Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

Keep up the good work kuna mtaalamu kakushauri vizuri kucompliment biashara yako na izo females utensils kama vikuku,hereni n.k fanya ivo mkuu utafika mbali uje ufungue duka la urembo kabisa
 
Keep up the good work kuna mtaalamu kakushauri vizuri kucompliment biashara yako na izo females utensils kama vikuku,hereni n.k fanya ivo mkuu utafika mbali uje ufungue duka la urembo kabisa
Asante mkuu
 
Mkuu kwa biashara uliyoifanya kwa siku 90 tu imekupa return hio? Usiiache,kwani kawaida biashara ambayo haikupi hasara ni biashara nzuri sana. Uwekezaji wako na return unayoipata ni sawasawa. Unaendelea vizuri.
 
Ku-net positive ni kitu kizuri, ila still faida hiyo ni ndogo, 333K kwa mwezi haitoshi kuishi popote pale.
Ila kabla ya yote hayo jiulize maswali haya kwanza

1. Je biashara inapanda au inashuka? yaani mwezi wa kwanza hadi sasa mauzo kila mwezi yanaongezeka au yanashuka? kama yako palepale au yanashuka then biashara hiyo ni mbaya, meaning ulikua na traction mwanzoni tu imekata mapema, yaweza kua sababu ya covid pia ila inabidi kua makini, kama inapanda basi angalia utafanyeje kuaccelerate hiyo faida, unachotengeneza kwa miezi mitatu ukitengeneze kwa mwezi moja, then igeuke kua in two weeks, then one, ikiwezekana igeuke kua in a day. Sijui biashara yako ni ipi ila liangalie hili

2. Hiyo 333k kwa mwezi, is it worth your time? au ungeweza fanya kitu kingine ukaingiza hela zaidi ya hiyo? Ni muhimu sana kuvalue muda wako, muda ni kitu ambacho kikiondoka hakirudi tena, so inabidi utumie effectively.

All the best, entrepreneurship inaanzia hukohuko then mtu anazidi kukua, inafika muda hiyo 1m haikupi hata mawazo, zipo nyingi tu kwenye account zimejaa wakati wote.
 
Ni ya kweli nusu, fanya hivi, changanya wauzaji wawe vijana barubaru, both ''me'' na ''ke''

Wake za watu na wanaume umri wa kati watamfuata ''ke'' ili pia kuweka heshima kwa duka lako, ktk jamii uliyopo!

sababu wanaume sisi tuna wivu sana wake zetu kupewa huduma ya chupi na ''me'' eti akuangalie angalie huko chini, weee, atoe tathmini! mara ingia hapo kajipime! mweee!

Inauma waziwazi kwa mwenye mali, kwa muktadha huu, wewe kma mfanya biashara usimsababishie mteja maumivu, ila mteja /mke, yeye hayajui hayo! habari zitakapo fika kwa mwenye mali ndo mtiti!

Eti akuchagulie chupi ya mkeo mweeee! '' hii nzuri, hii new style! ni rahisi hapa mwenyekiti wa serikali za mitaa kukupiga vita uhame,

Unajua Wanawake hawana siri wanasimulianaga sana huko saloon, bombani, vikobani,visimani!nk. utasikia yule kaka jamani mtaalam kweli! alinichagulia chupi nzuriii! mme wangu kazipenda, hapo habari zina sambaa!

Wazee wa rika zote na visichana chipukizi vitahudumiwa na Kijana ''me'' . Visichana vigori vinapenda wavulana wasiojali, kwanza viko mawindoni pia, wala havioni aibu hivi havina wa kumsimulia zaidi ya rafiki zao wenye kuhitaji vyupi km vyao! vinanunua aina hiyo,hiyo rangi moja vyoote!
Duh Mungu atusaidie Kwakweli
sasa kama una wivu hivyo mkeo akiwa mjamzito akapelekwa hospital si utazimia kabisa kue wanaingizwa mikono mzee wanachunguliwa nyuchi bila huruma,na bahat mbaya kila wodi ya wazazi madaktar wanaume wamejaa kibao.
 
