Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Hicho sio kiarabu babaa, ni lugha yakuzimu hyooo! Ushairi wngu nenda kwa shekh wakupige ruqya, tena uharakishe baba..
 
usihof mkuu !!!mana yake hapo haielewek nimejitahd ku concentrate ila nime ambulia sufuri izo ni code za waganga ila hico sio kiarab tulifunzwa madrasat Muombe
 
Mkuu msaada wangu hapo ni kujikausha.. Then unakurupuka kama umepanda mashetani vile..! Unasema sema maneno ya ajabu ajabu yasioeleweka.. Then unamgeukia huyo demu! Unampiga mikwara ya kutisha ukijifanya mashetani yako yamestukia uchawi wake..! Then shetani anasema atoe vitu vyote kwenye mkoba..![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akitoa na madude yake unamkazia kuwa leo umemsamehe ila akirudia tena kutaka kumchezea kiti ATAKIONA CHA MTEMA KUNI!
Nakwambia harudii tena huyo!
Hahaha kasheshe
 
Naomba mnisaidie tafsiri tu,nijue hayo maandishi yana maana gani???
Hicho sio kiarabu bwana labda ni kiganga na huyo mganga kamdanganya kua na Amani na Imani ya kweli huwezi kupatwa na kitu.
 
Chukua hivyo vitu, kama ni Mkristu Mwagia Maji ya Baraka halafu vichome moto. Kama ni Muislam peleka kwa Shekhe atakusaidia. Tena ufanye haraka kabla hajaanza kuvitumia.
 
Hicho sio kiarabu bwana labda ni kiganga na huyo mganga kamdanganya kua na Amani na Imani ya kweli huwezi kupatwa na kitu.
Jamani dear una tabasamu tamu hadi rohoo yangu inadundadunda![emoji4][emoji4][emoji4]
 
Back
Top Bottom