CHIEFMANGU
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 528
- 800
- Thread starter
-
- #461
AKIMUACHA ITAKUWA BALAA ATAENDA KUPASUA CHUNGU WAFE UKOO MZIMA
Shoga yawache tu looh dunia imenishinda mieSHOGA WEWE UMEMUWEKA NANI KWENYE CHUPI? MIMI SIVAI CHUPI SIJUI NAMUWEKA WAPI MTU MWENZANGU
NATANIA MKUU ILA HUYU DADA NI HATARI UMEONA HYO PART TWO YA LEO?Hawezi bana kwa uwezo wa Mungu atashindwa Miss Natafuta
Ni m-pentekosti!AHAAAA ANAIMBA KWAYA GANI?
hahahah, chungu si nasikia kinaleta madhara kama kweli mtuhumiwa anatuhuma za ukweli. amuache bwana wa nini huyo, halafu atamuulia Rose wake na mwanaeAKIMUACHA ITAKUWA BALAA ATAENDA KUPASUA CHUNGU WAFE UKOO MZIMA
@KaizerWadau,ninaomba kuleta mrejesho kidogo juu ya uzi wangu huu,HAKIKA WANAUME TUWENI MAKINI SANA NA BAADHI YA WANAWAKE TULIOWAAMINI.
Baada ya ile circumstance ya kukuta karatasi iliyoandikwa kwa lugha isiyoeleweka,nilijitahidi sana kuvumilia pasipo kumwambia mchumba wangu ambaye mpaka sasa bado hajarudi kutoka safari yake.
Tangu siku ile,kila nikikaa ndani roho inakuwa nzito sana,nashindwa kabisa kutulia,jioni hii baada ya kutoka kazini nikaamua kufumua mikoba yake yote,ikiwemo ya zamaniii,nilichokiona hakika MUNGU aturehemu sisi binadamu,nimekuta viburungutu vya madawa ya kienyeji kama utakavyoviona hapo chini.
Mbaya zaidi ni maandishi yaliyoandikwa kwenye karatasi ndogo,nayo naambatanisha hapa chini,ameandika kwa lugha ya kiswahili,eti "ewe jini makata,nakuagiza kuanzia leo,Rose aondoke Morogoro na asirudi tena,nakuagiza ukamnyonye damu mpaka mauti yatakapomfika"
Huyu Rose ni msichana ambaye nilizaa naye,na kuna wakati aliwahi kuja na nilimueleza wazi kabisa huyu mpnz wangu kuhusu huyo Rose na kilichowahi kutokea huko nyuma!!!
Nimevichoma moto vitu vyote,na leo mpnz wangu huyo ndo anarudi kutoka safari yake.
Vitu vyote nimevichoma moto,baada ya kushindwa kuvumilia kubaki navyo,sasa ni wazi kwamba ninaishi na mtu hatari sana,picha ni kama zifuatavyoView attachment 536129View attachment 536130View attachment 536131View attachment 536132View attachment 536133View attachment 536134View attachment 536135View attachment 536136
Ni kweli KaizerKiongozi nachukia sana uchawi na ushirikina. hawa watu wanaojifanya swala tano au awanaosali sana makanisani huko na wengine ya kiroho ndio zao baadhi yao wanatumia kivuli hicho kuficha ufedhuli wao
ingekuwa mimi ndio wewe, haraka sana ningemwachilia mbali. mwache aende mwachie kila kitu anza upya Mungu kakuonyesha mapemaaaaaaa........bora hata ungemfumania na mwanaume mwingine, ila sio hili mkuu. ni hatari ni muuaji huyo kama anaweza kumuua mzazi mwenzio!
dah!
Mungu atunusuru
CC Asprin espy mahondaw mshana jr CHIKIRA MTABARI Heaven Sent
ACHANA NAE HUYO POLE SANA. KWANZA UNGEPELEKA HIVO VITU KWAO NA KANISANI KWAONi m-pentekosti!
NATANIA MKUU ILA HUYU DADA NI HATARI UMEONA HYO PART TWO YA LEO?
Ni m-pentekosti!
Mkuu hii ni kweli kabisa,hata kazi nashindwa kabisa kufanya,coz picha ya hili tukio hainitoki kabisa,mbaya zaidi mhusika yupo hapa hapa ofisini kwangu,ni jambo gumu sana kulivumilia!!nimeiona si ndio nimestuka kwamba ni something serious, unajua sie wakongwe hapa JF kuna thread zingine vijana wanatunga ila hii hapana inaonekana ni kweli, of which ni hatari sana
USICHEZEE KAZI MKUU MAGU KABANA .UNAUMIA NINI NA PICHA UMEIONA LIVE?Mkuu hii ni kweli kabisa,hata kazi nashindwa kabisa kufanya,coz picha ya hili tukio hainitoki kabisa,mbaya zaidi mhusika yupo hapa hapa ofisini kwangu,ni jambo gumu sana kulivumilia!!
AHAAA wadada walokole bna ? busy na manabii wao .wengine tunaonekana malaya eti hatujaokoka sio wife material .Mungu anawaona sasa wacha mlogwe myweshwe period za upako huko aahfake fake fake kama ma fake niews ya trump, narudia ni fake huyo!
AHAAA wadada walokole bna ? busy na manabii wao .wengine tunaonekana malaya eti hatujaokoka sio wife material .Mungu anawaona sasa wacha mlogwe myweshwe period za upako huko aah
Mkuu hii ni kweli kabisa,hata kazi nashindwa kabisa kufanya,coz picha ya hili tukio hainitoki kabisa,mbaya zaidi mhusika yupo hapa hapa ofisini kwangu,ni jambo gumu sana kulivumilia!!
Hommie hapa kuna jambo gani? Kama ni uchawi ngoja nitangulie mlimani kuwaombeaKiongozi nachukia sana uchawi na ushirikina. hawa watu wanaojifanya swala tano au awanaosali sana makanisani huko na wengine ya kiroho ndio zao baadhi yao wanatumia kivuli hicho kuficha ufedhuli wao
ingekuwa mimi ndio wewe, haraka sana ningemwachilia mbali. mwache aende mwachie kila kitu anza upya Mungu kakuonyesha mapemaaaaaaa........bora hata ungemfumania na mwanaume mwingine, ila sio hili mkuu. ni hatari ni muuaji huyo kama anaweza kumuua mzazi mwenzio!
dah!
Mungu atunusuru
CC Asprin espy mahondaw mshana jr CHIKIRA MTABARI Heaven Sent