Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Hatuishi pamoja Mkuu,tunaishi jirani,(that is why ukisoma hiyo karatasi yake anasema "akija kwangu asimfikirie mwanamke mwingine....)
Isipokuwa tupo ofisi moja!!!!
 
AKIMUACHA ITAKUWA BALAA ATAENDA KUPASUA CHUNGU WAFE UKOO MZIMA
hahahah, chungu si nasikia kinaleta madhara kama kweli mtuhumiwa anatuhuma za ukweli. amuache bwana wa nini huyo, halafu atamuulia Rose wake na mwanae
 
Wadau,ninaomba kuleta mrejesho kidogo juu ya uzi wangu huu,HAKIKA WANAUME TUWENI MAKINI SANA NA BAADHI YA WANAWAKE TULIOWAAMINI.

Baada ya ile circumstance ya kukuta karatasi iliyoandikwa kwa lugha isiyoeleweka,nilijitahidi sana kuvumilia pasipo kumwambia mchumba wangu ambaye mpaka sasa bado hajarudi kutoka safari yake.

Tangu siku ile,kila nikikaa ndani roho inakuwa nzito sana,nashindwa kabisa kutulia,jioni hii baada ya kutoka kazini nikaamua kufumua mikoba yake yote,ikiwemo ya zamaniii,nilichokiona hakika MUNGU aturehemu sisi binadamu,nimekuta viburungutu vya madawa ya kienyeji kama utakavyoviona hapo chini.

Mbaya zaidi ni maandishi yaliyoandikwa kwenye karatasi ndogo,nayo naambatanisha hapa chini,ameandika kwa lugha ya kiswahili,eti "ewe jini makata,nakuagiza kuanzia leo,Rose aondoke Morogoro na asirudi tena,nakuagiza ukamnyonye damu mpaka mauti yatakapomfika"

Huyu Rose ni msichana ambaye nilizaa naye,na kuna wakati aliwahi kuja na nilimueleza wazi kabisa huyu mpnz wangu kuhusu huyo Rose na kilichowahi kutokea huko nyuma!!!

Nimevichoma moto vitu vyote,na leo mpnz wangu huyo ndo anarudi kutoka safari yake.

Vitu vyote nimevichoma moto,baada ya kushindwa kuvumilia kubaki navyo,sasa ni wazi kwamba ninaishi na mtu hatari sana,picha ni kama zifuatavyoView attachment 536129View attachment 536130View attachment 536131View attachment 536132View attachment 536133View attachment 536134View attachment 536135View attachment 536136
@Kaizer
 
Kiongozi nachukia sana uchawi na ushirikina. hawa watu wanaojifanya swala tano au awanaosali sana makanisani huko na wengine ya kiroho ndio zao baadhi yao wanatumia kivuli hicho kuficha ufedhuli wao

ingekuwa mimi ndio wewe, haraka sana ningemwachilia mbali. mwache aende mwachie kila kitu anza upya Mungu kakuonyesha mapemaaaaaaa........bora hata ungemfumania na mwanaume mwingine, ila sio hili mkuu. ni hatari ni muuaji huyo kama anaweza kumuua mzazi mwenzio!

dah!

Mungu atunusuru

CC Asprin espy mahondaw mshana jr CHIKIRA MTABARI Heaven Sent
Ni kweli Kaizer
 
NATANIA MKUU ILA HUYU DADA NI HATARI UMEONA HYO PART TWO YA LEO?

nimeiona si ndio nimestuka kwamba ni something serious, unajua sie wakongwe hapa JF kuna thread zingine vijana wanatunga ila hii hapana inaonekana ni kweli, of which ni hatari sana
 
Yaani yote hayo anafanya kwa ajili ya "DUDE" siyo? Hatari sana. Pole mkuu. Acahana naye. Uchawi wa mapenzi ni wewe kukomaa na Mungu.
 
nimeiona si ndio nimestuka kwamba ni something serious, unajua sie wakongwe hapa JF kuna thread zingine vijana wanatunga ila hii hapana inaonekana ni kweli, of which ni hatari sana
Mkuu hii ni kweli kabisa,hata kazi nashindwa kabisa kufanya,coz picha ya hili tukio hainitoki kabisa,mbaya zaidi mhusika yupo hapa hapa ofisini kwangu,ni jambo gumu sana kulivumilia!!
 
Mkuu hii ni kweli kabisa,hata kazi nashindwa kabisa kufanya,coz picha ya hili tukio hainitoki kabisa,mbaya zaidi mhusika yupo hapa hapa ofisini kwangu,ni jambo gumu sana kulivumilia!!
USICHEZEE KAZI MKUU MAGU KABANA .UNAUMIA NINI NA PICHA UMEIONA LIVE?
 
AHAAA wadada walokole bna ? busy na manabii wao .wengine tunaonekana malaya eti hatujaokoka sio wife material .Mungu anawaona sasa wacha mlogwe myweshwe period za upako huko aah

hao ndio wale zilongwe mbali zitendwa mbali, wanafiki wa kutupwa!
 
Mkuu hii ni kweli kabisa,hata kazi nashindwa kabisa kufanya,coz picha ya hili tukio hainitoki kabisa,mbaya zaidi mhusika yupo hapa hapa ofisini kwangu,ni jambo gumu sana kulivumilia!!

Pole sana mkuu wangu nakuelewa sana kifupi naunga mkono maamuzi yako, ukiona vipi kama uhusiano wenu ulikuwa rasmi sana muache pia kirasmi kwa sababu ya hayo mambo yake kisha sepa hapo job kusoma kama ulivosema,
 
inaonekana anakuombea muwe na maisha mazuri hasa neno la katikati kama linasema mali iongezeke, nampenda mme wangu asiwe na wasiwasi mimi ni wa kwake, tuwe na maisha bora, tupendane sana, tuaminiane sana.
hiyo picha anatembea nayo ili akikumis aangalie picha, na akitongozwa aoneshe picha kuwa ninaye mtu tayaru huyu apa.
 
Kemea kwa jina Yesu,hiyo ni hatari sana,huyo ni mshirikina anatumia nguvu za giza...
 
Kiongozi nachukia sana uchawi na ushirikina. hawa watu wanaojifanya swala tano au awanaosali sana makanisani huko na wengine ya kiroho ndio zao baadhi yao wanatumia kivuli hicho kuficha ufedhuli wao

ingekuwa mimi ndio wewe, haraka sana ningemwachilia mbali. mwache aende mwachie kila kitu anza upya Mungu kakuonyesha mapemaaaaaaa........bora hata ungemfumania na mwanaume mwingine, ila sio hili mkuu. ni hatari ni muuaji huyo kama anaweza kumuua mzazi mwenzio!

dah!

Mungu atunusuru

CC Asprin espy mahondaw mshana jr CHIKIRA MTABARI Heaven Sent
Hommie hapa kuna jambo gani? Kama ni uchawi ngoja nitangulie mlimani kuwaombea
 
Back
Top Bottom