Nimeishi Moshi, Bukoba, Lushoto aisee watanzania tuna ukarimu sana tofauti na tunavyoshambuliana kwa tofauti zetu

Ulipokuwa Moshi hukuitwa Chasaka??
 
wadigo ndio best kwa Tanzania kwa ukarimu wanapenda wageni noma akifika mgeni hata kweny myu,na ya ,akuti atapikiwa bilyani
 
Nimesoma na jamaa wa chuga si fichi ni wabaguzi mno mbaya walikuwa wachache mpaka wakawa wanagombana na watu wa dar makundi daily maisha ya boarding bhana
 
mi nimefanya na wachaga ni wabaguzi kiasi fulani haswa mtu hawezi kumtakia mwenzie hbd mpaka aandike mara chugaboy mara chaga boy mtu alifunga tu kuna mechi wanampost eti wanyumbani
😀 😀 😀
 
Sijaona kabisa MTU akiiongelea iringa........wale jamaa ndo definition ya ukarimu kwa kweli


Nilitoka zangu huku kaskazini kwetu kwenda KJ 841 nilivyopokelewa na watu ambao siyo ndugu zangu na hatujuani mm mwenyew nilinyoosha mikono juu
 
Wa huko Dar wamejaa roho mbaya na umaskini kiasi kwamba ukiwatembelea wanakuuliza unaondoka lini? Cha ajabu hapo umeshawabebea debe la mchele, maharage na mandizi yakutosha.
Halafu wakija mikoani wanaomba na nauli ya kurudia
 
Tobaaaaaa... "... Ukija kama mpambanaji na kuleta competition utaukimbia huu mji...". Duuuuuh
 
Hio sentensi ya mwisho ndio ime summarize content ya post yako. Tanzania hii unaishi popote tu, sio ajabu ukamkuta Mhaya pale Mpanda Katavi, na si ajabu kukuta Moemba akiwa na duka Kyela Mbeya.
 
Hio sentensi ya mwisho ndio ime summarize content ya post yako. Tanzania hii unaishi popote tu, sio ajabu ukamkuta Mhaya pale Mpanda Katavi, na si ajabu kukuta Moemba akiwa na duka Kyela Mbeya.
Kabisa mkuu. Kuna jamaa yangu yuko katavi alikuwa anaishi dar akapata kazi wakamrusha huko. Anakwambia katu harudi dar now mwaka wa pili keshanunua eneo anataka anza kujenga.
Ukabila upo ila sio kiasi hicho.
 
Ebu kajaribu zenji..uje utupe mrejesho..nenda huko vijijini halafu uanze kula mdudu ndio utajua tz hakuna amani bali utulivu.

#MaendeleoHayanaChama
Sasa unaona matatizo yako, unataka kuwapelekea nguruwe wakati kwao ni haramu? Wewe kauze urojo kama utamwona mtu yeyote ana muda wa kukubagua.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kweli, wapo wakarimu Sana ila usipokuwa mhaya Kuna jina utaitwa.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mnyamahanga? Halafu sio tusi maanake ni mtu wa sehemu nyingine. Hata ukiwa mkoani wanasema uko kwenye mahanga. Hauko nyumbani. Ni sawa na watu wa dar wanavyosema watu wa mikoani haina tofauti kabisa.
 
Lushoto sawa
Moshi sawa
Lakini Bukoba? Mhhh Bukoba ipi wewe ulikwenda?
Isije ikawa unaongelea mtaa wa Bukoba hapo Manzese nyuma ya Bakhresa.
Bakini na ukabila wenu kuwahukumu hata ambao hawajawai kuwakosea kisa kabila ila msisahau siku ya mauti kila nafsi itahukumiwa kutokana na mzigo wake wa dhambi.

Tusisahau hakuna aliveyekua na option ya kuchagua kabila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…