Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 944
- 1,138
Nilijua tu atasema ni business yachupi. Uweke na bikini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara yako iko vizuri sana ukizingatia umepata faida ndani ya siku za mwanzo za biashara. Cha kujazia jikite kwenye ukuzaji wa mtaji kila mia irudi kwenye biashara utafika mbali. Asikushauri mtu kuanza kufanya dead investiment kwa wakati huu.Asante sana Mkuu kuna wakati Nilidhani nafanya mchezo tu lakini kumbe ninapiga hatua ipo hivi
Nilikua nafanya kazi ofc moja kwa mwezi nilikua nalipwa laki moja tu imagine japo kulikua na deals za hapa na pale lakini ilikua hailipi
Hapo TRA ndo Nataka kuanza kulipa mwaka huu Fire Sijaenda mpaka wapite na kuhusu kuwepo Ndio ninaifanya mwenyewe Biashara maana mtaji naujua nilipoutoa nisipoulinda nani mwingine wa kunilindia?Hapo umeongelea overheads za umeme na chumba tu..., je ukiongezea TRA, Fire, Taka na Service charges hesabu zitasomekaje....
Kutoa pesa kwenye mzunguko wa biashara yako na kununulia vitu visivyoingiza pesa mfano kujenga nyumba au kununua kiwanja kwa wakati huu ambao biashara inatakiwa ikuwe.Hii ni kitu gani nifafanulie please
Tena ukienda TRA ukawapa hizo hesabu za hizo faida; unaweza ukazimia..., kumbuka wenyewe wanaangalia mauzo na sio faida kwahio ukiwapa hesabu za mauzo unaweza ukajikuta kafaida kote mnagawana pasu kwa pasu..., kwahio kama bidhaa zako ni nguo unazowapelekea wateja unaowajua personally mahali walipo huenda hio ikakupunguzia overheadsHapo TRA ndo Nataka kuanza kulipa mwaka huu Fire Sijaenda mpaka wapite na kuhusu kuwepo Ndio ninaifanya mwenyewe Biashara maana mtaji naujua nilipoutoa nisipoulinda nani mwingine wa kunilindia?
Mkuu ni mwanzo mzuri usikate Tamaa cha msingi unavyopata faida inabid uongeze bidhaa toafuti tofauti kutokana na mahitaji ya wateja ili kuongeza wigo mpana Wa biashara yako kwa kufanya hivyo pia faida itaongezeka na Kama utaendelea kua na heshima na saving nzuri ya pesa nakuhakikishia baada ya muda utakua mbali sana.Mkuu kuhusu mkoa mi niko Kanda ya Ziwa na nafanya biashara ya Chupi. nilianza na Chupi na wakati Naendelea nikawa naongeza vitu kidogo kidogo na still Naendelea kupambana nione Duka likifika umri wa mwaka itakuaje
Kama hutoi hela dukani zaidi ya umeme na mlinzi sasa hela ya kula na vitu kama hivyo hela yake unatoa wapi?;au ni mwendo wa deshi tu?Siku tisini (90) baada ya kufungua Biashara.
Habari wana JamiiForums, leo nimekuja kwenu kupata maoni kuhusu mwenendo wa biashara yangu hii niliyoianza siku 90 zilizopita.
Nilifikiria kuanza biashara hii baada ya kazi niliyokuwa naifanya kufa. Wakati nafikiria kufungua biashara nilikuwa sina mtaji na sikujua nitaupata wapi lakini niliamua kutafuta wapi wanauza bidhaa hizo kwa jumla ili nikifanikisha kupata pesa nisiangaike kutafuta mzigo unapopatikana.
Badaye niliamua kuuza kiwanja changu kwa shilingi 2,000,000/= baada ya makato ya dalali na wakili (wakili tulichangia na mnunuzi) nikabakiwa na 1.9 ku-cut story short, nilikwenda kununua mzigo baada ya kulipia chumba, nauli, nilifanikiwa kuanza na mzigo wa 900,000+
Baada ya kufungua biashara nilianza kwa taabu maana wanasema mwanzo mgumu, lakini nilipambana nikawa kila shilingi ninayouza naagiza mzigo Dar, hivyo hivyo baada ya siku kadhaa mahitaji ya wateja (wanaoulizia) bidhaa fulani ikawa kubwa ikabidi nitafute sehemu nikope pesa niongezee mtaji nikapata 800,000 nikaongeza mtaji dukani.
Ikumbukwe kwamba hapa dukani sitoi matumizi zaidi ya matumizi ya kulihudumia duka kama umeme, mlinzi nk.
Hivyo mpaka leo siku tisini nimeingiza faida ya 1,092,600/= .
Swali langu kwenu: Je, ninakwenda vizuri na biashara hii au napiga mark time tu?
Vyanzo vingine mkuuKama hutoi hela dukani zaidi ya umeme na mlinzi sasa hela ya kula na vitu kama hivyo hela yake unatoa wapi?;au ni mwendo wa deshi tu?
Sent using Jamii Forums mobile app