Kaza mwendo kamanda,ujasiriamali hua ni lonely journey, usitafute mtu wa kukutia moyo wala nini.Wewe endelea na mapambano.

Uko kwenye right track.
INANIPAGA NGUVU YA KUSONGA MBELE
 
Siku tisini (90) baada ya kufungua Biashara.

Habari wana JamiiForums, leo nimekuja kwenu kupata maoni kuhusu mwenendo wa biashara yangu hii niliyoianza siku 90 zilizopita.

Nilifikiria kuanza biashara hii baada ya kazi niliyokuwa naifanya kufa. Wakati nafikiria kufungua biashara nilikuwa sina mtaji na sikujua nitaupata wapi lakini niliamua kutafuta wapi wanauza bidhaa hizo kwa jumla ili nikifanikisha kupata pesa nisiangaike kutafuta mzigo unapopatikana.

Badaye niliamua kuuza kiwanja changu kwa shilingi 2,000,000/= baada ya makato ya dalali na wakili (wakili tulichangia na mnunuzi) nikabakiwa na 1.9 ku-cut story short, nilikwenda kununua mzigo baada ya kulipia chumba, nauli, nilifanikiwa kuanza na mzigo wa 900,000+

Baada ya kufungua biashara nilianza kwa taabu maana wanasema mwanzo mgumu, lakini nilipambana nikawa kila shilingi ninayouza naagiza mzigo Dar, hivyo hivyo baada ya siku kadhaa mahitaji ya wateja (wanaoulizia) bidhaa fulani ikawa kubwa ikabidi nitafute sehemu nikope pesa niongezee mtaji nikapata 800,000 nikaongeza mtaji dukani.

Ikumbukwe kwamba hapa dukani sitoi matumizi zaidi ya matumizi ya kulihudumia duka kama umeme, mlinzi nk.

Hivyo mpaka leo siku tisini nimeingiza faida ya 1,092,600/= .

Swali langu kwenu: Je, ninakwenda vizuri na biashara hii au napiga mark time tu?
Mkuu si vibaya ukatuwekea picha ya dula lako tuone lilivyosheheni huenda likatupa motisha wengine wengi tunaofikiri labda mpaka tuwe na mamilion
 
Siku tisini (90) baada ya kufungua Biashara.

Habari wana JamiiForums, leo nimekuja kwenu kupata maoni kuhusu mwenendo wa biashara yangu hii niliyoianza siku 90 zilizopita.

Nilifikiria kuanza biashara hii baada ya kazi niliyokuwa naifanya kufa. Wakati nafikiria kufungua biashara nilikuwa sina mtaji na sikujua nitaupata wapi lakini niliamua kutafuta wapi wanauza bidhaa hizo kwa jumla ili nikifanikisha kupata pesa nisiangaike kutafuta mzigo unapopatikana.

Badaye niliamua kuuza kiwanja changu kwa shilingi 2,000,000/= baada ya makato ya dalali na wakili (wakili tulichangia na mnunuzi) nikabakiwa na 1.9 ku-cut story short, nilikwenda kununua mzigo baada ya kulipia chumba, nauli, nilifanikiwa kuanza na mzigo wa 900,000+

Baada ya kufungua biashara nilianza kwa taabu maana wanasema mwanzo mgumu, lakini nilipambana nikawa kila shilingi ninayouza naagiza mzigo Dar, hivyo hivyo baada ya siku kadhaa mahitaji ya wateja (wanaoulizia) bidhaa fulani ikawa kubwa ikabidi nitafute sehemu nikope pesa niongezee mtaji nikapata 800,000 nikaongeza mtaji dukani.

Ikumbukwe kwamba hapa dukani sitoi matumizi zaidi ya matumizi ya kulihudumia duka kama umeme, mlinzi nk.

Hivyo mpaka leo siku tisini nimeingiza faida ya 1,092,600/= .

Swali langu kwenu: Je, ninakwenda vizuri na biashara hii au napiga mark time tu?
Kwahiyo kipindi unapiga haya mahesabu, mzigo ulio nao ulikua una thamani gani?
 
Unakwenda vizuri sana
Siku tisini (90) baada ya kufungua Biashara.

