mpishi atakuelewa. Ukikwama urudi hapa kuomba msaada.
Ushapandisha zile mamboz tena....aaagh!
 
Basi ni lugha ya kijamaica inayo kuwa si ndio unataka sema hivyo?
mkuu umenikamata ni nyooshe maelezo si ndio [emoji23] [emoji23]

hapa nikinyoosha naweza kula waya
 
  • Thanks
Reactions: sab
mkuu umenikamata ni nyooshe maelezo si ndio [emoji23] [emoji23]

hapa nikinyoosha naweza kula waya
Basi usile waya, nyingine zina umeme, tuna chebwa chebwa moja basi tufaidi na sisi
 
Back
Top Bottom