Saaaaaanaaaaa.......Nimeielewa sana falsafa ya Rais Samia kuwataka watendaji wote kutumia akili badala ya nguvu wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kuwatumikia wananchi.
Kwa mfano kumfukuza Tundu Lissu bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Kumsimanga Prof Assad ni matumizi ya nguvu
Kuwaingiza akina Nusrat Henje bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Nk.....nk....nk!
Hakika awamu ya 6 na mambo mapya hakuna kuoneana.
Maendeleo hayana vyama!
Kila zama na kitabu chake.Kwani kama inajulikana kabisa kuwa sheria za uwekezaji ni kandamizi na zinafukuza wawekezaji, sasa ugumu wa kuzifuta unatoka wapi?
Unadhani Ally Happy na Martin Shigela watakuelewa?Miguvu mwisho Ufipa.
Tanzania Daima oyeee!
Na mimi sijasema umehama chamaKwani nimehama chama?
Nimeielewa sana falsafa ya Rais Samia kuwataka watendaji wote kutumia akili badala ya nguvu wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kuwatumikia wananchi.
Kwa mfano kumfukuza Tundu Lissu bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Kumsimanga Prof Assad ni matumizi ya nguvu
Kuwaingiza akina Nusrat Henje bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Nk.....nk....nk!
Hakika awamu ya 6 na mambo mapya hakuna kuoneana.
Maendeleo hayana vyama!
Officially ilizikwa tarehe 19 March 2021 baada ya Mh. Samia Suluhu Hassan kuapa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TZ.Awamu ya tano tushaizika tangu tar26/3 babu, zinduka usingizini hii ni awamu ya sita.