denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Kumbuka kwa wazazi wa binti, kumchukua mtoto wao ni heshima kubwa sana kwao zaidi ya pesa ya mahari, usiogope.Ahsante Sana [emoji1374] kwa ushauri huu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka kwa wazazi wa binti, kumchukua mtoto wao ni heshima kubwa sana kwao zaidi ya pesa ya mahari, usiogope.Ahsante Sana [emoji1374] kwa ushauri huu mkuu
Kumbe hii ndio sababu inayokupa mawazo kwa vitu vidogo, kijana mahari sio aibu, huendi kumnunua binti yao, bado ataendelea kuwa na mahusiano na nyumbani kwao, anaweza kwenda huko pakitokea tatizo lolote akatoe msaada hitajika hata kama utamuoa.Kwa ile familia laki mbili naona ni Kama dharau hivi
Kumbe ni kupangiana Mahari, hata kama huna shs we nenda, usihofu... Labda uwe na kahela mfukoninka faini za hapa na pale... Ila Siku ya kupangiwa mahali sio lazima uwe nayo... Ingekua Siku ya kulipa mahali kweli... Vinginevyo uko swafi kabisa wala usipate hofu.. Usihairishe nenda tu alafunmtapanga kikao cha kupeleka mahaliWakuu habarini!
Nimekuja kwenu naomba nisaidiwe kimawazo na ushauri.
Hivi karibuni nilipeleka barua ya uchumba (posa ) na Mambo yalienda freshi tu.
Kikao Cha kupangiana mahari makubaliano yalikuwa kifanyike ijumaa hii.
Nimejikuta Nina mawazo Sana kwani hela niliyoiandaa kwa ajili ya kuitolea mahari kiasi Cha 700,000 nimekitumia chote kutokana na mkasa ulionipata pasipo kutegemewa jana usiku.
Hipo hivi, Mimi ni dereva bajaji dsm nilijikuta nimeikwaruza gari ubavuni na kuivunja taa ya kulia maeneo ya round about. So mwenye gari akaniamuru ili tusifikishane mbali nimlipe kiasi Cha sh. 650,000 ili akafanye matengenezo ya gari lake, vinginevyo atachukua Hatua za kisheria kwani makosa yalikuwa ni yangu. Hivyo nikamlipa.
Nahisi kukata tamaa, kikao ni jumatatu na Sina mpango wa kupata hela nyingine kwa Sasa.
Wazee wangu wapo mikoani hivyo hapa town nawatumia wazee tu wa kujuana, na ninaogopa Hata kuwaambia kwani watahisi nafanya usanii
Hivyo nilikua nauliza , je itawezekana kwenda ku bargain mahali tu kwa sasa hiyo siku, then nitalipa siku nyingine ? Hata baada ya mwezi?
Au ni lazima kwenye kikao hicho watanitaka kulipa hela kidogo?
Kama Kuna mtu mwenye uzoefu au utaalamu na haya Mambo naomba anisaidie kimawazo au ushauri
Ahsante!
Moniely
Dsm.
Kwa ile familia laki mbili naona ni Kama dharau hivi
Wakuu habarini!
Nimekuja kwenu naomba nisaidiwe kimawazo na ushauri.
Hivi karibuni nilipeleka barua ya uchumba (posa ) na Mambo yalienda freshi tu. Kikao Cha kupangiana mahari makubaliano yalikuwa kifanyike ijumaa hii. Nimejikuta nina mawazo Sana kwani hela niliyoiandaa kwa ajili ya kuitolea mahari kiasi Cha 700,000 nimekitumia chote kutokana na mkasa ulionipata pasipo kutegemewa jana usiku.
Hipo hivi, Mimi ni dereva bajaji DSM nilijikuta nimeikwaruza gari ubavuni na kuivunja taa ya kulia maeneo ya round about. So mwenye gari akaniamuru ili tusifikishane mbali nimlipe kiasi Cha sh. 650,000 ili akafanye matengenezo ya gari lake, vinginevyo atachukua hatua za kisheria kwani makosa yalikuwa ni yangu. Hivyo nikamlipa.
