Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Kaka huo ni uchawi ft ushirikina nakuhakikishia mimi maana uchawi sio mpaka ujue maana kama unavyotaka coz ukijua maana inamaana utakua umeshafundishwa uchawi ila ukweli nikwamba hiyo ni hirizi japo ningependa kukupa moyo kua hakuna atakaye kutafsria hiyo hata anayeijua vinginevyo ataitafsiri kwa uongo hivyo muulize kwa style yoyote ikiwezekana wazee, wazazi and washenga wahusike hapo ukweli utaupata mkuuu


Mrejesho usije ukanikosesha
 
Nimefungua hicho kifungashio,nimekuta kuna baadhi ya vitu nisivyovijua,vina rangi nyeusi na vinatoa harufu ambayo nashindwa kuielezea but kama nyama ilivunda hivi,what is iiiit!!???
Mkeo n mwana kamati ya ufundi huko ndondo cup usiwaze sana mkuu
 
Nimefungua hicho kifungashio,nimekuta kuna baadhi ya vitu nisivyovijua,vina rangi nyeusi na vinatoa harufu ambayo nashindwa kuielezea but kama nyama ilivunda hivi,what is iiiit!!???
Mkeo n mwana kamati ya ufundi huko ndondo cup usiwaze sana mkuu
 
Hicho kilichofungwa ndio roho yako hiyo!! Baba umekwishaaa.
 
Tafsiri, anataka uwe mpole km jongoo, Uwe mwenye moyo mzito kuamini lolote baya juu yake, moyo wako uwe una pepeapepea juu yake wakati wote, kwa ujumla utulie km maiti atuliavvyo juu yke ,HAPO MAJI YA MAITI, +KONOKONO +KIPEPEO +PANZI WACHANGA
 
Hapo me naona amejitahidi kuandika herufi tu za arabic ا ب ت ث ج ح خ ر .............ى

Ni maandishi ya kiganga huko wanayotumia na vitabu vyao uwasubirie wajuz wa uganga wa vitabu ndo wakuambie ila hivi hivi tu hayaeleweki pazito hapo ila huo urogaji tu hapo hakuna namna sema maana ya urogaji anaijua mganga wake na mhusika tu hapo usishangae anatia nia ya lengo lake hapo anapoifanya hiyo dawa sana sana unakuta anaichoma kwa moto mida maalum aloambiwa na kunuia sasa hapo mpate mtaalamu akwambie mandishi haya anarogwa mtu ili afanye kitu gani kukuta lengo la limeandikwa humo si rqhisi atajua tu mtaalamu dawa hii ina maana gani pole lakini duh wanawake si wabaya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Mkuu kwanza nikupe pole mimi binafsi yalisha nikuta mambo kama hayo!! Ukiangalia vizuri hapo nyumbani kwako kuna vitu vingine vipo ambavyo hujavigundua bado
yamkini uvunguni au katikati ya kabati la nguo au sehemu yoyote ambayo huiwezi kuifikia kwa urahisi kutakuwa na maji ya ambayo ndani yake kun karatasi imeandikwa maandishi kama hayo hayo.. imefichwa na nyingine itakuwa na maji ya yasiyo na kitu ndani ambayo ama huwa unaogeshwa au unachanganyiwa kwenye chakula na maji hayo husadikika kuwa maji yaliyo oshea maiti.
binafsi nilipata shida sana sana na huo mtihani mpaka Mungu alipokuja kuninasua kwa namna ya ajabu ambayo mpaka leo bado namshangaa Mungu.
kifupi mtihani unaopitia waweza kuwa ni mkubwa kama kweli huyo binti alifanikiwa kama hajafanikiwa pia mshukuru Mungu. Uamuzi wa nini cha kufanya uko juu yako..
kama unaishi maeneo ya Temeke ama usawa huo Dsm sitashangaa kabisa..
pole sana Ndugu.
 
Hivi ni kwanini maandishi ya kiarabu yanahusishwa sana kwenye mambo ya ulozi na ushirikina.........!!!??


KUISHI KWINGI NI KUONA MENGI......
 
Ndugu yangu hiyo zuga tu. Ameliwa pesa tu. Hapo hakuna kiarabu wala kiabeshi. Kumbuka wajinga ndio waliwao
 
aiseee kwahiyo mkuu umekuta na picha yako kabisa!? astaghfirllah radhym!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…