Habari wana JamiiForums, leo nimekuja kwenu kupata maoni kuhusu mwenendo wa biashara yangu hii niliyoianza siku 90 zilizopita.

Nilifikiria kuanza biashara hii baada ya kazi niliyokuwa naifanya kufa. Wakati nafikiria kufungua biashara nilikuwa sina mtaji na sikujua nitaupata wapi lakini niliamua kutafuta wapi wanauza bidhaa hizo kwa jumla ili nikifanikisha kupata pesa nisiangaike kutafuta mzigo unapopatikana.

Badaye niliamua kuuza kiwanja changu kwa shilingi 2,000,000/= baada ya makato ya dalali na wakili (wakili tulichangia na mnunuzi) nikabakiwa na 1.9 ku-cut story short, nilikwenda kununua mzigo baada ya kulipia chumba, nauli, nilifanikiwa kuanza na mzigo wa 900,000+

Baada ya kufungua biashara nilianza kwa taabu maana wanasema mwanzo mgumu, lakini nilipambana nikawa kila shilingi ninayouza naagiza mzigo Dar, hivyo hivyo baada ya siku kadhaa mahitaji ya wateja (wanaoulizia) bidhaa fulani ikawa kubwa ikabidi nitafute sehemu nikope pesa niongezee mtaji nikapata 800,000 nikaongeza mtaji dukani.

Ikumbukwe kwamba hapa dukani sitoi matumizi zaidi ya matumizi ya kulihudumia duka kama umeme, mlinzi nk.

Hivyo mpaka leo siku tisini nimeingiza faida ya 1,092,600/= .

Swali langu kwenu: Je, ninakwenda vizuri na biashara hii au napiga mark time tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku tisini (90) baada ya kufungua Biashara.

Habari wana JamiiForums, leo nimekuja kwenu kupata maoni kuhusu mwenendo wa biashara yangu hii niliyoianza siku 90 zilizopita.

Nilifikiria kuanza biashara hii baada ya kazi niliyokuwa naifanya kufa. Wakati nafikiria kufungua biashara nilikuwa sina mtaji na sikujua nitaupata wapi lakini niliamua kutafuta wapi wanauza bidhaa hizo kwa jumla ili nikifanikisha kupata pesa nisiangaike kutafuta mzigo unapopatikana.

Badaye niliamua kuuza kiwanja changu kwa shilingi 2,000,000/= baada ya makato ya dalali na wakili (wakili tulichangia na mnunuzi) nikabakiwa na 1.9 ku-cut story short, nilikwenda kununua mzigo baada ya kulipia chumba, nauli, nilifanikiwa kuanza na mzigo wa 900,000+

Baada ya kufungua biashara nilianza kwa taabu maana wanasema mwanzo mgumu, lakini nilipambana nikawa kila shilingi ninayouza naagiza mzigo Dar, hivyo hivyo baada ya siku kadhaa mahitaji ya wateja (wanaoulizia) bidhaa fulani ikawa kubwa ikabidi nitafute sehemu nikope pesa niongezee mtaji nikapata 800,000 nikaongeza mtaji dukani.

Ikumbukwe kwamba hapa dukani sitoi matumizi zaidi ya matumizi ya kulihudumia duka kama umeme, mlinzi nk.

Hivyo mpaka leo siku tisini nimeingiza faida ya 1,092,600/= .

Swali langu kwenu: Je, ninakwenda vizuri na biashara hii au napiga mark time tu?
Binafsi nimebobea pia kwenye biashara/ ujasiriamali. Pia na MBA (Master of Business Administration).Ili nikupe ushauri, naomba screenshot ya income statement yako.
 
UPDATE

From JANUARY TO MARCH

Hiki ndicho nilichokivuna 747,050/=

Habarini wana jamvi wengi walitamani kusikia mambo yapoje baada ya miezi mitatu mingine. Kiukweli biashara ni ngumu lakini Mungu ni mwema hicho ndicho nilichovuna
Najua wapo watakao beza Karibuni

Picha naleta soon
 
IMG_20200518_111505.jpg
 
Back
Top Bottom