Pancho panchilo
Senior Member
- May 18, 2017
- 121
- 95
Hicho sio kiarabu babaa, ni lugha yakuzimu hyooo! Ushairi wngu nenda kwa shekh wakupige ruqya, tena uharakishe baba..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kashesheMkuu msaada wangu hapo ni kujikausha.. Then unakurupuka kama umepanda mashetani vile..! Unasema sema maneno ya ajabu ajabu yasioeleweka.. Then unamgeukia huyo demu! Unampiga mikwara ya kutisha ukijifanya mashetani yako yamestukia uchawi wake..! Then shetani anasema atoe vitu vyote kwenye mkoba..![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akitoa na madude yake unamkazia kuwa leo umemsamehe ila akirudia tena kutaka kumchezea kiti ATAKIONA CHA MTEMA KUNI!
Nakwambia harudii tena huyo!
Sasa mkuu wewe unahisi sisi wanaume wa JF tutakiuka/tunakiuka utaratibu upi?KILA KITU KINA UTARATIBU WAKE MKUU
Hicho sio kiarabu bwana labda ni kiganga na huyo mganga kamdanganya kua na Amani na Imani ya kweli huwezi kupatwa na kitu.Naomba mnisaidie tafsiri tu,nijue hayo maandishi yana maana gani???
Hahaaa,nipo kabisa na wali sifi leo,mpaka Mungu wangu aliye hai,aliyemtuma mwanae YESU krito kuuokoa ulimwengu aamue!!Yalaaaah yarabi
Daaah!bado uko hai?
Hicho sio kiarabu ni michoro tu hiyo mkuu na haina tafsiri.Ahsante Mkuu,lakini nataka kupata tafsiri ya kiswahili kwa maneno hayo,nijue maana halisi ya kilichoandikwa!!
Jamani dear una tabasamu tamu hadi rohoo yangu inadundadunda![emoji4][emoji4][emoji4]Hicho sio kiarabu bwana labda ni kiganga na huyo mganga kamdanganya kua na Amani na Imani ya kweli huwezi kupatwa na kitu.
Hayo maneno mana yake wewe ndio unayefanya mambo kibiti. TAKE CARE
Kama ni dawa zinazonuka hivyo huenda kweli wamemuingiziamo nyingine kwa kutumia proboscope[emoji2]kakutana na fundi wa kidigital mtoto wa Muji wakala mpunga.Yawezekana hata kumla wamemla .Usicheze na Jeshi la shetani
Pole jamani iambie hiyo rohoo itulie.Jamani dear una tabasamu tamu hadi rohoo yangu inadundadunda![emoji4][emoji4][emoji4]
Haitulii ng'oo hadi nikupate uwe mchumba wangu![emoji4][emoji4][emoji4]Pole jamani iambie hiyo rohoo itulie.
ligi ya 6 x 6😵Sio Kombe la ligi kuu kweli?
Itatulia tu.Haitulii ng'oo hadi nikupate uwe mchumba wangu![emoji4][emoji4][emoji4]