Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Wadau,ninaomba kuleta mrejesho kidogo juu ya uzi wangu huu,HAKIKA WANAUME TUWENI MAKINI SANA NA BAADHI YA WANAWAKE TULIOWAAMINI.

Baada ya ile circumstance ya kukuta karatasi iliyoandikwa kwa lugha isiyoeleweka,nilijitahidi sana kuvumilia pasipo kumwambia mchumba wangu ambaye mpaka sasa bado hajarudi kutoka safari yake.

Tangu siku ile,kila nikikaa ndani roho inakuwa nzito sana,nashindwa kabisa kutulia,jioni hii baada ya kutoka kazini nikaamua kufumua mikoba yake yote,ikiwemo ya zamaniii,nilichokiona hakika MUNGU aturehemu sisi binadamu,nimekuta viburungutu vya madawa ya kienyeji kama utakavyoviona hapo chini.

Mbaya zaidi ni maandishi yaliyoandikwa kwenye karatasi ndogo,nayo naambatanisha hapa chini,ameandika kwa lugha ya kiswahili,eti "ewe jini makata,nakuagiza kuanzia leo,Rose aondoke Morogoro na asirudi tena,nakuagiza ukamnyonye damu mpaka mauti yatakapomfika"

Huyu Rose ni msichana ambaye nilizaa naye,na kuna wakati aliwahi kuja na nilimueleza wazi kabisa huyu mpnz wangu kuhusu huyo Rose na kilichowahi kutokea huko nyuma!!!

Nimevichoma moto vitu vyote,na leo mpnz wangu huyo ndo anarudi kutoka safari yake.

Vitu vyote nimevichoma moto,baada ya kushindwa kuvumilia kubaki navyo,sasa ni wazi kwamba ninaishi na mtu hatari sana,picha ni kama zifuatavyoView attachment 536129View attachment 536130View attachment 536131View attachment 536132View attachment 536133View attachment 536134View attachment 536135View attachment 536136
CHIKIRA MTABARI NJOO UONE MWISHO WA DUNIA SHOST
 
Nilihisi kuanzisha uzi mpya connection ingekuwa mbali,kidogo,may be ngoja nijaribu kuuanzisha,japo hata nguvu za kuandika zimeniisha,I'm very down aisee!!!
POLE SANA AISEE HUYO DADA SIO WA NCHI HII *****.ANASEMAJE SASA?
 
POLE SANA AISEE HUYO DADA SIO WA NCHI HII *****.ANASEMAJE SASA?
Amefika home jana usiku,kwani alikuwa safarini Mwanza,sijaongea naye chochote mpaka sasa,nina hasira ile mbaya,tupo naye Ofisini hapa,hajui chochote kinachoendelea!!
 
Bismilah .. €€€€€€¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥@@@@ huyu kijana Ana nyota ya punda.kaziyake kubeba mizigo...binti alijaribu kukuunganisha na nyota yake..iliupate nyota ya KUKU..kaziyake kuparua Chini..majibu..usimuache
 
UNA MVUTO WEWE? UMEMUWEKA NANI KWENYE CHUPI?
Yaani nimesoma huu uzi hadi ninaogopa. Namshauri mleta mada/uzi amuache huyu dada. Kwanza kitendo cha kuwa jasiri kutaka kumuua Rose ina maana kumbe huyu ni muuaji.
Na nyie vijana, wanaume mkome kuvuta wanawake ndani, unaishi naye hata huja scan environment.
Si ajabu hata huko alikoenda ameongeza "anti-virus" wala hutaweza kumtimua kama unavyodhani.
 
Bismilah .. €€€€€€¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥@@@@ huyu kijana Ana nyota ya punda.kaziyake kubeba mizigo...binti alijaribu kukuunganisha na nyota yake..iliupate nyota ya KUKU..kaziyake kuparua Chini..majibu..usimuache
Duuuh,mkuu Is this serious????
 
