Wote tunaishi kwenye maghorofa mkuu gate kaliHao wa Tz unaozungumzia hawapo hapa JF huku JF kila mtu ana gari na nyumba Kali na kila mtu hana njaa we hao wa Tz ulioishi nao Wana hizi sifa za watu wa JF?
Uchawi (ushirikina) na unafiki(fitina) nikweli kabisaHii ni [emoji817] mkuu. Tanzania tunatakiwa kushughulikia vitu viwili tu kwa sasa....uchawi(ushirikina) na unafiki (fitina).
Hiyo nikweli ila ndiyo hivyo familia nyingine ni balaaHahah mkuu hua tunabebeshwa Michele au mkungu wa Ndizi za kupika.
Kweli kabisa, mfano wilaya ya karagwe full kilugha hata maofisini na wakijua sio wa uku wanakasirika. Wabaguzi sanaLushoto sawa
Moshi sawa
Lakini Bukoba? Mhhh Bukoba ipi wewe ulikwenda?
Isije ikawa unaongelea mtaa wa Bukoba hapo Manzese nyuma ya Bakhresa.
Dah kweli hii chuga moja.Ujienda Arusha kwetu tumewai mpa mtu get aishi bure kbsa bila kulipa Kodi dogo alikiwa anatokea ngalimted anakuna huku mlimani kustay fresh inagwa alikuwa mla ganja
Nenda pale saloni kwa mndengereko ukanyoe!!Watu safi watanzania, mimi nimekaa kahama, nmefanya biashara huko mbeya ubaruku, nimekaa kidogo iringa, nna rafiki zangu toka arusha na moshi kama ndugu. Nina rafiki zangu wakurya, aisee ukiwa na rafiki mkurya kama anakukubali jua anakukubali kweli hata kupgana kwa ajili yako anaweza.
Tanzania ni sehemu safi kabisa kokote unaishi. Na saa nyingine wakijua wewe ni mgeni unakuwa mashuhuri kila mtu anakufahamu na kukurefer kwa jina la clan yako. Kama unafanya biashara utaskia, pale duka la flani utapata
Arusha ukiwa mgeni na haujaja kuleta competition na biashara/mbishe za watu utaishi fresh tu,yaani unatakiwa kua fala flani hivi ili uishi fresh.Lkn ukija Kama mpambanaji na umeleta competition ya maana utaukimbia huu mji.Nipo Arusha sina ndugu hata mmoja ninaye mjua huu mkoa lakini najihisi nipo nyumbani.
🇹🇿❤️
Mbona umepanic..kubali kataa ninyi vibaguzi sana.Wewe jamaa kwanini Ni mpumbavu sana?
Halafu baada ya Magufuli luwa Rais, limetokea Genge moja la wasukuma wapumbavu sana yaani.
Wasukuma used to be very charming and hard-working people.
Unaposema mgeni unamaanisha nini?Arusha ukiwa mgeni na haujaja kuleta competition na biashara/mbishe za watu utaishi fresh tu,yaani unatakiwa kua fala flani hivi ili uishi fresh.Lkn ukija Kama mpambanaji na umeleta competition ya maana utaukimbia huu mji.
Nimeongea Kama mzaliwa na mwenyeji wa hapa.
Wa kuja.Unaposema mgeni unamaanisha nini?
Mtu asiye kabila la hapa ama mhamiaji yeyote?
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Ha ha ha wahaya walikuchangamkia bila shaka walikuwa after something.Aisee nimejifunza kitu kimoja kuhusu sisi watanzania baada ya kutembea mikoa tofauti na kuishi huko. Watanzania tunaweza kuwa tunatofautiana na kurushiana maneno mitandaoni juu ya sijui kabila fulani, hivi mkoa fulani hivi..ila kiuhalisia tunaishia kwa upendo sana.
Ok kiufupi, nimezunguka mikoa mingi..nimeishi Kagera aisee ilikua safi majirani na watu walikua na upendo sana japo sikua mwenyeji.
