Nimeishi Urusi najua Tamaduni zake, pamoja na Ukubwa wa Jeshi lake Rushwa ndiyo inawafanya wasikamilishe malengo kwa muda

Umeongea kishabiki pasipo kuwa na ukweli wa mambo.wala huna taarifa sahihi za kwenye uwanja wa vita
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa umeishi URUSI na ukafanikiwa kujua ukubwa wa JESHI LAKE???

Hebu nijuze umezaliwa na kukulia TZ unajua tuna vikosi vingapi?
Ndege ngapi
Vifaru
Nk.
Acha ujinga wako!!
Huyo yupo hapa hapa Tz mkoani.ana google vitu analeta hapa.
 
Huyo yupo hapa hapa Tz mkoani.ana google vitu analeta hapa.
Sahihi kabisa,alishawahi kutuletea story ya yule Dr.Shika(900 itapendeza) alisema anamjua tangu wakiwa urussi,story ilikua ya full uongo.

Story zake za khs Russia hus anazitoa Kule Quora.com
 
Sahihi kabisa,alishawahi kutuletea story ya yule Dr.Shika(900 itapendeza) alisema anamjua tangu wakiwa urussi,story ilikua ya full uongo.

Story zake za khs Russia hus anazitoa Kule Quora.com
 
Sahihi kabisa,alishawahi kutuletea story ya yule Dr.Shika(900 itapendeza) alisema anamjua tangu wakiwa urussi,story ilikua ya full uongo.

Story zake za khs Russia hus anazitoa Kule Quora.com
 
urusi ya buza na wale walioonewa ndugu zao syria,afghan,iraq watakuja kukubishia mda sio mfupi
 
Ndio maana ulituongopea kwenye kisa cha Dr Shika, ukaenda ukaokota picha Google ukatudanganya kuwa hapo ndipo alikuwa akiishi 🤣 umefika ukapiga picha.
Na wana JF wakakusifu na kukuabudu kwa makofi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa umeishi URUSI na ukafanikiwa kujua ukubwa wa JESHI LAKE???

Hebu nijuze umezaliwa na kukulia TZ unajua tuna vikosi vingapi?
Ndege ngapi
Vifaru
Nk.
Acha ujinga wako!!

hivi unajua jirani yako anafahamu vingi kuliko ndugu yako.
jirani yako anafahamu hata ugegedi vizuri ila ndugu yako afahamu.
basi kuwepo sehemu ambayo si kwenu unafahamu vingi haraka kuliko kwenu
 
Ndio maana ulituongopea kwenye kisa cha Dr Shika, ukaenda ukaokota picha Google ukatudanganya kuwa hapo ndipo alikuwa akiishi 🤣 umefika ukapiga picha.
Na wana JF wakakusifu na kukuabudu kwa makofi.
Utanaka nikutumie Location? Hautauza mechi?
 
Tena tandahimba sio mjini in namikupa kwanganyama
Huyu alidanganya watu humu kuwa yuko Urusi anafuatilia kisa cha dr. Shika eti amefika hadi alipokuwa anaishi akapiga hadi picha, kumbe picha kaitoa Google.
Jf is the only place that anyone can be anybody and anywhere.
 
Utanaka nikutumie Location? Hautauza mechi?
Haaa location zinatengenezwa, I am a master wa kuchange location huko mtandaoni kutrick systems.
Sema nikupongeze hata ukiumbuliwa uwa huna.matusi na unalike
 
CIA and other unfriend countries' Intelligence Agencies wapo hapo Russia kupitia hizi balozi, sio Chief!!!? Halafu hata Russia wenyewe hawalijui hili, hawa Russia "weupe" sana kwakweli.
Bro acha kuamini war propaganda USA wenyewe walitoa takwimu kuonyesha Russia aijatumia hata 20% ya nguvu zake kijeshi kwahyo acha kuwatukana Russia sio mchezo bro, remind u Russia ana silaha za nuclear nyingi kuliko nchi yoyote duniani.
 
Haaa location zinatengenezwa, I am a master wa kuchange location huko mtandaoni kutrick systems.
Sema nikupongeze hata ukiumbuliwa uwa huna.matusi na unalike
 
Bro acha kuamini war propaganda USA wenyewe walitoa takwimu kuonyesha Russia aijatumia hata 20% ya nguvu zake kijeshi kwahyo acha kuwatukana Russia sio mchezo bro, remind u Russia ana silaha za nuclear nyingi kuliko nchi yoyote duniani.
Know sarcasm when you see it Broh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…