Nimeishi Urusi najua Tamaduni zake, pamoja na Ukubwa wa Jeshi lake Rushwa ndiyo inawafanya wasikamilishe malengo kwa muda

Duh! kweli wanapenda Rushwa..
 
Kwahiyo hapa ndiyo umejibu hoja!!!!
Tanzania tunahitaji maombi mazito Sana aisee Kwa Akili kama hizi tutafika kweli?
Nimechoka hapo anapompinga mleta mada ambae anaishi Russia kwa kutumia kigezo cha kuwa na ndugu yake anayeishi Russia.Sijui alitakaje,tuache kumwamini anaeishi Russia bali tumwamini yeye aliye na ndugu anaishi Russia
 

Lakini hii intel na hizi strategies ni wa kraine wenyewe kwel ama wanapewa mbinu tokea west manake akil kubwa sana, hasa wale askari waliokwama kwenye kile kiwanda nilijua wazi kabisa ni mbinu
 
Alafu western countries hawajafunga balozi zao ingawa wanagombana kuhusu mafuta na gesi hii inapelekea kufanya njama za kijasusi ili wapate Siri na mbinu anazotumia vitani.
CIA and other unfriend countries' Intelligence Agencies wapo hapo Russia kupitia hizi balozi, sio Chief!!!? Halafu hata Russia wenyewe hawalijui hili, hawa Russia "weupe" sana kwakweli.
 
Nimechoka hapo anapompinga mleta mada ambae anaishi Russia kwa kutumia kigezo cha kuwa na ndugu yake anayeishi Russia.Sijui alitakaje,tuache kumwamini anaeishi Russia bali tumwamini yeye aliye na ndugu anaishi Russia
Ni kweli ila hata huyu mleta mada ametulisha matango pori.

Kwa hiyo siku hizi ukiishi nchi furani unajua mambo yake mpaka kwenye mambo nyeti ya nchi?
Leo mm nimezaliwa Tz na nimekulia lakini sijui hata Tz ina polisi kiasi gani sembuse kujua ina vifaru na mizinga mingapi?

Kusema ukweli Watz tuna ujuaji mwingi sana na chakushanga kuna watu wanamuamini.
 
Ukraine ni nchi kubwa, kuteka kazi nyepesi ukilinganisha na kudhibiti eneo ulioteka.Kudhibiti maeneo ambayo ameteka itambidi Putin kuhamisha jeshi zima la Urusi Ukraine.Uvamizi wa Putin umefeli kweli kweli.
 
Mkuu swala la wewe kutokujua tuna Idadi ya polisi wangapi au wanajeshi Active wangapi nadhani ni vile hujataka kujishughulisha ili uweze kujua idadi yao lakini nakubaliana na wewe kwa swala la vifaa vya kijeshi maana hiyo ni complex issue,si rahisi kupata data zake.
 
Unahangaika sana kuhusu URUSI na unadhani umefika au kuishi peke yako. Nina ndugu yangu akienda kusomea Udaktari kwa ufadhili wa serikali na sasa ni mwaka wa 15 huu anaishi huko.
Emu muulize nduguyo tunaskia Russia sasa wanapanga folen kununua kilo ya sukari
 
Britanica= Tiss ? very likely. story zake zinajieleza
 
Nitarudi
 
Hakuna anaye weza kujua mambo nyeti ya nchi yeyote kwa kigezo cha kuwa mfuatiliaji tofauti na wahusika wanao takiwa kujua.
Kama ndio hivyo basi kusingekuwa na haja ya mataifa kufanyiana ujasusi kama mambo ni rahisi namna hiyo.

Hapa ni kuendekeza uongo na ujuaji usikuwa na maana kama kawaida yetu watz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…