Nimeingia Tabora leo hii, aiseeh Wanawake wengi mnooo, aiseeh wanaume wenzangu mnapona kweli?

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji23][emoji28][emoji23]
 
Ushapandisha zile mamboz tena....aaagh!
 
Basi ni lugha ya kijamaica inayo kuwa si ndio unataka sema hivyo?
mkuu umenikamata ni nyooshe maelezo si ndio [emoji23] [emoji23]

hapa nikinyoosha naweza kula waya
 
Reactions: sab
mkuu umenikamata ni nyooshe maelezo si ndio [emoji23] [emoji23]

hapa nikinyoosha naweza kula waya
Basi usile waya, nyingine zina umeme, tuna chebwa chebwa moja basi tufaidi na sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…