Mimi pia ninakijiwe changu kinaingiza kiwango kinachotaka kukaribiana nahicho ila tatizo Sasa ndio nategemea kwakila kitu ndio tatizo hilo ila nikipata kitega uchumi kingine nitatoboaBiashara yataka moyo Sana kuna nyakati ngumu na nyakati nzuri pia
Tupambane tu hivyo hivyoMimi pia ninakijiwe changu kinaingiza kiwango kinachotaka kukaribiana nahicho ila tatizo Sasa ndio nategemea kwakila kitu ndio tatizo hilo ila nikipata kitega uchumi kingine nitatoboa
Sent using Jamii Forums mobile app
300k kwa mwez, 10k kwa siku..
Kweli kuna watu mnatafuta hela kwa shida sana.
Ungeweka wazi basi ni biashara gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kbsmkuu watu wa namna hii huwa wanaishi kwa shemeji zao, yaani kwa mwanaume aliyeoa dada yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Au huenda anaishi kwa shemeji aliyemuoa dada yakePengine hapo unaandika hivyo huku unasubiri ugali wa baba na mama
Hapo unambeza mwenzio anayehangaika apate hela ya kula
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kamanda! Kwa uthubutu huoSiku tisini (90) baada ya kufungua Biashara.
Habari wana JamiiForums, leo nimekuja kwenu kupata maoni kuhusu mwenendo wa biashara yangu hii niliyoianza siku 90 zilizopita.
Nilifikiria kuanza biashara hii baada ya kazi niliyokuwa naifanya kufa. Wakati nafikiria kufungua biashara nilikuwa sina mtaji na sikujua nitaupata wapi lakini niliamua kutafuta wapi wanauza bidhaa hizo kwa jumla ili nikifanikisha kupata pesa nisiangaike kutafuta mzigo unapopatikana.
Badaye niliamua kuuza kiwanja changu kwa shilingi 2,000,000/= baada ya makato ya dalali na wakili (wakili tulichangia na mnunuzi) nikabakiwa na 1.9 ku-cut story short, nilikwenda kununua mzigo baada ya kulipia chumba, nauli, nilifanikiwa kuanza na mzigo wa 900,000+
Baada ya kufungua biashara nilianza kwa taabu maana wanasema mwanzo mgumu, lakini nilipambana nikawa kila shilingi ninayouza naagiza mzigo Dar, hivyo hivyo baada ya siku kadhaa mahitaji ya wateja (wanaoulizia) bidhaa fulani ikawa kubwa ikabidi nitafute sehemu nikope pesa niongezee mtaji nikapata 800,000 nikaongeza mtaji dukani.
Ikumbukwe kwamba hapa dukani sitoi matumizi zaidi ya matumizi ya kulihudumia duka kama umeme, mlinzi nk.
Hivyo mpaka leo siku tisini nimeingiza faida ya 1,092,600/= .
Swali langu kwenu: Je, ninakwenda vizuri na biashara hii au napiga mark time tu?
Mkuu kuhusu mkoa mi niko Kanda ya Ziwa na nafanya biashara ya Chupi. nilianza na Chupi na wakati Naendelea nikawa naongeza vitu kidogo kidogo na still Naendelea kupambana nione Duka likifika umri wa mwaka itakuaje
🤣🤣🤣🤣 yaani Makufuri mzee! baba! duuu! sasa ya kike au ya kiume? kwangu mimi ukitamka chupi akili inayeyuka inafunika nini vile! Boxer kwani hazimo?Mkuu kuhusu mkoa mi niko Kanda ya Ziwa na nafanya biashara ya Chupi. nilianza na Chupi na wakati Naendelea nikawa naongeza vitu kidogo kidogo na still Naendelea kupambana nione Duka likifika umri wa mwaka itakuaje
Unauza mwenyewe au umemuweka mtu,wanasema akiuza mwanaume atapishana na Wateja je ni kweli?Asante kamanda
Nauza mwenyeweUnauza mwenyewe au umemuweka mtu,wanasema akiuza mwanaume atapishana na Wateja je ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mkuu duka la chupi wanasema akiuza mwanaume atapishana na Wateja ya kweli hayo?🤣🤣🤣🤣 yaani Makufuri mzee! baba! duuu! sasa ya kike au ya kiume? kwangu mimi ukitamka chupi akili inayeyuka inafunika nini vile! Boxer kwani hazimo?
Any way hizo peleka Kyaka kulee utapata hela sana!
Ni ya kweli nusu, fanya hivi, changanya wauzaji wawe vijana barubaru, both ''me'' na ''ke''Hivi mkuu duka la chupi wanasema akiuza mwanaume atapishana na Wateja ya kweli hayo?
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo unapata kama elfu 12,000/= kwa siku hio sio haba ila inategemea na opportunity cost yako mwenyewe..
Je unaweza kupata zaidi ya hio kwa kufanya kingine.., kama hapana basi this is the best scenario kwa situation yako..
Pili je ni lazima wewe uwepo kwenye hio biashara 24/7 kama hapana basi hata kama faida ingekuwa ni Tshs 500/= kwa siku sio mbaya kabisa sababu (its better to get 5% of the profit with 0% energy input kuliko 100% of the profit with 100% energy input)
Hapo umeongelea overheads za umeme na chumba tu..., je ukiongezea TRA, Fire, Taka na Service charges hesabu zitasomekaje....
Mwisho how hard is it kwa mwingine kuiga biashara yako..., sababu wabongo wakiona tu mzigo unauza usishangae keshokutwa ukakuta kila mtu anafanya unachofanya kwa bei ya kipuuzi hence kukutoa kwenye mstari...
Mwisho hakuna biashara mbaya wala nzuri (uzuri na ubaya ni wewe mwenyewe uwezo wako au utayari wako wa kufanya kinachotakiwa kufanyika), hapa I mean kufanikiwa kwa mwingine sio necessarily kwamba wewe utafanikiwa and vice versa...