Amefika home jana usiku,kwani alikuwa safarini Mwanza,sijaongea naye chochote mpaka sasa,nina hasira ile mbaya,tupo naye Ofisini hapa,hajui chochote kinachoendelea!!
Huyo achana naye, mwanamke au hata mwanamme anayependa kushika madawa sio mtu mwema, atakuja kupewa dawa za mapenzi akuwekee kumbe ni sumu au hata zikuletee magonjwa ya ini na saratani. Mwambie laivu, yoooote, na mwambie kuwa kwa tabia hiyo humtaki, na pia mdanganye kuwa umewaambia ndugu zako wote kuhusu tabia yake, na pia umearifu vyombo vya dola kwa hiyo akijaribu kufanya lolote baya juu yako ajue kuwa atakuwa kwenye mikono ya sheria. mfyuuuuuuuuuuuuu kaniudhi sana, sipendi washirikina mie
 
Yaani nimesoma huu uzi hadi ninaogopa. Namshauri mleta mada/uzi amuache huyu dada. Kwanza kitendo cha kuwa jasiri kutaka kumuua Rose ina maana kumbe huyu ni muuaji.
Na nyie vijana, wanaume mkome kuvuta wanawake ndani, unaishi naye hata huja scan environment.
Si ajabu hata huko alikoenda ameongeza "anti-virus" wala hutaweza kumtimua kama unavyodhani.
Kinachoniumiza ni kwamba tupo ofisi moja,leo imenilazimu kuomba ruhusa ya kwenda masomoni,ili nimuachie kila kitu,nikaanze maisha mapya,sitarudi tena!!na mbaya zaidi ni kwamba amekuwa mhudhuriaji mzuri sana wa kanisani na ni mwimbaji wa kwaya,hii ilifanya niamini kwamba no MTU sahihi kabisa,lakini kumbe daaah!!!
 
Kinachoniumiza ni kwamba tupo ofisi moja,leo imenilazimu kuomba ruhusa ya kwenda masomoni,ili nimuachie kila kitu,nikaanze maisha mapya,sitarudi tena!!na mbaya zaidi ni kwamba amekuwa mhudhuriaji mzuri sana wa kanisani na ni mwimbaji wa kwaya,hii ilifanya niamini kwamba no MTU sahihi kabisa,lakini kumbe daaah!!!
UNAISHIJE NA MTU HUJAMUOA? NDO MAANA MNALOGWA UNAGEGEDA MIAKA NA MIAKA HADI MTU ANADANGANYIKA NA WALIMWENGU
 
Yaani nimesoma huu uzi hadi ninaogopa. Namshauri mleta mada/uzi amuache huyu dada. Kwanza kitendo cha kuwa jasiri kutaka kumuua Rose ina maana kumbe huyu ni muuaji.
Na nyie vijana, wanaume mkome kuvuta wanawake ndani, unaishi naye hata huja scan environment.
Si ajabu hata huko alikoenda ameongeza "anti-virus" wala hutaweza kumtimua kama unavyodhani.
AKIMUACHA ITAKUWA BALAA ATAENDA KUPASUA CHUNGU WAFE UKOO MZIMA
 
Kinachoniumiza ni kwamba tupo ofisi moja,leo imenilazimu kuomba ruhusa ya kwenda masomoni,ili nimuachie kila kitu,nikaanze maisha mapya,sitarudi tena!!na mbaya zaidi ni kwamba amekuwa mhudhuriaji mzuri sana wa kanisani na ni mwimbaji wa kwaya,hii ilifanya niamini kwamba no MTU sahihi kabisa,lakini kumbe daaah!!!
AHAAAA ANAIMBA KWAYA GANI?
 
Kinachoniumiza ni kwamba tupo ofisi moja,leo imenilazimu kuomba ruhusa ya kwenda masomoni,ili nimuachie kila kitu,nikaanze maisha mapya,sitarudi tena!!na mbaya zaidi ni kwamba amekuwa mhudhuriaji mzuri sana wa kanisani na ni mwimbaji wa kwaya,hii ilifanya niamini kwamba no MTU sahihi kabisa,lakini kumbe daaah!!!

Kiongozi nachukia sana uchawi na ushirikina. hawa watu wanaojifanya swala tano au awanaosali sana makanisani huko na wengine ya kiroho ndio zao baadhi yao wanatumia kivuli hicho kuficha ufedhuli wao

ingekuwa mimi ndio wewe, haraka sana ningemwachilia mbali. mwache aende mwachie kila kitu anza upya Mungu kakuonyesha mapemaaaaaaa........bora hata ungemfumania na mwanaume mwingine, ila sio hili mkuu. ni hatari ni muuaji huyo kama anaweza kumuua mzazi mwenzio!

dah!

Mungu atunusuru

CC Asprin espy mahondaw mshana jr CHIKIRA MTABARI Heaven Sent
 
Back
Top Bottom