Nimeishi moshi big up sana kuna wajamaa waliiishi na mimi kama mdogo wao na hata kunisaidia naul kurudi Dar nilipokua hali tete braza George Mramba big up popote ulipo ulinisaidia first day kiuaminifu sana kama mdogo wako.
Unakaribishwa chakula tena unalizimishwa aosee wwtu wa mikoani big up sana ila na kiujumla watz safi sana.
Lushoto nimeishi lukozi napo ilikua safi sana watu walikua wakarimu vibaya mno kama wanakujua. Aisee watz sisi safi sana!
Hii ndio maana iliitwa bongo ukizubaa unapigwa chap kwa ukali😅Naunga mkono hoja yako pal, Zawadi kubwa tuliyopewa watanzania inawezekana kuliko hata waafrika wengine ni Upendo na ukarimu, Watanzania ni wakarimu mno nahisi ndio sababu ya umaskini wetu.
Mwanzo nikienda vijiji vya mkoa wetu jinsi majirani wanavyotupokea na kutupa vyakula nilikia najua ni mkoa wetu ndio wakarimu sana kumbe ni karibu mikoa yote. Mikoa yote niliyokua naishi nimeshuhudia upendo na ukarimu wa watanzania tena sehemu hizo unakuta hauna ndugu kabisa ila Unaishi kwa amani. Eg, Usukumani, Unyaturuni, Wandengereko, Wachaga/Masai nimekaa kwa raha sana, Wanyakyusa pia wakarimu sana asee..
Zanzíbar watu ni wakarimu sana ghalama ya kupata kitu chochote kwa Shamba ni kusema "naomba" Shida yao sometimes udini unawameza kiasi but nao wakarimu sana.
Dar ndio wwtu wanaishi kama magaidi ukipanda gari kila mtu anamuona mwenzake Mwizi, hata ukiulizia njia hasa maeneo ya Ubungo, kino,temeke, ilala Ndio kwanza mtu anakutafutia chance ya kukuibia/tapeli.
Maendeleo Yana chama.Mbona umepanic..kubali kataa ninyi vibaguzi sana.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaenda bukoba unakuwa na dharau na kiburi itajuta kuishi bk...watu wa bk hawapendi dharau hasa kwa tamaduni zao..Huyu kakutana nao Njiani anasema Kaishi nao
Ukiona hupendwi na jamii nzima ujue wew ndo una kasoro..Kweli kabisa, mfano wilaya ya karagwe full kilugha hata maofisini na wakijua sio wa uku wanakasirika. Wabaguzi sana
Bukoba ulisha fanya nao kazi ofisini ukajua usemacho? Kilimanjaro pia changanya na waMeru. Sehemu pekee inakaribisha wageni pasi kuwabagua ni Kanda ya Usukumani na Kusini, kila mtu hua ana lake la kusema na tukitaka kusema hapa tutazua mjadala mkubwa usio na faidaAisee nimejifunza kitu kimoja kuhusu sisi watanzania baada ya kutembea mikoa tofauti na kuishi huko. Watanzania tunaweza kuwa tunatofautiana na kurushiana maneno mitandaoni juu ya sijui kabila fulani, hivi mkoa fulani hivi..ila kiuhalisia tunaishia kwa upendo sana.
Ok kiufupi, nimezunguka mikoa mingi..nimeishi Kagera aisee ilikua safi majirani na watu walikua na upendo sana japo sikua mwenyeji.
Nimeishi moshi big up sana kuna wajamaa waliiishi na mimi kama mdogo wao na hata kunisaidia naul kurudi Dar nilipokua hali tete braza George Mramba big up popote ulipo ulinisaidia first day kiuaminifu sana kama mdogo wako.
Unakaribishwa chakula tena unalazimishwa aisee watu wa mikoani big up sana ila na kiujumla watz safi sana.
Lushoto nimeishi Lukozi napo ilikuwa safi sana watu walikuwa wakarimu vibaya mno kama wanakujua. Aisee watz sisi safi sana!