Nahisi kukata tamaa, kikao ni jumatatu na Sina mpango wa kupata hela nyingine kwa Sasa. Wazee wangu wapo mikoani hivyo hapa town nawatumia wazee tu wa kujuana, na ninaogopa hata kuwaambia kwani watahisi nafanya usanii.
Hivyo nilikua nauliza, Je itawezekana kwenda ku bargain mahali tu kwa sasa hiyo siku, then nitalipa siku nyingine? Hata baada ya mwezi? Au ni lazima kwenye kikao hicho watanitaka kulipa hela kidogo?
Kama Kuna mtu mwenye uzoefu au utaalamu na haya Mambo naomba anisaidie kimawazo au ushauri
Ahsante!
Moniely
inategemea na kabila, kama umeahidi kwenda nenda, na hela unaweza kuahidi tena siku ya kupeleka na ukakubarika na kueleweka
aisee 😃😃😃Simu haioneshi vizuri ila kutokana na comment nashauri wewe kazana na masomo tu makundi Rika yatakupoteza
Ungetuomba ushauri kabla ya kulipa hizo pesa tungekushauri kitumia bima kulipia huo uharibifu uliotokea. Ila kwa sasa poleWakuu habarini!
Nimekuja kwenu naomba nisaidiwe kimawazo na ushauri.
Hivi karibuni nilipeleka barua ya uchumba (posa ) na Mambo yalienda freshi tu. Kikao Cha kupangiana mahari makubaliano yalikuwa kifanyike ijumaa hii. Nimejikuta nina mawazo Sana kwani hela niliyoiandaa kwa ajili ya kuitolea mahari kiasi Cha 700,000 nimekitumia chote kutokana na mkasa ulionipata pasipo kutegemewa jana usiku.
Hipo hivi, Mimi ni dereva bajaji DSM nilijikuta nimeikwaruza gari ubavuni na kuivunja taa ya kulia maeneo ya round about. So mwenye gari akaniamuru ili tusifikishane mbali nimlipe kiasi Cha sh. 650,000 ili akafanye matengenezo ya gari lake, vinginevyo atachukua hatua za kisheria kwani makosa yalikuwa ni yangu. Hivyo nikamlipa.
Nahisi kukata tamaa, kikao ni jumatatu na Sina mpango wa kupata hela nyingine kwa Sasa. Wazee wangu wapo mikoani hivyo hapa town nawatumia wazee tu wa kujuana, na ninaogopa hata kuwaambia kwani watahisi nafanya usanii.
Hivyo nilikua nauliza, Je itawezekana kwenda ku bargain mahali tu kwa sasa hiyo siku, then nitalipa siku nyingine? Hata baada ya mwezi? Au ni lazima kwenye kikao hicho watanitaka kulipa hela kidogo?
Kama Kuna mtu mwenye uzoefu au utaalamu na haya Mambo naomba anisaidie kimawazo au ushauri
Ahsante!
Moniely
Dsm.
Mkuu kwa Hali iliyokuwepo pale, palikuwa hapatoshi, jamaa pia alikua na power Fulani serikalini Kama angetumia haki angenisumbua Sana.. ningelazimika kuwahonga yeye na ma policeUngetuomba ushauri kabla ya kulipa hizo pesa tungekushauri kitumia bima kulipia huo uharibifu uliotokea. Ila kwa sasa pole
Mkuu, yeye hana kosa Hata kidogoHakuna changamoto hapo: Mungu amekupa jaribio la kumpima mke wako mtarajiwa kama anafit kuwa na wewe.
Mshirikishe uone atakushauri vipi, akikubaliana na hali yako, huyo ndio mke wako, akikuzingua tafuta mwingine; mwanamke mwema umlinda mumewe kwa hali na mali.
Mshirikishe mapema ili aweze kuongea na wazazi wake, ili mtakapoenda muweze kutoa ahadi tuMkuu, yeye hana kosa Hata kidogo