Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Yaani sio poa kabisa ndugu zangu nimefanikiwa kuziiba pesa taslimu milioni 500 za kampuni x na kuisababishia hasara kampuni ya hiyo pesa na sasa niko njia panda either nikimbie nchi au nitulie tu nikisubiria hatima yangu ya kesi ila najua hii kesi mimi siwezi kuchomoka hapa ni kufungwa kifungo jela tu
Kwahiyo naombeni ushauri wenu nizilipe hizo pesa ila pesa zenyewe nimekunywa bia na kutumia kwa wanawake tu wala sijazifanyia chochote Ile aisee kwahiyo nasubiria kikao cha kampuni watakuja na hatua gani za kinidhamu yaani kiukweli niko njia panda mwenzenu
Kwa yoyote yule anayemjua mganga wowote yule Ani pm ili niimalize hili so maana sio poa au yoyote yule mwenye connection na maisha ya abroad anipm tuyajenge ili nikimbie hii nchi ili kuepukana na hii so
Kwahiyo naombeni ushauri wenu nizilipe hizo pesa ila pesa zenyewe nimekunywa bia na kutumia kwa wanawake tu wala sijazifanyia chochote Ile aisee kwahiyo nasubiria kikao cha kampuni watakuja na hatua gani za kinidhamu yaani kiukweli niko njia panda mwenzenu
Kwa yoyote yule anayemjua mganga wowote yule Ani pm ili niimalize hili so maana sio poa au yoyote yule mwenye connection na maisha ya abroad anipm tuyajenge ili nikimbie hii nchi ili kuepukana na hii so